Tangazo La Maandalizi ya Ndoa

Ndugu Jamaa na Marafiki

Sijaingia kijiwe hichi siku nyingi kidogo muda mwingine tuko kwenye vijiwe vingine hongereni kwa mafanikio yaliyofikiwa na kijiwe hichi kwa miezi michache iliyopita mpaka sasa hivi - lakini kuna wale wakongwe siwaoni siku hizi kama Naima , AmazingFriend Na Haika Wale wa DHW naona nao wapo humu siku hizi lakini haijalishi .

Napenda kuwajulisha kwamba natarajia kufunga ndoa mwezi wa 9 Mwaka huu Maandalizi ndio yameshaanza na Tunaendelea Kawaida tu .

Nawakaribisha Kwa Maombi , Michango na Wale wanaopenda kuwa kwenye Kamati Ya Maandalizi Ningependa sana kuwa na watu wa jukwaa hili japo 20 Hivi itapendeza kujenga Undungu na mengine mengi .

Kuhusu hii kamati Nitawasiliana na Invisible Tuone Itakuwaje Au tunaweza kuanza na hapa hapa

Ahsante na Karibuni Tena
hongera sana
na mchakato wa harusi, maana imeandikwa.... mwanamke/mwanaume atamwacha baba na mama yake naye ataungana mme/mke nao watakuwa mwili mmoja,....basi awe nawe kwa kila hatua, maana unaelekea kumtukuza kwa kufuata utaratibu wake
 
Kikao cha pili kinafanyika Tarehe 10 mwezi wa 7 kuanzia saa 11 kilimanjaro park Nitawafahamisha itakavyokuwa muda ukiwa karibu zaidi itakavyokuwa
 
Namba ya Acount ni 0140525613601 STANBIC BANK YONA MARO AU ZAP 0786 806028 - TAFADHALI UNITUMIE MAJINA YAKO NA ANUANI YAKO KWA AJILI YA MUALIKO
 
Namba ya Acount ni 0140525613601 STANBIC BANK YONA MARO AU ZAP 0786 806028 - TAFADHALI UNITUMIE MAJINA YAKO NA ANUANI YAKO KWA AJILI YA MUALIKO

Shukrani mkuu tutakuchangia kwa hali na mali harusi itafanyikia Moshi? Sijasoma uzuri hapo juu.
 
Ndugu yangu Shy'

Mungu alishasema si vema mtu akawa pake yake......, hivyo umepatia shy; hongera sana tunakuombea baraka na nyumba yenye raha.
 
Shukrani mkuu tutakuchangia kwa hali na mali harusi itafanyikia Moshi? Sijasoma uzuri hapo juu.

Harusi itafanyika, Kiboroloni, baada ya harusi, watu watakula kitimoto pale onyonya ukunonze na mibia ya Safari TU!!!
 
Shy ongera na mkaribishe mama apa achangaie mawazo pia ya jinsi ya kusukuma gurudumu hili la maendeleo kimtandao.
 
mkuu shy nadhani ungekuwa unafuatilia mabandiko na maudhui na hoja na kadhalika zingine humu kwenye hili jamvi ungepata kiggugumizi cha kutangaza nia. ila songesha tu ndugu maana kila mtu ana mikakati yake
 
Ndugu yangu itafanyikia Dar es salaam mwisho wa mwezi wa 8 mwaka huu , Mama yupo na ni mchangiaji mzuri Sintopenda Kutaja jina lake kwa sasa Tuendelee na mipango mengine kwanza hii ya sasa
 
Ndugu yangu itafanyikia Dar es salaam mwisho wa mwezi wa 8 mwaka huu , Mama yupo na ni mchangiaji mzuri Sintopenda Kutaja jina lake kwa sasa Tuendelee na mipango mengine kwanza hii ya sasa
The Following User Says Thank You to Shy For This Useful Post:

Bigirita (Today)​
 
Jumanne Jioni sina uhakika sana but nipe mawasiliano yako ili niwe nayo kwanza ntakushtua ila kikao kingine ni Jumamosi hii tarehe 10 kuanzia saa 11 pale Kilimanjaro Park , Mbele ya Mwika Hall
 
quote_icon.png
Originally Posted by Mfamaji
SALAAMZZZZ FROM ANKAL KAMU IN NAKURU: WEDDING OR EDUCATION?

ANKAL Issa Mhiddin Michuzi
I am sorry that, i have been unable to communicate with you on a timely manner. have been on a project in the rural area, and just returned to Nakuru. I must begin by congratulating my brotherens in Tanznaia for hosting the brazilians national team. i am sure the country got enough exposure, and gained back the money invested in the historic friendly match, besides, tanzanians were fully entertained by Kaka and his team for a few millions dollars. so i must apologize to my neighbours who were so critical to me, and described me like a hater, we are not haters, we actually supported taifa stars.
anyway, today, i must touch on a different topic, and that is the endless weddings in tanzania communities which have superceeded all other development issues. Tanzanians love to contribute greatly to wedding causes, but would not give a dyme to a worthy cause of education. I knew of many tz youth during my days in the UK who could not afford school because of poverty, and decided to look for other jobs to keep themselves. In kenya, our communities prefers harambee for young people who want to further their education. We dont contribute to weddngs, and we dont value them as much as we value education
I was irked by the wedding issue in Nairobi, where a number of TZ associates at work, almost everyweek, received cards soliciting for donations, and has never seen any card seeking funds for a young man seeking further studies abroad, and this is one of the reasons why I was concerned to see the country spending such huge amounts for brazil instead of investing that amount to produce young people who can play in foreign professional clubs.lakini huko watu wanatoa pesa yao kwa harusi tu, hata mutu akikufa ninyi amutoi muchango, hata kama mugonjwa hatuio kitu, lakini kam aharusi, ni spidi kama mwendaa
sisi siyo mutu ya chuki, mutu ya chuki ni wakora tu, mutu mwenye kichwa muzuri hawezi kuweka kampuni ya simu tu inasaidia kuweka miss competition peke yake kila wiki hii. itakuwa muzuri kama watu wenyu wa simu na Breweries wanaweka scholarship ya shule huko UK kuliko kukaa kwa kuweka wasichana kwenye hoteli ya miss TZ. kama huyo musichana anakosa kupata miss TZ, anakuwa tu wa kukaa kwa baa kutafuta mutu wenye pesa mingi. kama unamusaidia kusoma, hiyo shida hakuna tena.
Mimi siwezi kusema kenya ni inchi muzuri sana, hapana, kwa sababu hao mang'aaa wanaiba kura, na hata kufanya katiba mupya kusipite, ila watu ya kawaida wana akili nzuri ya kujua kitu gani wa kufanya. na kitu wa aibu hata minister muzima anafika kwa miss competition, kama siyo kukaa kwa ofisi kutafuta mwizi wa ngo'mbe huko kwa kijijini
Sasa mimi nauliza tu kama munaona kwenda kwa harusi ni muzuri kuliko kwenda kwa shure?
Mujomba Kamau
Nakuru, Kenya
==================================================================================
My take.....kwa nini nasi tusianze sasa kuachana na hizi trivialities za kuchangiana harusi, send-off, kitchen party, birthday, kiparaimara, etc na kuhamia kwenye noble courses like education?
 
Hivi ni lazima kuchangiwa ili uweze kuoa? Huwezi kuoa bila kuwa na kamati ya maadalizi?
Harusi siyo ati kama bethdei pati..Kiafrika harusi ni shughuli ya familia,ndugu jamaa na marafiki kama msiba.Usijaribu kuonyesha hiyo jeuri hata kama una pesa... utajikuta unasusiwa mazishi ndugu.Utalia sana likikufika... si una pesa?
 
Harusi siyo ati kama bethdei pati..Kiafrika harusi ni shughuli ya familia,ndugu jamaa na marafiki kama msiba.Usijaribu kuonyesha hiyo jeuri hata kama una pesa... utajikuta unasusiwa mazishi ndugu.Utalia sana likikufika... si una pesa?
Sawa, lakini kwa nini nguvu ya aina hii hii pia isielekezwe kwenye maeneo mengine muhimu kama elimu? mitaji ya biashara? uanzishaji wa vituo vya kulelea/ku-sponsor yatima? maendeleo mengine? etc, etc? I say NO to mitizamo mgando inayosingizia eti "mila". Mila, mila, mila...... gimme a break. I say again...screw all "mila's" ambazo effect yake ni kutufanya tujione tunaishi peponi kumbe......
 
thanks shy, na hongera

kwa sasa tunaelekeza nguvu zetu kuchangia matibabu na elimu zaidi... kwani kuoa ni kanisani tu mengine yote ni mapito na makaribisho ya venue za kishetani zaidi
 
Asante sana Shy tuko pamoja kimaombi zaidi ...Kumbe ulikuwa single miaka yote hiyo...

Hongera sana kwa uauzi huo mkuu,na karibu kwenye klabu yetu kuna raha ya aina yake. FL1 avatar yako,mbona unaonekana kuwa na mawazo mengi mno mama,tatizo nini? Ama ndo unawaza hiyo harusi ya Shy itakuwaje?
 
Back
Top Bottom