Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
Aisee kuna Mangi mmoja kule Kiboroloni aliweka Tangazo hili katika Duka lake:
Imekaaje hii wadau?
Pata Sukari; Mayai; Baiskeli; Kanga; Pilau; Wali; Kuku; Sambusa; Tairi za Trekta; Madaftari; Bia Aina Zote; Mbege; Petroli; Matunda; Nazi; Vitumbua; Mitumba Grade One; Supu ya Utumbo; Mabati; Vocha za Simu; Mtego wa Panya; Pembejeo; Makabati ya Nguo; Computer; Juice; Mbogamboga; Mahindi ya Kuchoma; Bajaji; Cementi; Leso; Vyumba vya Wageni na Vyuma Chakavu. KARIBUNI.
Imekaaje hii wadau?