Heeeeeeeeeeeee.................
ooooh...... swiriiii...... i real miss u jamani, ulikuwa wapi mpaka mwenzio nataka kuolewa?
Kwa hiyo unataka kughairi kwa sababu yake?ooooh...... swiriiii...... i real miss u jamani, ulikuwa wapi mpaka mwenzio nataka kuolewa?
Ukiona hivyo anapendwa sanaaaaJibu swali, maana kuna Chilli, tedo, Chibolo, Chimbuvu, rutta, Shark , kiplagati126, Remote, Ben Saanane, e.t.c, e.t.c, kwa sasa sikufungishi ndoa tena, naongea na secretary wangu mteule ladyfurahia akutengenezee cheti chako maalum cha ndoa binafsi kitakachokuwa na nafasi zilizo wazi ambamo utakuwa unajaza jina la kila mume mpya unayempata bila hata kunishirikisha, utakuwa unanipa taarifa tu.. umenichosha we mwana, mwaka mmoja nimekufungisha ndoa saba, wewe tu....
ooooh...... swiriiii...... i real miss u jamani, ulikuwa wapi mpaka mwenzio nataka kuolewa?
Jibu swali, maana kuna Chilli, tedo, Chibolo, Chimbuvu, rutta, Shark , kiplagati126, Remote, Ben Saanane, e.t.c, e.t.c, kwa sasa sikufungishi ndoa tena, naongea na secretary wangu mteule ladyfurahia akutengenezee cheti chako maalum cha ndoa binafsi kitakachokuwa na nafasi zilizo wazi ambamo utakuwa unajaza jina la kila mume mpya unayempata bila hata kunishirikisha, utakuwa unanipa taarifa tu.. umenichosha we mwana, mwaka mmoja nimekufungisha ndoa saba, wewe tu....
Ukiona hivyo anapendwa sanaaaa
Afu wewe nahisi siku ya jana inakuhusu....
Lady doctor hebu niambie...... Chimbuvu ni nani kwako kabla sijafanya uamuzi mgumu.halafu nilikuona jana unasheherekea kwa mbwembwe kumbe nawe ilikuwa inakuhusu... Hongera mwenyekiti
........Nheeee!!!!!!!!
Ni mimi au nafananisha Mpenzi Chimbuvu?
Lady doctor hebu niambie...... Chimbuvu ni nani kwako kabla sijafanya uamuzi mgumu.
Na wewe Chimbuvu,....kuja huku haraka.
usifanye uamuzi mgumu kiasi hicho kwanini ujitoe roho yako kisa mwanamke yaani penzi ndo likupeleke jehanamu bestito? usijiue wako wengi humu mjengoni wewe chagu umtakaye halafu natangaza NIA yako wachangiaji tupo na tualike kwenye kikao mm nitakuwa KATIBU katika kikaoc hako cha harusi na nitakuwa MSEMAJI siku hiyo na kapu la utunza hazina alishike Filipo na uenyekiti mwambie my cousin charminglady anafaa zaidi hupo hapo
Madame B tafwadhali usiniingilie kwenye anga zangu... Hebu nenda kafunge ndoa huko...... Unasubiriwa kanisani
halafu nilikuona jana unasheherekea kwa mbwembwe kumbe nawe ilikuwa inakuhusu... Hongera mwenyekiti
mmmmmmmhhhh !!!!!!!
Wewe uwe na Anga............ na Sir God asemeje?
Unaakili nyingi sana! Kapu la hela ni sahihi kukaa kwangu!