Kwa mara ya kwanza napenda kuitambulisha kwenu wadau ngoma yangu mpya inayo kwenda kwa jina la UWAZI inayofanyika ndan ya huruma records na prodyuza endlu ndan ya tanga itakayo kamilika kabla ya tar26 mwezi huu imetetea sana jamii na kuwa umbua mafisadi na iko poa sana naimani ukiisikia mwenyewe utafurah sana ipo tofauti na ngoma za wasanii wengine hii imekuja kiharakat zaid kwa mawasiliano zaid 2ma emil kwenda zmbishi@yahoo.com... napia nahitaji mzamin ili niweze kuusongesha ujumbe wangu kwa kila muafrika aman kwenu wadau nahitaji sana sapot yenu..
Natafuta mzamini atakaye nizaminh ili niende studio nika record nyimbo zangu kwa mawasiliano zaid piga cm kwenda 0658142790au0767142760 na email zmbishi@yahoo.com..
Nauza Samsung s3600i, ni slim and light to carry ina vifaa vyake, ni LINE MOJA and ina miezi 7 tokea nimenunua na ina guarantee ya mwaka1. Bei ni 120,000 nipate kwa 0713079282
Ninauza mziki(PA) pamoja na Projector na Generator.Vyote vipo katika hali nzuri,nilikuwa nafanya biashara ya kukodisha mziki na kukodisha projector ila kwa sasa nimeamua kubadilisha biashara.Unaweza kununua kimoja kimoja sio lazima ununue vyote.Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa private Message.
Wapendwa, natafuta used toyo ambayo haitazidi usd 800 au 1,200,000 tsh maeneo ya moshi au arusha. Mwenye nayo tuwasiliane kwa namba 0716013287 leo hii.ahsanteni.
Natafuta jenereta inayotumia maji. Nilisikia bwana mmoja anaziunda yuko mwanza sido. Amewaikuziunda akiwa kusini mwa tanzania,amewaikuhojiwa ju ya kazi zake na Tbc,waka ti ule ikitwa RTD. Kwa yeyote anayefahamu chochote kuhusu,tuwasiliane 255756847424 au eliothngumba@gmail.com
Nauza kiwanja 18x20 tsh milion 18(18,000,0000/=) kipo maeneo Sigara,Yombo, vituka call 0655948888 kinauzwa kwa shidaNauza kiwanja 18x20 tsh milion 18(18,000,0000/=) kipo maeneo Sigara,Yombo, vituka call 0655948888 kinauzwa kwa shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.