TANGANYIKA ina Mwanasheria Mkuu Mzanzibari na ZANZIBAR ina mwanasheria Mkuu Mzanzibari

TANGANYIKA ina Mwanasheria Mkuu Mzanzibari na ZANZIBAR ina mwanasheria Mkuu Mzanzibari

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,809
Reaction score
8,970
ni mimi tu ndio sielewi au katiba yetu haijawa wazi kwenye masuala ya muungano?
Kuna Mkuu wa mkoa walikouliwa waandamanaji kwa mafungu huko Songwe ni Mzanzibari pia! Je Zanzibar kuna mkuu wa Mkoa Mtanganyika? kuna Mwanasheria mkuu mtanganyika?
mbona mie sielewi?
 
ni mimi tu ndio sielewi au katiba yetu haijawa wazi kwenye masuala ya muungano?
Kuna Mkuu wa mkoa walikouliwa waandamanaji kwa mafungu huko Songwe ni Mzanzibari pia! Je Zanzibar kuna mkuu wa Mkoa Mtanganyika? kuna Mwanasheria mkuu mtanganyika?
mbona mie sielewi?
Mzanzibar mwenyewe kilaza tu, mawazo yake yote yapo kwa mange. very stupid.
 
Tunakoelekea vyeo na ajira inabidi viwe pasu kwa pasu, yani mnaouchukia muungano mtakonda sana
 
Shule ya uongozi ya Polepole ileeee ya siku za kwanza kwanza, alisema mnaweza mkahodhiwa na ka kikundi!
That's what is happening now.
But pia alisema muda si mrefu, watafungwa, watanyongwa, watafilisiwa.
Ili kulinda heshina ya nchi yetu

Ni suala la Muda tu
Ukimya wa wazee wengi pale CCM unanipa matumaini flani. Na huyu mama wala hawazi. Ndo anazidi kuharibu siku hadi siku. Ile novena ina Fanya kazi aisee
Something big is cooking.
 
ni mimi tu ndio sielewi au katiba yetu haijawa wazi kwenye masuala ya muungano?
Kuna Mkuu wa mkoa walikouliwa waandamanaji kwa mafungu huko Songwe ni Mzanzibari pia! Je Zanzibar kuna mkuu wa Mkoa Mtanganyika? kuna Mwanasheria mkuu mtanganyika?
mbona mie sielewi?
Acheni maswali ya kidwanzi,
 
Huyo AG kaapishwa na kuapa kumkamata Mange pale marekani?!

Warioba yupo right
Lissu yupo right
Tunahitaji REFORMS Tunaongozwa na viazivilaza!
 
Wakati anaapishwa AG watanzania wabobezi wa mambo ya sheria, tena wengine majaji walikua wanakenua tu.
Hawakuona kwamba mmoja wao ndio angestahili pale.
 
Mzanzibar ni mtanzania ila mtanganyika sio mzanzibar
 
Back
Top Bottom