TANESCO yaamriwa kuzima umeme

TANESCO yaamriwa kuzima umeme

Siyo huko tu nafikiri nusu ya Tanzania wamekata umeme wanaficha nini Arusha maeneo ya nane nane mpaka njiro nimepata tarifa wamekata pia
 
Kwa kweli inatia hasira. Jana wakati Muhongo analidanganya taifa aliagiza umeme usikatwe na haukukatika. Leo sehemu kubwa ya nchi haina umeme.

Alisema Mbowe jana. This is a shame.
 
Mkuu tatizo ni kubwa sana, ila Serikali haitaki kusema ukweli, ukweli ni kwamba hakuna fedha za kuwalipa hao wazalishaji wa umeme.
 
Nawasikila hapa wabunge wa kijani walivyobadilika ghalfa! Washapewa chao
 
heshima kwenu wadau wote,

kuna swali nakosa majib nikijiuliza..

kwa nini tanesco walizima umeme nchi nzima kipindi cha mjadala?

je walitumwa na profesa muhongo ilo wananchi wasione mjadala?

au wafanyakazi wa Tanesco hawampendi muhongo.. sasa walikuwa wanamhujumu kipindi cha bunge ili aonekane hawezi kazi na ni muongo sana maana aliwahi kutuahidi umeme kukatika itakuwa historia..


kama ni matatizo ya kiufundi kwa nini yayokeee wakati wa mjadala tu na tena nchi nzima?


mojawapo ya shirika gumu sana kuliongoza nchi hii ni tanesco maana ndio roho ya nchi.. na wafanyakazi wake wana umoja sana wakiamua kukuhujumu wanakutoa..

nakumbuka miaka ya nyuma wakitishia kulipua mitambo nchi nzima kama wazungu wa net group solution wasipowasikiliza madai yao na wakasikilizwa..

na inasemekana wafanyakazi wa tanesco wanalipwa vizuri sana na benefits kibao ikiwepo kupews umeme units 700 za luku kila mwezi kwa bei ya shilingi 6000 tu.. ambayo ni kama kupewa bure..


naomba mnaojua mnisaidie majibu kwa nini umeme ulikatwa sana kipindi cha bunge?
 
Huyu profesa alitudanganya juu ya kukatika kwa umeme.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Back
Top Bottom