mckenzie
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 344
- 139
EXCELLENT! It has happened in Alaska (international borders) and many part of the USA (land belonging to native Americans)
Watuw anaweza shangaa ila huo ndio ukweli..Hii si mwanzo ktk dunia mataifa kununua vipande vya ardhi,kununua visiwa etc.na kuwapa wakazi wake waishi ila liwe chini ya nchi iliyonunua. Hii ni sehemu ya suluhu pia..Watu wapige mahesabu ya vipande vya ardhi....na thamani ya eneo husika.Wapewe hela zao...halazi zenji iwe mkoa wa Tanganyika....