TANESCO yaamriwa kuzima umeme

TANESCO yaamriwa kuzima umeme

Wanadanganya machine moja ya kufua umeme kidatu imeharibika!
 
Ndg wanajamiiforum...
Hivi hii nchi vip..
Hapa kinondoni hakuna umeme wakati wanajua mafisadi wanasomwa saa moja lijalo.

My take.
Je ni redio gani watarusha live jamani..nisikilize hata redio kwa battery.

Nisaidien nataka kuijua familia ibayolipwa milion 100 kwa siku hadi hapo 2035..
Takriban bilion 600 na ushee tsh.
Alafu vijana wa lumumba wanawatetea ccm...

Leo sijawaona hapa akina LIZABON, LAKI SI PESA, SIMIYI YETU, FAZAL FOX nk. sijui wamebadili ID zao
 
Ndg wanajamiiforum...
Hivi hii nchi vip..
Hapa kinondoni hakuna umeme wakati wanajua mafisadi wanasomwa saa moja lijalo.

My take.
Je ni redio gani watarusha live jamani..nisikilize hata redio kwa battery.

Nisaidien nataka kuijua familia ibayolipwa milion 100 kwa siku hadi hapo 2035..
Takriban bilion 600 na ushee tsh.
Alafu vijana wa lumumba wanawatetea ccm...
Hawa wazima umeme wa Tanesco amabo huzima awakati tunataka kusikia na kuangalia mambo muhimu hasa ya kashfa kwa viongozi wetu wanaotutafuna, dawa yao ni kuwaombea wapate ugonjwa wa tezi dume ili washindwe kupanda. kwenye nguzo kuzima umeme. Washindwee na wanyong'onyee na ugonjwa wa tezi dume uwapate ili wakome!
 
WanaJF kuna redio inatangaza matangazo ya bunge naombeni msaada maana wameshakata umeme.
 
Nimefinywa sikio warasimu ndani ya serekali ya Kikwete wameliamuru shirika la umeme TANESCO kuzima mitambo yake ya kuzalisha umeme sehemu kubwa ya nchi hasa miji mkubwa ili waTanzania wengi wasipate fursa hadimu ya kumsikiliza Jaji Warioba.

Hii ni baada ya wanaCCM wahuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa wahuni Tanzania Bwana Paul Makonda kushindwa kuzima kiu ya waTanganyika na waZanzibar kutaka kusikia maoni ya msomi Jaji Warioba kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Nimeongea na wadau mbali toka mikoa mingi ya Tanganyika wamenithibitishia umeme umekatika katika maeneo yao.

Naomba kuwasilisha.

====================

Update:


mkuu.maeneo mengi ya nchi ndio umerudi usiku uhu wa saa 6 tangu saa 4 asubui kweli nchi ihi ni majanga.
 
Yaani, tulikua tunaangalia channel ten mada ya escrow account. Ghafla ndugu mkinga kaanza kuongelea walioingia mkatapa na IPTL mwaka 95. Alivoanza tu kutaja jina la kwanza, umeme uka r.i.p. huku njiro arusha. Sijui sasa mjini inakuaje?

Kilicho baki ni kutafuta bar yenye generator halafu kuwashawishi wawashe ili tuweze kuangalia bunge.

Kwanza jana jioni wamekata saa 12 na nusu wakati filikunjombe ndio anaingia gia ya tano. Wakarudisha umeme mida ya saa sita.

Leo njiro hatutegemei umeme mpaka bunge liishe. Yaani mida ya saa 2 usiku! Rest in peace ccm. Your days are numbered!
 
Tanesco tunaomba mturudishie umeme tuyuwe hatima ya hili sakata la wizi wa pesa jamani mbona mnatuzinguwa
 
Tanesco washenzi hii hali si,mara ya kwanza mara nyingi tu,hu2katia umeme tusiangalie shughuli za bunge.
 
hizi ni hujuma za waziwazi wanazifanya kabisa
 
Moshi pia ilipofika saa mbili na nusu leo asubuhi wakachukua umeme wao.
...Umeme ambao tunaununua kwa gharama kubwa kuilipa IPTL km*mayo zao!
 
Back
Top Bottom