Wasalam.
E bana tangu nmeingia katika kada hii ya elimu kama mwalimu wa kujitolea katika shule moja ya msingi apa mjini dsm nimejikuta nikigundua kumbe tuna walimu vilaza wengi sana katika hii kada.
Imagine mwalimu wa serikali haamini kama mwanafunzi anaweza kupata 50/50 katika somo la hisabati mpaka anaamua kutengenezq hoja ya kwamba mwalimu nimewapa majibu wanafunzi
Sasa unajiuliza huyu mwalimu ambae ana experience ya miaka takriban 20 na zaid haamin darasa linaweza kupata hamsini ya hamsini wanafunzi 15 je ni kwamba yeye kipind anasoma hakuwah kufuta zote au maana nimeshtuka sn mwalimu anakaza mshipa wa shingo kwamba HAIWEZEKANI watoto kupata hesabu 50..
Serikali ina haja ya kuwatimua hawa walimu wazee waliofeli form four na kuajiri walimu wenye ueled na WALIMU LAZIMA WAFANYIWE USAHILI TUONDOE UOZO
E bana tangu nmeingia katika kada hii ya elimu kama mwalimu wa kujitolea katika shule moja ya msingi apa mjini dsm nimejikuta nikigundua kumbe tuna walimu vilaza wengi sana katika hii kada.
Imagine mwalimu wa serikali haamini kama mwanafunzi anaweza kupata 50/50 katika somo la hisabati mpaka anaamua kutengenezq hoja ya kwamba mwalimu nimewapa majibu wanafunzi
Sasa unajiuliza huyu mwalimu ambae ana experience ya miaka takriban 20 na zaid haamin darasa linaweza kupata hamsini ya hamsini wanafunzi 15 je ni kwamba yeye kipind anasoma hakuwah kufuta zote au maana nimeshtuka sn mwalimu anakaza mshipa wa shingo kwamba HAIWEZEKANI watoto kupata hesabu 50..
Serikali ina haja ya kuwatimua hawa walimu wazee waliofeli form four na kuajiri walimu wenye ueled na WALIMU LAZIMA WAFANYIWE USAHILI TUONDOE UOZO