Habar toka ndani ya shirika hili inasema, katizo la umeme ni amri toka juu yao kwasababu zifatazo...
1. Kuruhusu wakubwa kuuza mafuta kwa wingi
2. Kuruhusu wahindi/wakubwa kuuza magenaretor na solar system
Sasa nimechanganyikiwa kweli ni ndani ya nchi yangu yanatokea hayaaaaaa.....
Tufanye nini sisi wanyonge kama sasa tu wamerudisha umeme tangu saa 5 asubuhii..??????
Je tusubiri mpaka T2015CDM..???
SOURCE: Mjumbe wa board..