TANESCO mnapokata umeme toeni taarifa in advance. Mafundi wenu hutumia mwanya huo kuiba mafuta ya transfoma

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
31,919
33,360
Kichwa cha habari kinajieleza, inafaa mnapokata umeme mtoe taarifa kwa wakazi wa maeneo husika ili tutambue katizo hilo ni official, msipotoa taarifa mnakosa ushirikiano wa wananchi kuweka attention kwenye transforma zenu ambapo mara nyingi wengi huwa tunadhani mmekata kwaajili ya matengenezo kumbe mafundi wenu wanatumia giza hilo kuiba mafuta kwenye tranforma zenu, imeshatokea mara kadhaa transforma zinakamuliwa mafuta kukiwa giza.

Nawasilisha
 
Kichwa cha habari kinajieleza, inafaa mnapokata umeme mtoe taarifa kwa wakazi wa maeneo husika ili tutambue katizo hilo ni official, msipotoa taarifa mnakosa ushirikiano wa wananchi kuweka attention kwenye transforma zenu ambapo mara nyingi wengi huwa tunadhani mmekata kwaajili ya matengenezo kumbe mafundi wenu wanatumia giza hilo kuiba mafuta kwenye tranforma zenu, imeshatokea mara kadhaa transforma zinakamuliwa mafuta kukiwa giza.

Nawasilisha
Hamna fundi wa Tanesco anaiba mafuta kwa sababu wanajua adha wanayokutana nayo wakiwa site... Hao wanaofanya hivyo sio mafundi wa Tanesco bali ni watu wanaofahamu umeme wanaamua kulihujumu shirika.
 
Hamna fundi wa Tanesco anaiba mafuta kwa sababu wanajua adha wanayokutana nayo wakiwa site... Hao wanaofanya hivyo sio mafundi wa Tanesco bali ni watu wanaofahamu umeme wanaamua kulihujumu shirika.
Asikudanganye mtu, mwaka jana tu mtaani kwetu tuliwazingira wakakimbia wakaacha ngazi ya Tanesco
Waliiba wire ya earth kwenye transforma
Wakarudi kuiba mafuta ndipo tukaenda kuwakamata wakakimbilia mtoni sijui waliogeleaje na yale makoti na buti zao ...walijua wamekwisha.
 
Kichwa cha habari kinajieleza, inafaa mnapokata umeme mtoe taarifa kwa wakazi wa maeneo husika ili tutambue katizo hilo ni official, msipotoa taarifa mnakosa ushirikiano wa wananchi kuweka attention kwenye transforma zenu ambapo mara nyingi wengi huwa tunadhani mmekata kwaajili ya matengenezo kumbe mafundi wenu wanatumia giza hilo kuiba mafuta kwenye tranforma zenu, imeshatokea mara kadhaa transforma zinakamuliwa mafuta kukiwa giza.

Nawasilisha
Mafundi wa Tanesco hawafanyi huo wizi maana thamani ya Mafuta hayo ni ndogo tu Wala Muajiriwa wa Tanesco hawezi hatarisha Ajira yake kihivyo. Ukiona muiba Mafuta Hana tofauti na Teja muokota makopo
 
Back
Top Bottom