TANESCO yaamriwa kuzima umeme

TANESCO yaamriwa kuzima umeme

Mwanza hapa maeneo ya Pasiansi umeme upo muda huu, ndo nimeamka kusikiliza BBC. upo labda baadae wakate, sunajua Maboss wao ndo wanakaangwa leo?
 
Musoma huo ujinga tulishausahau. Tunasubiri kwa hamu kuona hiyo ligi itaishaje.
 
Hakikisha unachaji simu Apdates za neno hadi neno, tukio kwa tukio naamini zitatolewa hapa
 
Hatimaye wamerejesha umeme. Ia niishajipanga tangu jana kwa kuandaa vitendea kazi kama vile ear phone na betri za ziada za simu. Hakuna kulala hadi dakika 90 za escrow ziishe tujue nani tumbili na nani mwizi
 
huku kigamboni wamekata saa kumi na moja...mafisadi ni shida
 
gongo la mboto wamekata tutawasha jenereta wanajisumbua tu
 
hapa mwanza maeneo ya bwiru wamekata ila tutakwenda ata bar
 
Hata kwa kutumia simu tu mbona mambo yana enda......yaani mie nimesikiliza mdahalo wote kupitia simu yangu , yaani mambo burudaaaani

Nadhani wale wabunge maslahi watakuwa wameelewa kwanini UKAWA walitoka na kwanini Rasimu imebadilishwa na kufavour mafisadi.

Viongozi wetu bila kuamua kubadilika hatutafika kokote,na vita wanaiita wenyewe.
 
Hawa jamaa anytime watakata umeme tanzania nzima. Yaani wizi wameufanya wenyewe mali ya umma kodi za wananchi , wameshakamatwa wizi bado wanatutesa kwa kutukatia umeme siku nzima.
"" viongozi wa Tanzania wanaongoza mizoga""- jomo kenyatta. Sitaku kukubaliana na hii kauli ila..
 
Tazama ramani utaona nchi nzuri.
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka
 
Hata leo asubuhi tayari washakata kwahiyo kwa updates zozote tupeane details wakuu,escrow ni soooo!
 
.... inatakiwa hawa jamaa wakatiwe umeme maka mmoja kila mtu, na walizimishwe kutumia koroboi!!!
 
Hawa jamaa leo watuache tuangalie live escrow... from dodoma
 
Ni hivi, kodi tunalipa kupitia VAT, PaYe, na ktk kodi za huduma zngne kwa lengo la maendeleo ya taifa.
Pia inaniskitisha gharama ya umeme inalipwa pre-paid lkn huduma bado c ya uhakika.
Mbaya zaidi shirika hilohilo linawezesha au kusaidia ufisadi mara richmonds,dowans na sasa escrow.
 
Back
Top Bottom