Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,506
- 220,174
Nasikia humu jf wamo great thinkers nafikiri wewe ni mmoja wapo.
He is a true GREAT THINKER .
Nasikia humu jf wamo great thinkers nafikiri wewe ni mmoja wapo.
He is a true GREAT THINKER .
Alaska ilinunuliwa toka canada
we jamaa NINAKUKUBALI SANA ! UNA AKILI SANA ! MAGAMBA YAKIKUSOMA HUWA YANAPUKUTIKA YENYEWE !
Sio Canada bali ilinunuliwa kutoka Russia mwaka 1867
sio canada toka uingereza
MISUKULE ya MBOWE ikikutana lazima ichekeane!
Zanzibar ilidhike na inachopa pata, ulinzi msaada wa kuendesha serikali ya muungano, viongozi wa Zanzibar ile hali hakuna watanganyika etc. tama ya Zanzibar, Tanganyika haiwezi kumudu zaidi ya hapo, wasiwe kama watoto ile hali ni watu wazima.
suluhisho ni kuwanunua tu ili wawe mkoa wa TANGANYIKA .
fikirikwanza,,unanunuaje eneo lako la bahari?? international laws, zanziba ipo kwenye bahari ya Tanganyika, ni watanganyika wa mkoa wa Zanzibar tangu awali, ubaguzi wa rangi ndo unatusumbua hadi leo
Watuw anaweza shangaa ila huo ndio ukweli..Hii si mwanzo ktk dunia mataifa kununua vipande vya ardhi,kununua visiwa etc.na kuwapa wakazi wake waishi ila liwe chini ya nchi iliyonunua. Hii ni sehemu ya suluhu pia..Watu wapige mahesabu ya vipande vya ardhi....na thamani ya eneo husika.Wapewe hela zao...halazi zenji iwe mkoa wa Tanganyika....
Watuw anaweza shangaa ila huo ndio ukweli..Hii si mwanzo ktk dunia mataifa kununua vipande vya ardhi,kununua visiwa etc.na kuwapa wakazi wake waishi ila liwe chini ya nchi iliyonunua. Hii ni sehemu ya suluhu pia..Watu wapige mahesabu ya vipande vya ardhi....na thamani ya eneo husika.Wapewe hela zao...halazi zenji iwe mkoa wa Tanganyika....
itakua poa sana
Kainunuenu Israel wewe Myahudi Mweusi wanawapenda sana kule Telaviv, tena unabana pua eti "inhtakunhwa ponhwa" mfsssssss!
utake usitake zanzibar haitoki na muungano hauvunjiki ng'o na kwa taarifa yako tunaanzisha ubalozi rasmi hapa Tanzania na Israel. Kama unataka kupoza machungu yako kajinyonge mbuzi katoliki weye.
Watuw anaweza shangaa ila huo ndio ukweli..Hii si mwanzo ktk dunia mataifa kununua vipande vya ardhi,kununua visiwa etc.na kuwapa wakazi wake waishi ila liwe chini ya nchi iliyonunua. Hii ni sehemu ya suluhu pia..Watu wapige mahesabu ya vipande vya ardhi....na thamani ya eneo husika.Wapewe hela zao...halazi zenji iwe mkoa wa Tanganyika....