TANGANYIKA TANGANYIKA

TANGANYIKA TANGANYIKA

Black Pundit

Member
Joined
Dec 24, 2022
Posts
62
Reaction score
197
Hivi kweli Currently hakuna Nchi ya kuitwa Tanganyika?

Wajuzi wa Mambo naomba mtuambie hii imekaaje.....

Natanguliza shukrani
 
Bdo cjakupata mkuu
wengi wamezaliwa Tanzania...

waliozaliwa tanganyika ni wachache mno kuwashawishi wa Tanzania kudai tanganyika wasiyoijua ispokua kuidonoadonoa tu kwenye makaratasi darasani... :NoGodNo:
 
Nchi huongeza eneo kwa kununua, Tanganyika iliongeza kwa makubaliano tu ya kubadilisha jina.
Hili unaweza kuliona ukifikiria nje ya sanduku.
 
wengi wamezaliwa Tanzania...

waliozaliwa tanganyika ni wachache mno kuwashawishi wa Tanzania kudai tanganyika wasiyoijua ispokua kuidonoadonoa tu kwenye makaratasi darasani... :NoGodNo:
Kwahiyo hichi kipande cha ardhi walichozaliwa ndani yake ni kitu gani?.Au nchi kwako ni nini?.Mimi najua nchi ni kipande cha ardhi chenye mipaka halali.Majina watu wanabadilisha tu.Sasa hebu sema wewe hichi kipande cha ardhi kilichoungana na kisiwa cha unguja na pemba ni nini?
 
Kwahiyo hichi kipande cha ardhi walichozaliwa ndani yake ni kitu gani?.Au nchi kwako ni nini?.Mimi najua nchi ni kipande cha ardhi chenye mipaka halali.Majina watu wanabadilisha tu.Sasa hebu sema wewe hichi kipande cha ardhi kilichoungana na kisiwa cha unguja na pemba ni nini?
bila shaka yoyote unazungumzia kipande cha aridhi ya Tanzania wewe
:whatBlink:
 
Hujui ata nchi yako.una utumwa wa fikra kwasababu za kusiasa.Mkataa kwao mi mtumwa.
mie mTanzania tena wa kuzaliwa , kamwe siwezi asilani kukubali kua mtumwa wa katanganyika abadani :BASED:
 
watanganyika wachache mno wamebaki, wengi waTanzania :whatBlink:
Tanzania Bara ndio Tanganyika. Tanganyika ni kubwa yenye makabila mengi
Tanzania Visiwab ndio huko unguja Pemba sijui makabila sijui mawili.

Tanganyika ni yetu Tunajivunia kuitwa WaTanganyika
Tanganyika kwanza then Tanzania
Karibu tutaelewana
 
Fikra tunduizi
Fact isiyobishaniwa ni kwamba, Wazanzibari wote ni raia wa Tanzania na yeyote aweza kuwa Rais wa nchi akisimamia mambo yote ya iliyokuwa Tanganyika ambayo yeye automatically ni raia (uraia usiobishaniwa) mwenye hadhi his ya juu kabisa na utawala wake unahusu maeneo yote.
 
Wakati Christopher Mtikila alipokuwa anadai Tanganyika irejeshwe hadi akawa anatembea na bendera ya iliyokuwa Tanganyika hadharani mlikuwa wapi kumuunga mkono?

Tatizo letu sisi Wananchi huwa hatutilii maanani yale wanayoyapigania wapinzani. Huwa tunadhani ni none of our business, ila baadaye ndo Huwa tunakuja kugundua walikuwa wanatupigania. Too late!
 
Tuliskubaliana Tanzania niTanganyika, na Zanzibar ni moja tu ya Majiji makubwa nchini hapa
 
Back
Top Bottom