Tangazo la ndoa

Wakuu kwa mara ya kwanza napenda kutangaza ndoa kati ya mtz one na Madame B hivyo yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii ajitokeze nawasilisha

hivi kwenye hiyo sacos wewe utakua mwenyekiti au katibu maana naona una mbwembwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Madame B nyota ya jaa imekushukia tena hiyo,
hivi masharti yako anayajua huyu mume wa sasa hivi kweli.
 
Last edited by a moderator:
hii sikuwa nimeiona. Madame B ..........hongera tena. sasa kitchen party lini?
 
Last edited by a moderator:
mh! Wahusika lazima wote wawe na mikopo...
Except mweka hazina Madame B yeye ndo anahifadhi ila hao wengine ni providers
stevoh........... Mie mwenyewe nina hisa zangu kwenye ndoa zangu.

hii sikuwa nimeiona. Madame B ..........hongera tena. sasa kitchen party lini?

Asante Shosti Paloma.............. Ndoa mwezi wa 6... Arushaaaaaa
Ila mie ntabaki Kino kwetu, na yeye ataenda Ar kwao.
 
Last edited by a moderator:
Ushahid please


Madame B



Join Date : 9th April 2012

Location : KINO CLAIN

Posts : 12,561

Rep Power : 28605

Likes Received 8148





mtz one

Join Date : 25th December 2012

Location : TIMBALYOSI
Posts : 1,103
Rep Power : 4145

Likes Received 123

Sasa hapo nani mtoto?
 

hahaha!! Mtoto si huyu wa chini namuona anatambaa wakati mwenzake yuko juu anakimbia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…