TANESCO yaamriwa kuzima umeme

hii ni hatari.hata jana taarifa ya habari huku kwetu hatukuiona.ilipofika saa mbili kamili umeme ulizima na kuwaka tena nusu.yaani saa mbili nusu.
 
Ishu ya kukata kata umeme hovyo imekisili mji wa kahama na vitongoji vyake.afu inatokea muda wa usiku tuu kuanzia mida ile ambayo wananchi wanakuwa majumbani mwao kwenye sceen zao wanaangalia taarifa za habari ndo umeme unakata hali hii inawakera watu kwan.

Wanakosa taarifa muhimu toka vyombo mbali mbali vya habari pia tatizo hili lina athiri stationary na mashine zitumiazo umeme kushindwa kufanya kazi kwa wakati hivyo bas tatizo la umeme linatakiwa kutatuliwa kwa haraka kwani linaweza kusitisha shughuli mbali mbali hasa zinazotumia umeme .

PIA HUJUMA YA TEGETA ESCROW ACCOUNT VIONGOZI WANATAKA KUHUJUMU WANANCHI WASIFUATILIE BUNGE LEO NOV.26.
 
Ndugu zangu umeme umekatika hapa Mtwara mjini sijui utarudi sangapi. ukichelewa msisite kutujuza updates za Escrow.
 
Imekua kama ni mchezo wa makusudi sasa kwa shirika la umeme tanzania [tanesco] panapotokea mambo muhimu yanayohusu mustakabali wa taifa.wao wanazima umeme nchi nzima hilijambo hilo lisipate fursa ya kutazamwa na wananchi kupitia luninga zao.mfano ni jana wakati iliyokua tume ya mabadiliko ya katiba mpya ilipokua inatoa maoni na ufafanuzi.wa katiba pendekezwa kwa kulinganisha na iliyokua rasimu yao.umeme ulizimw nchi nzima kuanzia asubui mpaka usiku.leo tena watanzania tumezimiwa.tangu saa nne nanusu mpaka sasa maeneo makubwa ya nchi hakuna umeme. Sasa najiuliza hawa tanesco wametumwa na nani? Naomba kuwasilisha.
 
Nimefinywa sikio warasimu ndani ya serekali ya Kikwete wameliamuru shirika la umeme TANESCO kuzima mitambo yake ya kuzalisha umeme sehemu kubwa ya nchi hasa miji mkubwa ili waTanzania wengi wasipate fursa hadimu ya kumsikiliza Jaji Warioba.

Hii ni baada ya wanaCCM wahuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa wahuni Tanzania Bwana Paul Makonda kushindwa kuzima kiu ya waTanganyika na waZanzibar kutaka kusikia maoni ya msomi Jaji Warioba kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Nimeongea na wadau mbali toka mikoa mingi ya Tanganyika wamenithibitishia umeme umekatika katika maeneo yao.

Naomba kuwasilisha.

====================

Update:


Huku Busega wameshakata.Anyway tutumie redio. Wakusanye pia betri zote madukani. Wasijifanye kuzuia jua kwa ungo.
 
Hapa dar washakata hawa mbwa pesa yameibiwa yao hawataki wananchi wajue ukweli hivi tz nani katuloga
 
Morogoro mjini wamekata,manyoni singida walikata ila umerudi ngoja ifike saa kumi na moja tutujua
 
hakwamungu mungu atawapa ukichaa viongozi hawq washenzi.
kweli tayari wamekata umeme kilwa nzima ..ili watu wasiangalie
 
hakwamungu mungu atawapa ukichaa viongozi hawq washenzi.
kweli tayari wamekata umeme kilwa nzima ..ili watu wasiangalie

Nenda kazini wewe, Muda wa kazi unaangalia TV halafu unalia Umasikini?

 
we umepata mgao nini? kichwa maji. unazani ofisi yako ya kizamani ndo zote zipo hivyo?. ofisi full dstv

Hauwezi kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja, hivyo ulipaswa Uzime au urekodi halafu ukifika Nyumbani ndio uanze kuangalia au hata wikiendi, ili uongeze uzalishaji ambao unahitajika Nchini!
 
Back
Top Bottom