Tangaza na JF, Mahali Jamii inapokutana

Status
Not open for further replies.
Nina kampuni inayo tengeneza sofa mpya aina mbali mbali,kubadilisha cover ya sofa iliyochakaa hapo hapo nyumbani
kwa bei poa kabisa
 
natafuta power suppry ya laptop aina ya compaq ev n610c nipigie namba 0714 260821
 
Kwa mara ya kwanza napenda kuitambulisha kwenu wadau ngoma yangu mpya inayo kwenda kwa jina la UWAZI inayofanyika ndan ya huruma records na prodyuza endlu ndan ya tanga itakayo kamilika kabla ya tar26 mwezi huu imetetea sana jamii na kuwa umbua mafisadi na iko poa sana naimani ukiisikia mwenyewe utafurah sana ipo tofauti na ngoma za wasanii wengine hii imekuja kiharakat zaid kwa mawasiliano zaid 2ma emil kwenda zmbishi@yahoo.com... napia nahitaji mzamin ili niweze kuusongesha ujumbe wangu kwa kila muafrika aman kwenu wadau nahitaji sana sapot yenu..
 
Nauza Samsung s3600i, ni slim and light to carry ina vifaa vyake, ni LINE MOJA and ina miezi 7 tokea nimenunua na ina guarantee ya mwaka1. Bei ni 120,000 nipate kwa 0713079282
 
Ninauza mziki(PA) pamoja na Projector na Generator.Vyote vipo katika hali nzuri,nilikuwa nafanya biashara ya kukodisha mziki na kukodisha projector ila kwa sasa nimeamua kubadilisha biashara.Unaweza kununua kimoja kimoja sio lazima ununue vyote.Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa private Message.
 
Wapendwa, natafuta used toyo ambayo haitazidi usd 800 au 1,200,000 tsh maeneo ya moshi au arusha. Mwenye nayo tuwasiliane kwa namba 0716013287 leo hii.ahsanteni.
 
Natafuta photocopy machine aina ya canon iwe mpya au mtumba .size ya kati au kubwa
 
Natafuta jenereta inayotumia maji. Nilisikia bwana mmoja anaziunda yuko mwanza sido. Amewaikuziunda akiwa kusini mwa tanzania,amewaikuhojiwa ju ya kazi zake na Tbc,waka ti ule ikitwa RTD. Kwa yeyote anayefahamu chochote kuhusu,tuwasiliane 255756847424 au eliothngumba@gmail.com
 
Nauza kiwanja 18x20 tsh milion 18(18,000,0000/=) kipo maeneo Sigara,Yombo, vituka call 0655948888 kinauzwa kwa shidaNauza kiwanja 18x20 tsh milion 18(18,000,0000/=) kipo maeneo Sigara,Yombo, vituka call 0655948888 kinauzwa kwa shida

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Nauza crips za ndizi pact moja elfu moja jumla na rejareja unaletewa mpaka mlangoni kama una supermarket au sehemu yoyote ya biashara call; 0658933388
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom