Tangazo la Haki Elimu linadhalilisha kada ya Ualimu

Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.

Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?

My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
Sasa kama mtu anakuwa professor na wazir wa elimu anaunga kinge kwa super glue, unashangaa nini?
 
Headmaster fulani akiwa parade asubuhi, 'Yesterday some students goes football without our communication'......sitokaa nije kusahau hili.
Kuna ile moja aliitoa mwamba mmoja pande la jitu la kutisha raia akihojiwa na chombo kimoja ilibidi mwenyeji aokoe jahazi. Tuliaibika sana!
 
Hii nchi ngumu sana....

1. Pipo yuzidi tu dai ini ze reki.

2. I am thirty first (31st)

3. Akademishaz endi politishaz

4. Iti kanti bi

 
Hata hawadhalilishi bali ndio uhalisia kabisa. Hadi vyuo vikuu huko walimu kingee ni kizungumkuti.
 
Dah! hapa utata maana tafsiri hizi kidogo zitanipoteza, hebu msaada kidogo hapa.Hivi hapa most imekaa kama quantifier kama determiner au ni kitu gani? nachojua most teachers inaweza kuwa correct grammatically lakini ina sound unnatural
Sawa mwalimu wa LL
 
Sasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
English language is commonly used around the world as a trade language or diplomatic language
 
watanzania bado ni malimbukeni wa lugha hasa kingereza, Kuna wazungu wengi tuu wa mataifa yaliyoendelea hawakijui hicho kingereza ila tunaona kawaida tuu, ila mtanzania asiyejua hiyo lugha anaoneka taahira
Sio nchi zote za wazungu wanatumia kingereza kwenye nchi zao.Ata Tanzania ingekua kingereza sio sehemu ya lugha ya kufundishia hakuna mtu angeshangaa kwanini watu hawakifahamu.
 
Write your reply...Mimi nimelipenda sana nacheka mno nikilisikia wacha litupunguze maswahibu ya mfumuko wa bei...nimelichukulia kama comedy kwangu....ingawa kuna kaukwl..
 
English language is commonly used around the world as a trade language or diplomatic language
Sema nini home boy kwanza samahani sana kama utanielewa vibaya.

Hii michakato ya luzungu tufike hatua tuachane nayo tu man.Unajua tungo yako ni nzuri ila ina mambo mengi yasiyo na tija.Kwa mfano,neno commonly,sioni sababu yakuwepo hapo.Kingine home boy hivi ni kweli kuna trade language au diplomatic language?msaada tafadhali

Sema ningekuwa mimi ningesema hivi English Language plays a great role in trade and diplomacy globally
 
Dadangu alisoma shule ya secondary boarding enzi hizo, second mistress, aliwatangazia wanarudishwa majumbani kufuata Ada,

We have eaten your fellow pupil school fees. Now you go home & bring yours so that we can eat it!..
Aliirudia Sana Sisi wa Physics hatukuona kosa Ila yeye ilimsumbua! Kila akiulizwa shule vipi. Ubobu unaelezewa na hiyo sentence!

Sister ilimkera Sana. Akawa anamkomalia mdingi amuhamishe shule coz Ile shule asingetoboa, na alikuwa anasoma A level ya HKL. Dingi alimuacha pale pale. Siku hizi eti ana PhD!
 
Back
Top Bottom