Kuna habari zimetapakaa kwamba TANESCO wamepewa maelekezo na Prof Muhongo, Felchesmi Mramba, Maswi & Mboma kuzima umeme nchi nzima pindi sakata la ESCROW likianza kurindima bungeni Dodoma ili kuwazuia wananchi kufuatilia skandali hii kupitia kwenye rununu zao.
Hii ni hujuma ya makusudi. Kama kweli hawa wezi wamekusudia kuwafanyia hawa wananchi huu ugaidi tuwashukie. Vitendo vyao vya kiFISADI haviwezi kuwanyima raia haki ya kupata habari. Wananchi wote tusimame kidete kupinga hujuma hii. Raia wote tuwe makini na hawa maharamia, wasipende kutuendesha kadri watakavyo.
:israel: