Ili kuhakikisha katiba mpya haipatikani,AG werema na Kombani wamechomeka kipengele ndaoi ya sheria ya mchakato wa kupata katiba mpya ambacho kitapingwa na hivyo kuchelewesha zoezi zima la mchakato wa kuandika katiba mpya. TLS wameonesha nia hiyo. Wanataka kwenda kupinga sheria hiyo mahakamani.
Mchakato wa katiba mpya ulipingwa na unaendelea kupingwa na AG Werema na waziri wa katiba Kombaoi.
Wamemshauri vibaya JK. Wamempotosha,amebaki kuumbuka mbele ya umma na nje ya nchi.
JK wasaidizi wako hawa wanakuandaa kuingia kwenye historia ya marais watakaotukanwa oa historia ya nchi yetu milele. E. Lowassa ameishaanza kutukanwa na historia. Elewa "Si kila asemaye bwana bwana yu upande wako"
Mchakato wa katiba mpya ulipingwa na unaendelea kupingwa na AG Werema na waziri wa katiba Kombaoi.
Wamemshauri vibaya JK. Wamempotosha,amebaki kuumbuka mbele ya umma na nje ya nchi.
JK wasaidizi wako hawa wanakuandaa kuingia kwenye historia ya marais watakaotukanwa oa historia ya nchi yetu milele. E. Lowassa ameishaanza kutukanwa na historia. Elewa "Si kila asemaye bwana bwana yu upande wako"