Tangazo la m pesa ni aibu!

Beso

JF-Expert Member
May 6, 2011
216
59
Wadau kuna tangazo la m pesa linalorushwa redioni ambalo hujaribu kuonyesha binti wa kichanga akijibizana maneno na kijana wa kigosi(kisambaa) hivi kweli ile ni lafudhi ya kisambaa au kipemba?MTAZAMO,tuwe makini kwenye biashara na kuacha ubabaishaji,tuwape kazi wenye kuzijua!
 
Wadau kuna tangazo la m pesa linalorushwa redioni ambalo hujaribu kuonyesha binti wa kichanga akijibizana maneno na kijana wa kigosi(kisambaa) hivi kweli ile ni lafudhi ya kisambaa au kipemba?MTAZAMO,tuwe makini kwenye biashara na kuacha ubabaishaji,tuwape kazi wenye kuzijua!

mdau we msambaa ?
 
Back
Top Bottom