TANESCO na TRA Huu ni wizi wa kiwango cha lami

Kwenye kulipia Umeme kwa nini TANESCO hawatoi mchanganuo kua hela zimeendaje huu ni wizi wa kiwango cha lami.
Rejea hapa.
LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00

Kweli Umeme wa 5,000 unit 1.5 kwahiyo ndo mumeamua kuwa majambazi kiasi hicho.
TANESCO naomba mjibu

Ina maana hapo aliyenunua, kapata umeme wa jero au?
 
Daah pole sana mkuu.
Hivi zamani nyie wenye nyumba mlikua mnalipaje hizo kodi??
Naomba kujua wakuu maana kwenye lile tangazo walisema mwanzo mlikua mnalipa elfu kumi, hiyo ela mlikua mnalipaje?? Na kama hujalipa ni hatua gani zilikua zinachukuliwa
Mwanzo ilikua ni kupeleka moja kwa moja ofisi za TRA au unalipa kwenye namba zao.
 
mwaka wa fedha unaanza mwezi wa saba kwa iyo wanakata kodi ya nyumba ya mwezi wa saba 1000 na wanane 1000 jumla 2000 hlf kuanzia wa tisa wanakata 1000 kila mwezi
Sasa wa nane umeshaisha ?
 
Lipa tu, hela inazidi kuongezeka mtaani kadri muda unavyoenda, utaizoea tu !
 
Na mm nmekutana nayo hapa ndo maana nikatafuta nyuzi nisome nione ...sema tunapigiwaa mpira wa kutoshaaa
Ngoja tuchechemee mpaka tuifikie fainali ya mwaka 2025.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Muda utafika ndiyo tutajua umuhimu wa wabunge wa vyama tofauti bungeni,
Viongozi wanaudumiwa Kila kitu bure maumivu yako atayajuaje.
Wanaokwambia elimu bure huku wao wakitumia mamilioni ya shilingi kusomesha jiongeze acha kulalamika tafuta hela kazi iendelee.
 
Muda utafika ndiyo tutajua umuhimu wa wabunge wa vyama tofauti bungeni,
Viongozi wanaudumiwa Kila kitu bure maumivu yako atayajuaje.
Wanaokwambia elimu bure huku wao wakitumia mamilioni ya shilingi kusomesha jiongeze acha kulalamika tafuta hela kazi iendelee.
Kwa sasa bungeni Kwa chama tawala nimebakiwa na Josephat Gwajima na Jerry Slaa tu labda kidogo Polepole anakuja na kuondoka.
Ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom