Tanga ilistahili kuitwa jiji

Tanga ilistahili kuitwa jiji

Sifa zipi?

Kwani. Vigezo vya jiji ni vip hivyo?
Tanga ndo mji uliopangiliwa kuliko miji yote tanzania, barabara zipo katika hali nzur, viwanda ving tu, population kubwa sana, huduma za kijamii. Zipo za kutosha kibongobongo, maji yapo saa 24. Sasa wewe unatka vigezo gan?
 
natokea mkoa wa jirani ila tanga
hua naenda sana kwa shughuli za kikazi!!
ila labda ni mtazamo wangu but mhhhhhh!!

Sawa mkuu naelewa kuwa ni mtazamo wako, ila mimi nafikiri Tanga I nayo hadhi ya kuitwa jiji Na Hii ni kutokana Na vigezo Vingi sana....Ni mkoa pekee katika Mikva yote ambao una Hali ya huwa tofauti kabisa.. Kwanza kuna ufukwe wa bahari ya Hindi ambao Ni njia nzuri ya usafirishaji Na uzalishaji, kuna viwanda Vingi vya kuzalisha mahitaji muhimu katika inchi Hii. Lakini pia Hali ya hewa nzuri, mfano ukitoka tanga mjini kwenda amani au Lushoto .. Hali ya hewa Ni tofauti.. Kuna Utalii wa kutosha, mbuga ya mkomazi Na mahoteli makubwa ya kuvutia katika fukwe zake.. Ukielekea maeneo ya Pangani utakuwa unanielewa , mitaa Yake imepangika vizuri sana.. Mkoa umeweza kutunza vivutio vyake ikiwa Ni pamoja Na kumbukumbu za mapango ya historia mbali mbali yapo mengi sana lakini Kwa kifupi Hebu jaribu kupitia takwimu kadhaa hapa labda itakusaidia kujua Kwanini najaribu kuutetea mkoa wa tanga. Sina maana ya kukubishia mtazamo wako ila nimeona kama haukuutendea haki mkoa wa Tanga mkuu... ImageUploadedByJamiiForums1390291940.922367.jpg

http://www.google.com/imgres?imgurl...a=X&ei=-SfeUqW_KMmCtAbYxoG4CA&ved=0CDgQ_B0wAQ
 
""Mabinti wa kitangaaaa wanajua kujipambaaaa kwa mapenzii hapoo utatia naangaaaa""
 
Back
Top Bottom