Nimefinywa sikio warasimu ndani ya serekali ya Kikwete wameliamuru shirika la umeme TANESCO kuzima mitambo yake ya kuzalisha umeme sehemu kubwa ya nchi hasa miji mkubwa ili waTanzania wengi wasipate fursa hadimu ya kumsikiliza Jaji Warioba.
Hii ni baada ya wanaCCM wahuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa wahuni Tanzania Bwana Paul Makonda kushindwa kuzima kiu ya waTanganyika na waZanzibar kutaka kusikia maoni ya msomi Jaji Warioba kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa.
Nimeongea na wadau mbali toka mikoa mingi ya Tanganyika wamenithibitishia umeme umekatika katika maeneo yao.
Naomba kuwasilisha.