Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
Tangu lini wananchi wa Tanzania tulikuwa tunaletewa hela tulipokaa? Haya matusi ya kusema watu wanasubiri kuletewa hela hayastahili kuambiwa watanzania!Mi uchumi wangu unaendelea kuimarika kama wewe haufanyi kazi umelala unategemea uletewe hela imekula kwako