Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
Miji mikubwa kama ipi?
Wewe unaijua ipi?
Kama ni mgeni Tanzania twambie tu...
Miji mikubwa kama ipi?
Kweli ulikuwa wa kisiasa tuangalia vigezo katika kanda ya kaskazini tanga ndio mkoa mkubwa kuliko yote ya kanda ya kaskazini. lakini ndio mkoa maskini wa maendeleo na miradi ya serekali na taasisi za umma nasema bado viongozi walikuwepo tanga wa kiserekali ni tatizo kubwa
Wewe unaijua ipi?
Kama ni mgeni Tanzania twambie tu...
Kiukweli tanga haina sifa ya kua jiji,binafsi niliposkia imekua jiji nilistaajabu!
Kwani hayo majiji yapoje shame on youKiukweli tanga haina sifa ya kua jiji,binafsi niliposkia imekua jiji nilistaajabu!
Kiukweli tanga haina sifa ya kua jiji,binafsi niliposkia imekua jiji nilistaajabu!
shame on u too!!Kwani hayo majiji yapoje shame on you
mmhhhhhhh!!Tanga City
Kiukweli tanga haina sifa ya kua jiji,binafsi niliposkia imekua jiji nilistaajabu!
Wadau naomba mnijuze hivi ni vigezo gani hutumika kuipa hadhi halmashauri ya manispaa kuwa jiji.Naomba kuwasilisha
ujenzi holela...majiji yote tz ni miji ambayo 70% imejengwa kiholela