TANESCO yaamriwa kuzima umeme

TANESCO yaamriwa kuzima umeme

Hata morogoro maeneo ya nanenane na mengine wamekata kuanzia saa1 mpaka sasa haujarudi!
 
Ofisini (Moshi mjini) hawakuwa wamekata. Ila dakika 10 zilizopita umeme umepungua sana. Watu wamewasha generator zao.
 
Huku Tabata Liwiti,Barakuda,Kinyerezi na Bima wamekata watu wanafyonza na kutukana muda wote, tunafuatilia kupitia simu za mchina, zikishiwa charge ndo mwisho wa Maongezi, Kazi ya Maswi na Muhongo hii.
 
Sina mengi kuelezea tabia hii ya kipuuzi iliyozoeleka hapa ambapo TANESCO hukata umeme kila kunapokuwa na mijadala muhimu ya kitaifa.Nazungumza hivi kwasababu hapa Morogoro wametukatia umeme muda mfupi kabla ya mjadala wa ESCROW kuanza. Mambo haya kipuuzi puuzi hufanyika hapa Tanzania tu na si kwingineko ulimwenguni.
 
hata moshi tangu 26/11 maeneo ya rauvet wanakata from saa mbili mpk saa tatu usiku mpk leo..mgao gani huo wa muda wa bunge..nisaidieni kuwapa vipande vyao
 
Sina mengi kuelezea tabia hii ya kipuuzi iliyozoeleka hapa ambapo TANESCO hukata umeme kila kunapokuwa na mijadala muhimu ya kitaifa.Nazungumza hivi kwasababu hapa Morogoro wametukatia umeme muda mfupi kabla ya mjadala wa ESCROW kuanza. Mambo haya kipuuzi puuzi hufanyika hapa Tanzania tu na si kwingineko ulimwenguni.

Hili tangazo lao ni magumashi tu
 
Umeme umekatwa nchi nzima. Hapa mkoani kwetu hakuna umeme tangu asubuhi. Hawa TANESCO na Profesa Muongo Wao ni ------- kabisa.
 
Nipo Kimara hapa umeme umezimwa nchi nzima

wakati lisu akiongea bungeni nlimwona prof muongo kupitia startv akishika simu design kama anaandika kitu mda mfupi umeme ukakatwa.

Hapa Ni nguvu ya wanainchi tu!!
 
hawa wapuuzi wamekata umeme sehemu kubwa
hiyo inaonesha jinsi gani walivyokuwa waoga, hawataki wananchi waone na kusikiliza bunge
kweli mwizi anatumia mbinu zote, serikali hii ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom