TANESCO na TRA Huu ni wizi wa kiwango cha lami

Kumbe hata wana CCM mnakatwa? Hiyo siyo vizuri. Hawajui kuwa nyie ndio wafia chama?
 
Bora wewe mimi nimetest nimekatwa umebaki 0.5KWH
 
Ukistaajabu ya Tanesco utayaona ya NMB
Bank zikianza huo ujinga zitafilisika moja baada ya nyingine wazir nae wa tozo anafurah mapato yaliyopatikan bila kujua watu wengi wametoa pesa zao zilizokuwepo kabla ya tozo hivyo mapato yapatikane mengi ngoja tusubiri wiki nne zijazo
 
Sijaona tozo kwangu...hapa Sina Tarrif
Name:TANESCO
MeterNo:3720896****
Receipt: 9900621344102423434
Units: 8.5
Token: 2217 2568 0380 8543 1342
Amount:TSh 2459.02
Tax: VAT 18% TSH 442.62 EWURA 1% TSH 24.59 REA 3% TSH 73.77 Total Tsh 3000.
Ref: EC101015626777
 
Dah mkuu unabata sana wengine tulio kwenye hizo tarrif zao ndo tunahangaika.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
 
Dah mkuu unabata sana wengine tulio kwenye hizo tarrif zao ndo tunahangaika.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
mateso bila chuki.
 
Daah pole sana mkuu.
Hivi zamani nyie wenye nyumba mlikua mnalipaje hizo kodi??
Naomba kujua wakuu maana kwenye lile tangazo walisema mwanzo mlikua mnalipa elfu kumi, hiyo ela mlikua mnalipaje?? Na kama hujalipa ni hatua gani zilikua zinachukuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…