TANESCO mradi wa umeme Buyuni Block 17, 18, 19 na 20, Mkandarasi anajenga jinsi anavyotaka yeye

hata ule umeme uliofika naona wali watageti sana zile kota za PSPF. ukipita pale kota zile zote zinawaka ukiingia kwa watanzania wa kawaida t WANAISOMA NAMBA giza kama upo mikumi mbugani.... tutakuja kusikia mtu kaliwa na simba kule. kwanza sijui kama kunaserikali kule. wenyewe walimwaga nguzo kwa mbwembwe kumbe geresha tu tanzania itabaki kuwa tanzania tu...labda aje mzungu (trump) aje kutuongoza

wao wangeweka umeme kule watu wangejenga sana, nyumba nyingi zina SOLAR utafikili tupo mahenge morogoro kumbe dar hii hii ya mbabe wa vita makonda
 
Acha tu kiongozi,juzi nilimsikiliza Hapi Ally DC kiukweli ametoa mtazamo mzuri sana ule wa kuvunja Tandale na manzese yote watafute muwekezaji aweke mall pale ili waondoe slams kiukweli ni good idea sana,na nikimuomba makonda sehemu zote zilizopimwa hivi karibuni kwa dar waweke miundombinu kule,viwanja vinapimwa lakini barabara hakuna,umeme hakuna kama hawapeleki miundombinu kulikuwa na haja gani ya kuwaondoa watu na kuwalipa fidia? Yaani serikali wana Magreda,Wana mainjinia wa kila aina,wana madereva na wakandarasi wa kutosha lakini kuleta kijiko/greda kuchonga barabara nao ni ngumu,umeme/majiyapo kilometer moja tu kufika kwenye viwanja vya maradi lakini inachukua miaka hadi mitatu kufika,kweli chizi karogwa tena.
Halafu unafikiri buyuni kunahitaji vitu vingi sana?
Kukiwekwa umeme na zile barabara kubwa zinawekwa sawa basi,raia wanajisogeza wenyewe, tatizo kunatisha sana kwa sasa,barabara hazijakaa sawa kabisa,hata pspf nawashangaa sana wanawekeza kwenye eneo kama lile hata kuwasaidia wale wateja wao hawataki,unamuuzia mtu nyumba kwa mil mpaka 80 halafu hana barabara,halafu unasema nyumba hazina wateja, alieturoga wa tz kafa,na uchawi kautupa baharini,kupona ni shida sana!
 
hata ule umeme uliofika naona wali watageti sana zile kota za PSPF. ukipita pale kota zile zote zinawaka ukiingia kwa watanzania wa kawaida t WANAISOMA NAMBA giza kama upo mikumi mbugani.... tutakuja kusikia mtu kaliwa na simba kule. kwanza sijui kama kunaserikali kule. wenyewe walimwaga nguzo kwa mbwembwe kumbe geresha tu tanzania itabaki kuwa tanzania tu...labda aje mzungu (trump) aje kutuongoza

wao wangeweka umeme kule watu wangejenga sana, nyumba nyingi zina SOLAR utafikili tupo mahenge morogoro kumbe dar hii hii ya mbabe wa vita makonda

Na kweli tuko kama watto yatima,halafu hizi gharama za solar ingekuwa na pesa za kuendesha Tanesco,
 
Kuna upotoshaji wa makusudi kwenye thread hii, bahati mzuri mimi ni mzaliwa Dar tangu maternity ikiwa ni ocean road hospital na nina umri wa kugombea Urais.

Wengi ambao wanaponda Buyuni mimi nina ujasiri wa kuwaita wakuja na hamkuwahi kuona Sinza ilivyokuwa ni porini na Mbezi beach ndio usiseme viwanja havikuwa na bei.

Nitapoteza bundle zangu bure kubishana na wakuja, kwa taarifa yenu kuna mradi mpya wa Msongola City inaungana Buyuni na kuna mradi wa barabara za heavyduty tracks kutoka bandarini barabara itapita kule kutokea kisarawe.

Ninachokihisi mimi hapa kuna bishoo anakaa banda uwani kinondoni sasa fujo za kinondoni anategemea azikute kwenye mji mpya uliopangiliwa vyema kama buyuni.

Wait n see hamtokuja kuamini macho yenu buyuni mtakayoiona baada ya kitambo kidogo.

Yule bafana bafana siyo mjinga kuweza pesa nyingi kwenye site yake anajuwa alifanyalo na anaona mbali.

Mimi binafsi hakuna sehemu nikipita ambayo sasa hivi imeendelea vizuri roho inaniuma kama Lumo mpaka Buza, licha ya umri mdogo kipindi hicho lakini ningekuwa na plot za kutosha maana nilishiriki kumsindikiza rafiki walipokuwa wanakata viwanja mashamba yao ya urithi ila mimi niliona bado ni porini mno, je Lumo Buza leo plot bei gani?
 
hata ule umeme uliofika naona wali watageti sana zile kota za PSPF. ukipita pale kota zile zote zinawaka ukiingia kwa watanzania wa kawaida t WANAISOMA NAMBA giza kama upo mikumi mbugani.... tutakuja kusikia mtu kaliwa na simba kule. kwanza sijui kama kunaserikali kule. wenyewe walimwaga nguzo kwa mbwembwe kumbe geresha tu tanzania itabaki kuwa tanzania tu...labda aje mzungu (trump) aje kutuongoza

wao wangeweka umeme kule watu wangejenga sana, nyumba nyingi zina SOLAR utafikili tupo mahenge morogoro kumbe dar hii hii ya mbabe wa vita makonda

Makonda kapigana vita gani hadi umwite mmbabe wa vita.Hivi General Musuguri,General Kiwelu,General Mboma wakikusikia unabwabwaja utumbo na ukichukuliwa hatua kwa kuharibu fani za watu utasema nini,utalala,utalia lia,.....Makonda anakimbizana na omba omba ndio kawa mbabe duh Tanzania ina maajabu kweli kweli.
 
Kuna upotoshaji wa makusudi kwenye thread hii, bahati mzuri mimi ni mzaliwa Dar tangu maternity ikiwa ni ocean road hospital na nina umri wa kugombea Urais.

Wengi ambao wanaponda Buyuni mimi nina ujasiri wa kuwaita wakuja na hamkuwahi kuona Sinza ilivyokuwa ni porini na Mbezi beach ndio usiseme viwanja havikuwa na bei.

Nitapoteza bundle zangu bure kubishana na wakuja, kwa taarifa yenu kuna mradi mpya wa Msongola City inaungana Buyuni na kuna mradi wa barabara za heavyduty tracks kutoka bandarini barabara itapita kule kutokea kisarawe.

Ninachokihisi mimi hapa kuna bishoo anakaa banda uwani kinondoni sasa fujo za kinondoni anategemea azikute kwenye mji mpya uliopangiliwa vyema kama buyuni.

Wait n see hamtokuja kuamini macho yenu buyuni mtakayoiona baada ya kitambo kidogo.

Yule bafana bafana siyo mjinga kuweza pesa nyingi kwenye site yake anajuwa alifanyalo na anaona mbali.

Mimi binafsi hakuna sehemu nikipita ambayo sasa hivi imeendelea vizuri roho inaniuma kama Lumo mpaka Buza, licha ya umri mdogo kipindi hicho lakini ningekuwa na plot za kutosha maana nilishiriki kumsindikiza rafiki walipokuwa wanakata viwanja mashamba yao ya urithi ila mimi niliona bado ni porini mno, je Lumo Buza leo plot bei gani?
Hakuna anaepotosha hapa Matola hivi wwe unafurahia kasi na maendeleo ya buyuni?unafurahia wenzako wakiwa hawana umeme?unayafurahia haya mabwawa wakati wa mvua? unafurahia haya mapori?kuna watu wameshaumia kwa sababu ya haya mapori,kama wewe unayafurahia kaaa kimya,maisha ya buyuni na mapori haya kipindi cha giza sio mchezo,
Hakuna anaempinga bafanabafana, yule jamaa ni smart sana,hakuna bar ya maana kama yake,lakini wateja wako wapi na haya mapori?wwe unafikiri hataki kurudisha mshiko wake?
 
Kuna upotoshaji wa makusudi kwenye thread hii, bahati mzuri mimi ni mzaliwa Dar tangu maternity ikiwa ni ocean road hospital na nina umri wa kugombea Urais.

Wengi ambao wanaponda Buyuni mimi nina ujasiri wa kuwaita wakuja na hamkuwahi kuona Sinza ilivyokuwa ni porini na Mbezi beach ndio usiseme viwanja havikuwa na bei.

Nitapoteza bundle zangu bure kubishana na wakuja, kwa taarifa yenu kuna mradi mpya wa Msongola City inaungana Buyuni na kuna mradi wa barabara za heavyduty tracks kutoka bandarini barabara itapita kule kutokea kisarawe.

Ninachokihisi mimi hapa kuna bishoo anakaa banda uwani kinondoni sasa fujo za kinondoni anategemea azikute kwenye mji mpya uliopangiliwa vyema kama buyuni.

Wait n see hamtokuja kuamini macho yenu buyuni mtakayoiona baada ya kitambo kidogo.

Yule bafana bafana siyo mjinga kuweza pesa nyingi kwenye site yake anajuwa alifanyalo na anaona mbali.

Mimi binafsi hakuna sehemu nikipita ambayo sasa hivi imeendelea vizuri roho inaniuma kama Lumo mpaka Buza, licha ya umri mdogo kipindi hicho lakini ningekuwa na plot za kutosha maana nilishiriki kumsindikiza rafiki walipokuwa wanakata viwanja mashamba yao ya urithi ila mimi niliona bado ni porini mno, je Lumo Buza leo plot bei gani?

labda umeelewa vibaya mkuu soma vizuri.... tuna LALAMIKIA Tanesco na Barabara na sio mipango mji...vepee kaka..
mradi wa umeme ulitakiwa uwe umeisha mwezi wa sita (6)

hizo ulizo sema zote twafahamu. hadi hospitali kubwa kubwa kujengwa kule tunafahamu japo hujasema.... ila kuna watu wanaishi kule na ni porini na barabara hazijaboreshwa. Hujaelewa tu hapo

pia nilisikia kuna mradi wa rami utaishia pale kwenye nyumba za PSPF tu. halafu kule kwa bafana bafana ni nje ya mradi wa buyuni...vepe mkuu
 
Makonda kapigana vita gani hadi umwite mmbabe wa vita.Hivi General Musuguri,General Kiwelu,General Mboma wakikusikia unabwabwaja utumbo na ukichukuliwa hatua kwa kuharibu fani za watu utasema nini,utalala,utalia lia,.....Makonda anakimbizana na omba omba ndio kawa mbabe duh Tanzania ina maajabu kweli kweli.

ametamka kuwa yeye mbabe wa vita....sasa unambishia...tunampa vita mpya ipo buyuni apambane nayo.
 
labda umeelewa vibaya mkuu soma vizuri.... tuna LALAMIKIA Tanesco na Barabara na sio mipango mji...vepee kaka..
mradi wa umeme ulitakiwa uwe umeisha mwezi wa sita (6)

hizo ulizo sema zote twafahamu. hadi hospitali kubwa kubwa kujengwa kule tunafahamu japo hujasema.... ila kuna watu wanaishi kule na ni porini na barabara hazijaboreshwa. Hujaelewa tu hapo

pia nilisikia kuna mradi wa rami utaishia pale kwenye nyumba za PSPF tu. halafu kule kwa bafana bafana ni nje ya mradi wa buyuni...vepe mkuu
Safi mkuu Sharobaro mueleweshe mkurupukaji huyo Matola
 
Hakuna anaepotosha hapa Matola hivi wwe unafurahia kasi na maendeleo ya buyuni?unafurahia wenzako wakiwa hawana umeme?unayafurahia haya mabwawa wakati wa mvua? unafurahia haya mapori?kuna watu wameshaumia kwa sababu ya haya mapori,kama wewe unayafurahia kaaa kimya,maisha ya buyuni na mapori haya kipindi cha giza sio mchezo,
Hakuna anaempinga bafanabafana, yule jamaa ni smart sana,hakuna bar ya maana kama yake,lakini wateja wako wapi na haya mapori?wwe unafikiri hataki kurudisha mshiko wake?
Mkuu pale Tabata kuna mtu anaitwa Joseph Kessy, waulize watu ambao si wakuja pale Tabata watakueleza mchango wa huyu mtu mpaka Tabata inaonekana ya kisasa.

Buyuni inahitaji akili kubwa kama zilivyokuwa akili kubwa za kina Joseph Kessy na kamati yao ya maendeleo ya Tabata.

Manispaa kwenye bajeti yao ya mwaka huu zimetengwa million 400 kwa ajili ya greda la manispaa kusafisha barabara, ninachokiona mimi hapa ni kukosekana kwa kamati ya wananchi ambayo iko committed na Buyuni.

Mkiwategemea wanasiasa kwenye kero zenu halisi ni sawa na kupiga busu upepo.
 
Mkuu pale Tabata kuna mtu anaitwa Joseph Kessy, waulize watu ambao si wakuja pale Tabata watakueleza mchango wa huyu mtu mpaka Tabata inaonekana ya kisasa.

Buyuni inahitaji akili kubwa kama zilivyokuwa akili kubwa za kina Joseph Kessy na kamati yao ya maendeleo ya Tabata.

Manispaa kwenye bajeti yao ya mwaka huu zimetengwa million 400 kwa ajili ya greda la manispaa kusafisha barabara, ninachokiona mimi hapa ni kukosekana kwa kamati ya wananchi ambayo iko committed na Buyuni.

Mkiwategemea wanasiasa kwenye kero zenu halisi ni sawa na kupiga busu upepo.
Hakuna ki la za buyuni labda tukupe taarifa, ratiba ya kutengeneza inaonyesha greda litakuja kutengeneza barabara ya Taliani hadi nyumba za pspf kwa kwa siku ambazo zimeshapita,ie 12 hadi 13 mwezi wa saba,barabara ya Taliani hadi hzo nyumba ni kama km 4 hadi tano, na ubovu wa hyo barabara sio kusafisha tu,panahitajika mitaro na kalavati ssa sijui hzo milioni Mia nne zitatengeneza barabara kwa kiwango gani,
Pili buyuni hakuna barabara moja zipo nyingi sasa bdo najiuliza kwa hela hyo utatengeneza wapi uache wapi.
Naona unamjibia mbunge wa ukonga kwenye hili,kifupi hana ushirikiano kbsa,alishawahi kualikwa huku na wana buyuni aliishia kupiga na kusepa basi.
 
Hakuna ki la za buyuni labda tukupe taarifa, ratiba ya kutengeneza inaonyesha greda litakuja kutengeneza barabara ya Taliani hadi nyumba za pspf kwa kwa siku ambazo zimeshapita,ie 12 hadi 13 mwezi wa saba,barabara ya Taliani hadi hzo nyumba ni kama km 4 hadi tano, na ubovu wa hyo barabara sio kusafisha tu,panahitajika mitaro na kalavati ssa sijui hzo milioni Mia nne zitatengeneza barabara kwa kiwango gani,
Pili buyuni hakuna barabara moja zipo nyingi sasa bdo najiuliza kwa hela hyo utatengeneza wapi uache wapi.
Naona unamjibia mbunge wa ukonga kwenye hili,kifupi hana ushirikiano kbsa,alishawahi kualikwa huku na wana buyuni aliishia kupiga na kusepa basi.
Ok sasa twende kwenye majawabu nini kifanyike ili tuweze kusimamia ajenda zetu wenyewe?

Maana mimi binafsi nikisema tuwe wabinafsi hiyo njia ya Italian mimi siku hizi sipiti nakatia kona kwa Zoo, kuna tifutifu tu sehemu kama mbili tu.
 
Ok sasa twende kwenye majawabu nini kifanyike ili tuweze kusimamia ajenda zetu wenyewe?

Maana mimi binafsi nikisema tuwe wabinafsi hiyo njia ya Italian mimi siku hizi sipiti nakatia kona kwa Zoo, kuna tifutifu tu sehemu kama mbili tu.
Wwe pita tu huko huko!
 
Ok sasa twende kwenye majawabu nini kifanyike ili tuweze kusimamia ajenda zetu wenyewe?

Maana mimi binafsi nikisema tuwe wabinafsi hiyo njia ya Italian mimi siku hizi sipiti nakatia kona kwa Zoo, kuna tifutifu tu sehemu kama mbili tu.
Watu wana matatizo wwe unatetea mburula!
 
Back
Top Bottom