Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,

- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.

Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.

Ahsanteni Wakuu.

Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!
 
Mkuu FMES asante kwa info, kama kawaida heshima mbele sana mkuu na ubarikiwe kwa huu msaada, ila again kikwazo kitakuwa ni hiyo fee ya dola 300-ijapokuwa kuna watakosema toa hela upate hela, lakini huwezi kuwa huna hela unatafuta kazi utegemewa kuraise dola 300 hasa kwa mtu ambaye hana kabisa chanzo cha kipato unless akope..of which inabidi iwepo guarantee kuwa atapata hiyo kazi, otherwise hii si itakuwa kama bahati na sibu?

Again thanks mkuu kwa info!
 
Hii ni barua toka kwa huyu mshikaji wangu, nimeipunguza punguza info muhimu, nafikiri utaelewa sababu otherwise yote yapo hapa chini:-


The agency that I’m working with here in....... is holding its annual Workers.... edition. The Program is widely sponsored making it almost free for all participants from the poorer countries that it's extended to including your country of origin.

The application is out right now; as a friend l cannot keep this information away from you, I feel it's an opportunity for you to bring your friends as I explained ealier over here.

There are vacant positions in all professional as well as un-professional fields.

I feel it's an opportunity for your friends outside..... to come, work and live in ..... . Our independent donors have almost sponsored the program.

All you need is a valid passport and an application fee of $300 and you will be issued a five years working visa; Those without international passports can as well participate coz the organization in conjunction with the immigration office are making it easier by helping such people by preparing for them emergency traveling certificates which they are to use and come in the replacement of the international passports.

If really any of your friends is interested, I'll stand by he/she during the processing of his/her documents and make possible follows up. Let them Contact the secretary via ....... and also check at
http://www.craigslistfoundation.4t.com/......... to read and understand the procedures before applying.

The person is to write a little introduction of himself to the general secretary and inform him that he/she is interested to participate on the on-going recruitment/resettlement program. Also inform the G/Secretary that I'm the person that recommends he/she when applying so that I will be able to follow up your application for possible approval.

Everybody is qualified to apply coz we have work for both educated and uneducated people.

I felt it worth telling you about coz even if they don't want to come and work or study here, they can keep the 5yrs working visa which is to be issued to them for them be able to be coming in and going out of ..... anytime you want till the 5years expiration; the most important aspect of it is for them and us to be able to meet face to face here.

It is a charity program aimed at helping to reduce the problem of unemployment in developing nations in the world. The organization is to help and process all the applicants visa, pay their flight ticket, source their choice job in their field of profession or specialization and also make available a living house for them. You can recommend ur as well as ur relatives that might be interested to partake on the program now that the registration is still on-going coz the this year's edition might be closing soon. Give them my e-mail ID to update me as soon as they apply so I will follow up their application to enable them be approve to participate.. Always keep me updated about their preparations.

Hope to hear from you ASAP.
Your friend,

 
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,

- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.

Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.

Ahsanteni Wakuu.

Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!

Kwa upande wangu nashukuru sana maana nina watu wachache sana wenye kuweza kupenda na kufurahia maendeleo ya watu wengine ingawa sasa umeniogopesha ulivyoiweka hapa kwenye jukwaa la siasa nikawa nahofu isje ikawa ndio utaratibu wa kutaka kuwajua watu wa JF siunajua uchaguzi unakuja.(Mawazo tuuu)
 
Hii imekaa poa sana mimi nasikia kuwa unemployment imekuwa juu huko kumbe kazi kibao dola 300 tu! mzee ukifanikiwa kuwatoa 300 walio na kazi kwa sasa hapa bongo sisi tusiotaka kuja huko majuu nasi tutapata chance hapa.
 
thanks kwa infor....lakini mhh
It is a charity program aimed at helping to reduce the problem of unemployment in developing nations in the world. The organization is to help and process all the applicants visa, pay their flight ticket, source their choice job in their field of profession or specialization and also make available a living house for them.
sijui lakini inatia mashaka......mkuu fmes mimi najiandikisha na hawa watu......ila nikubaliane nao.....$300 watanikata kwenye mshahara wangu nikianza kazi
 
thanks kwa infor....lakini mhh
sijui lakini inatia mashaka......mkuu fmes mimi najiandikisha na hawa watu......ila nikubaliane nao.....$300 watanikata kwenye mshahara wangu nikianza kazi


Na wewe punguza kulumbana humu, USOME, upate kazi kutokana na taaluma yako.

Sio kufikiria kubeba mabox milele! LOL
 
- Wakuu look, ninaamini kwamba ukiyasoma hayo maandishi ya huyu dada yako wazi na very clear kuwa yanatokea kwa bina-adam mwenye uchungu na watu wananihusu, siwezi kuweka jina, heshima na utu wangu kwenye something ambacho ninajua kuwa ni utapeli, what a country of ours kila bin-adam mwingine lazima awe hana nia njema maana ndio tuliowazoea arround us!

- Inasikitisha sana, anyways tayari kuna waliojitokeza tayari maana binafsi nimearifu pia washikaji wa karibu sana, na sasa nimeanza kufuatilia waliojitokeza ili niazne kuwasukuma huko mbele ambako mabaharia huwa tunaita kwenda kuchokonoa masharubu ya simba.

Respect and Out!

FMEs!
 
Mhh hii deal mbona ina-sound kiutapeli vile? haya wadau mnaotaka kwenda kutumikishwa chance ndio hii....
 
Na wewe punguza kulumbana humu, USOME, upate kazi kutokana na taaluma yako.

Sio kufikiria kubeba mabox milele! LOL
Una matatizo ya mtindio wa ubongo? kwenye post yangu nimelumbana na mtu....mijitu mingine bana....
 
All you need is a valid passport and an application fee of $300 and you will be issued a five years working visa; Those without international passports can as well participate coz the organization in conjunction with the immigration office are making it easier by helping such people by preparing for them emergency traveling certificates which they are to use and come in the replacement of the international passports.

I advice people not to get involved in this. One, no real jobs offer ask for an advance fee, secondly, this company if it working with an immigration office it should be able to give out its name and in what country this immigration office is, and no emergency travel docs for regular employment can be guaranteed by a private urgency.
 
I advice people not to get involved in this. One, no real jobs offer ask for an advance fee, secondly, this company if it working with an immigration office it should be able to give out its name and in what country this immigration office is, and no emergency travel docs for regular employment can be guaranteed by a private urgency.
provided umesema wewe kigogo wa JF hutaitwa mzushi,mmbea unaependa kulumbana.......
 
- Hii habari ilipohamishwa pale haraka sana nilijua kuna mkono mzito sana wenye hasira ya something-else bwa! ha! ha! ha! lazima nicheke sana na this,

- Nimesema wazi bila kuficha kwamba nimeondoa majina kwenye hiyo info nikiwa na sababu nyingi za kuifahamu nchi yangu, lakini maswali yote uliyo-raise ukiisoma vizuri sana barua ya huyo dada utaona kuwa nimefuta na kuweka dots, na ungenifahamisha kwa pembeni ningekupa na bado ninaweza kukupa barua yote, isipokuwa nimeamua kutoiweka hapo mbele yote kwa sababu ya kuijua bongo vizuri sana, sometimes you try to carry too much on your shoulders kuliko uwezo wako, yaani zile zile tabia za Mwalimu, au? Bwa! ha! ha!. Demokrasia sio rahisi jamani inawashinda wazazi wetu na taifa letu, ama sivyo kina Kolimba na Wangwe wangekuwepo mpaka leo!

Otherwise, shukrani kwa maoni yako ila yako mis-informed wakati ukweli ni kwamba hayo uliyouliza yote yapo kwenye hiyo barua hivyo ila nimeyatoa kwa sababu, na sidhani kama kuna mbongo yoyote anayeweza kushindwa kuelewa hiyo sababu. Sasa ninawasaidia mabahria wenzangu kwanza walioko juu ya mawe na ninawalipa mwenyewe, na nitakufahamisha matokeo tena hapa hapa wazi mchana kweupe!

May God Bless You Bro! na H/VE A NICE DAY!

FMES!
 
Ndugu hapo nyuma kumekuwa na barua kama hizi lakini ukitrace hizo email inaonyesha zinatoka nchi fulani ya afrika ya magharibi je unaweza kuforward email yote original ya mwanadada huyo ili nijue habari zaidi kuhusu mahala alipotuma na kuweza kujua vitu vinging kama usajili wa email yenyewe na kuulizia kama kweli haina shauku yoyote na watu wengine ? Kama nilivyokwambia kuna email nyingi zinazofanana na hizo na nyingi zinataka watu kwenda kufanya kazi kwenye mahoteli au kuhudhuria mkutano fulani ila wahanga wakubwa ni wanawake warembo koz huwa wanauzwa haswa nchi za ulaya ya mashariki
 
Ndugu hapo nyuma kumekuwa na barua kama hizi lakini ukitrace hizo email inaonyesha zinatoka nchi fulani ya afrika ya magharibi je unaweza kuforward email yote original ya mwanadada huyo ili nijue habari zaidi kuhusu mahala alipotuma na kuweza kujua vitu vinging kama usajili wa email yenyewe na kuulizia kama kweli haina shauku yoyote na watu wengine ? Kama nilivyokwambia kuna email nyingi zinazofanana na hizo na nyingi zinataka watu kwenda kufanya kazi kwenye mahoteli au kuhudhuria mkutano fulani ila wahanga wakubwa ni wanawake warembo koz huwa wanauzwa haswa nchi za ulaya ya mashariki

- Mkuu Shy, heshima yako this is what I am talking about, shukrani sana kwa ustaarbu wako, ninakutumia sasa hivi barua yote kwenye PM ila tafadhali sana kuna washikaji wangu wengi wako mbioni na hii kitu, one mistake wataishia... kwa hiyo please naomba uwe kama ninavyokufahamu in private.

- Nipe dakika tano, halafu nitakutwangia sasa hivi.

Respect.

FMEs!
 
- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.

Mimi nikishawasikia hao niliowekea rangi nasisimka maana sasa hivi nahisi EO wameshateka mpaka master??bedroom!
 
this is what we call 419 scam!stay away.even if you received such an email from your FATHER or WIFE,just stay away!
NO ONE in the west is in a position to hire now.MJUE hilo.they are even struggling to keep the extremely talented IVY league educated employees they have.sembuse kukufuata wewe AFRICA?!aaaaaagh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom