Tangazo la TiGo 4G Linadhalilisha

Tangazo la TiGo 4G Linadhalilisha

Mbona sio kigugumizi kinachosemwa kwenye tangazo lile, huwa kinachosemwa ni kwikwi ambalo hakuna mtu anaedumu na tatizo hili la kwikwi, maana muda mwingine dawayake ni kunywa maji tu. Hebu rudi kwenye tangazo usikilize tena utabaini wanachokisema.
Kiswahili kigumu japo ndo lugha yetu
 
Kuna tangazo la Tigo liko hewani kwa takribani week tatu sasa likitambulisha kasi ya huduma yao ya 4g.

Hili tangazo kwa kweli linadhalilisha wenzetu wenye tatizo la kuongea sijui kitaalamu hili tatizo linaitwaje japo wengine wanaita kigugumizi

Watu mlioko Marketing Tigo mmekosea sana kuna vitu vingi mnaweza kuvifananisha na spidi ndogo ila sio tatizo la wenzetu amabao hawawezi kuongea bila kugandisha maneno. Tafadhali ondoeni tangazo hili sokoni.

tigo mimi siipendi tena, niliibiwa simu saa 3 usiku nawapigia simu wablock line ili kuepuka wizi au utapeli ambao unaweza kufanyika, wananiambia nikare-new line, wakati vodacom nimewapigia wakablock on spot. Mimi Tigo situmii tena huduma zao
 
tigo mimi siipendi tena, niliibiwa simu saa 3 usiku nawapigia simu wablock line ili kuepuka wizi au utapeli ambao unaweza kufanyika, wananiambia nikare-new line, wakati vodacom nimewapigia wakablock on spot. Mimi Tigo situmii tena huduma zao
Da na mimi nshawahi kutana na hii shida. Jamaa hawako serious kabisa. Mpaka mtu anaibiwa na wakati ulishawambia wafunge hiyo namba
 
Tigo wasanii tu.hakuna chs 4G LTE wala nini. Kama unataka 4G LTE ya kweli ipo SMILE.
Katika mitandao simu Halotel kwa sasa ndio wapo vizuri kwenye Internet.
 
kila simu nayopeleka niwekewe LTE naambiwa code zao haziendan na simu sasa najiuliza kode zip hizo na simu ina sapot 4G

2. 4g ya laini ni uongo uliotukuka kama wa baba wa huo shetan

ni wazushi ile mbaya, mimi natumia S3 na cm yangu inasuopport 4G,mara nyingi huwa napata 4G kwenye cm yangu bila hata kutumia line yao. Nikaenda ofisi zao mbili tofauti ili nipate hiyo line ya 4G, nikajibiwa cm yangu haipo kwenye list yao ya sm za 4G. Pamoja na kumuonesha kuwa mbona hapa napata 4G kwa nn unaniambia hai support akasisitiza jibu lake la awali, nikaondoka huku nikicheka kwa kwa kuwa ni wahuni tuu
 
Hatakama ni tatizo la muda mfupi (kwikwi) ila haihalalishi mtu mwenye ugonjwa wa muda mfupi adhalilishwe....
 
ni wazushi ile mbaya, mimi natumia S3 na cm yangu inasuopport 4G,mara nyingi huwa napata 4G kwenye cm yangu bila hata kutumia line yao. Nikaenda ofisi zao mbili tofauti ili nipate hiyo line ya 4G, nikajibiwa cm yangu haipo kwenye list yao ya sm za 4G. Pamoja na kumuonesha kuwa mbona hapa napata 4G kwa nn unaniambia hai support akasisitiza jibu lake la awali, nikaondoka huku nikicheka kwa kwa kuwa ni wahuni tuu

wale waongoo balaa wanajifanya kwnda kwenye settings sasa wakikuta ushaeka ile ya wcdma/gsm/lte wanajidai kuangalia imei afu wanakupa jibu hilo.

nachoona wanataka biashara ya modem zao ula lte ktk simu ni WAONGO
 
Kuna tangazo la Tigo liko hewani kwa takribani week tatu sasa likitambulisha kasi ya huduma yao ya 4g.

Hili tangazo kwa kweli linadhalilisha wenzetu wenye tatizo la kuongea sijui kitaalamu hili tatizo linaitwaje japo wengine wanaita kigugumizi

Watu mlioko Marketing Tigo mmekosea sana kuna vitu vingi mnaweza kuvifananisha na spidi ndogo ila sio tatizo la wenzetu amabao hawawezi kuongea bila kugandisha maneno. Tafadhali ondoeni tangazo hili sokoni.
kweli mkuu hapa umeongea busara kweli, yaani hawa jamaa wanafanyia kejeli vilema vya watu aisee, dah lipigwa ban hili tangazo na mamlaka zinazohusika
 
Ni
Kuna tangazo la Tigo liko hewani kwa takribani week tatu sasa likitambulisha kasi ya huduma yao ya 4g.

Hili tangazo kwa kweli linadhalilisha wenzetu wenye tatizo la kuongea sijui kitaalamu hili tatizo linaitwaje japo wengine wanaita kigugumizi

Watu mlioko Marketing Tigo mmekosea sana kuna vitu vingi mnaweza kuvifananisha na spidi ndogo ila sio tatizo la wenzetu amabao hawawezi kuongea bila kugandisha maneno. Tafadhali ondoeni tangazo hili sokoni.
Kweli tangazo hili halifai!!
Tigo sikilizeni maoni ya wananchi.
 
Kuna tangazo la Tigo liko hewani kwa takribani week tatu sasa likitambulisha kasi ya huduma yao ya 4g.

Hili tangazo kwa kweli linadhalilisha wenzetu wenye tatizo la kuongea sijui kitaalamu hili tatizo linaitwaje japo wengine wanaita kigugumizi

Watu mlioko Marketing Tigo mmekosea sana kuna vitu vingi mnaweza kuvifananisha na spidi ndogo ila sio tatizo la wenzetu amabao hawawezi kuongea bila kugandisha maneno. Tafadhali ondoeni tangazo hili sokoni.


Kabisa kabisa. Nakuunga mkono asilimia mia moja! TIGO should stop this immediately !
 
Kuna tangazo la Tigo liko hewani kwa takribani week tatu sasa likitambulisha kasi ya huduma yao ya 4g.

Hili tangazo kwa kweli linadhalilisha wenzetu wenye tatizo la kuongea sijui kitaalamu hili tatizo linaitwaje japo wengine wanaita kigugumizi

Watu mlioko Marketing Tigo mmekosea sana kuna vitu vingi mnaweza kuvifananisha na spidi ndogo ila sio tatizo la wenzetu amabao hawawezi kuongea bila kugandisha maneno. Tafadhali ondoeni tangazo hili sokoni.
Mkuu...hivi ile ni kigugumiziii au kwikwi??
 
Mkuu...hivi ile ni kigugumiziii au kwikwi??

Mkuu hata kama ni Kwikwi sio utu kutumia kwenye matangazo hakuna mtu anapenda impate. Hata hivyo ile ni kigugumizi kilochokua modified hakuna hata siku moja mtu akiwa na kwikwi anaongea vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom