🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapa yenyewe bado hawako vizuri ila ni kwa sababu ni JF,aliyepewa hii kazi anapata na muda wa kusoma nyuzi zingine za kula tunda kimasihara kwa gharama za bundle la tanesco wakati siku hizi mifumo ya CRM ipo mingi sana ambayo TANESCO wanaweza kuitumia kutoa huduma bora na mitandao ya kijamii na simu zikawa ni listening points tu.
Mimi pia niliambiwa hivyo Wilaya ya kibaha,eneo linaitwa Boko Mnemela.Niliambiwa ninunue transfoma ili waniwekee umemeKama utakumbuka Maelekezo ya Serikali hapo awali hakuna mteja anayepaswa kununua kifaa chochote cha kumfungia umeme bali ni jukumu la TANESCO kusogeza miundombinu ya umeme kwa wateja wake, tafadhali tusaidie taarifa zifuatazo
Jina
Namba ya Simu
Wilaya
Na kiasi ulichodai kuambiwa ulipie ili tukupatie ufafanuzi kwa taarifa kamili
TANESCO HUDUMA KWA WATEJA
MAKAO MAKUU
Namba hiyo hapo 0272610120 Nipeni Tracking nambaMimi pia niliambiwa hivyo Wilaya ya kibaha,eneo linaitwa Boko Mnemela.Niliambiwa ninunue transfoma ili waniwekee umeme
Sana,mimi wamefanya hadi mradi wangu wa kuku kule Boko Mnemela uchelewe kuanza.Waliniambia kama nataka umeme haraka ninunue transfoma wanifungie.
Hii ni namba ya TANESCO Arusha, tafadhali onesha yakoNamba hiyo hapo 0272610120 Nipeni Tracking namba
Very interestingHii ni namba ya TANESCO Arusha, tafadhali onesha yako
Ni vigumu kusaidiwa kama huna vielelezo. Cha kufanya, anza mchakato upya; waandikie barua yakuomba kuunganishiwa umeme, ukiambatanisha na michoro ya umeme wa jengo lakoKusema ukweli niliambiwa kwa mdomo sio kwa barua, sikuwahi kupewa barua
kwa hiyo ungelipaje mkuu bila control number. mpaka sasa unaonekana muongo maana huna ushahidiKusema ukweli niliambiwa kwa mdomo sio kwa barua, sikuwahi kupewa barua
Wanataka hela ya ku brashia kiatu haoHicho kichwa Cha habari nimecheka kinoma[emoji1], hiv mkuu unajua bei ya transformer? Yan hao wahuni kama hawatak kukuletea umeme wakwambie tu
Mpaka sasa hakuna taarifa kamili za kuweza kudhibitisha hilo hivyo tunaomba uvumilivu na lugha nzuri ili kuendela kuheshima watoa huduma.Wanataka hela ya ku brashia kiatu hao
Mbona unajibu kimipasho wewe na hao wataalamu mnafanana tabia, changamoto ya mteja unaita blah blah aisee!?Kitaalamu hauwezi kujibu swali kwa ujumla wake bila kujua ukweli wa taarifa husika, kujibu hivyo ni blabla ambayo taasisi yenye wataalamu kama yetu haiwezi kukurupuka kujibu bila taarifa kamili
ndio huyo sasa anatesekaTunaamini kabla ya kutuhumu tungepata taarifa kamili. Kwanza na sisi tutoe ufafanuzi sahihi, hakuna mteja anayepaswa kuteseka na sisi TANESCO tupo.
Tafadhali pitia tena maelezo yetu ukiyasoma vizuri utaelewa tulichomaanisha, mteja aliyelalamika tumeshawasiliana naye Dm Na tumefikia pazuriMbona unajibu kimipasho wewe na hao wataalamu mnafanana tabia, changamoto ya mteja unaita blah blah aisee!?
tutaheshimu vip kama wenyewe hawaheshimu wateja?Mpaka sasa hakuna taarifa kamili za kuweza kudhibitisha hilo hivyo tunaomba uvumilivu na lugha nzuri ili kuendela kuheshima watoa huduma.
Ndugu mpendwa Mteja wetututaheshimu vip kama wenyewe hawaheshimu wateja?
si ni baada ya kuweka wazi uovu huoTafadhali pitia tena maelezo yetu ukiyasoma vizuri utaelewa tulichomaanisha, mteja aliyelalamika tumeshawasiliana naye Dm Na tumefikia pazuri