SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Juzi mmeambiwa na yule mheshimiwa wa Monduli kwamba viongozi wanaogopa kufanya maamuzi magumu. Mimi nasema na sisi wananchi tunaogopa kufanya maamuzi magumu!
EL ana point
Juzi mmeambiwa na yule mheshimiwa wa Monduli kwamba viongozi wanaogopa kufanya maamuzi magumu. Mimi nasema na sisi wananchi tunaogopa kufanya maamuzi magumu!
kigoma umeme ni wa jenereta si wa Grid ya Taifa mkuu na Bukoba pia wanatumia umeme toka UgandaKigoma ni kama Dubai hakuna mgao wa umeme
wapi huko,mbona kiza kote huku na mikoani(kasoro kwa wakuu)Wamerekebisha, wamejitahidi ku-fix haraka. Nadhani wataomba radhi na kueleza kilichotokea
Kwa kweli Leo kama ni ngumi TANESCO wametupiga kwenye mboni. It was simply more than an embarrassment to the whole nation!
Hahaha,Chonde..watoto bado wadogo...
Mkuu, nimeambiwa wametoa umeme 'baadhi' ya maeneo, kumbe bado? Hata sijui mkuu wangu, hamjarudishiwa? Poleni sanawapi huko,mbona kiza kote huku na mikoani(kasoro kwa wakuu)
imepitaaaNchi kuwa gizani si hoja, cha msingi ni kamatakamata ya wabunge wa upinzani na kutia ndani kwani wanasababisha nchi kutotawalika
mimi ndio maana nimejikata zangu mbele....hongereni Yanga kwa ushindi na poleni ndugu zangu kwa mgao ambao hata mimi niliufaidi sana ...hongereni watanzania kwa kuichagua ccm kwa miaka mingine mitano....mkumbuke hawa ndio tumewachagua tu hata mwaka haujaisha kwa hiyo tutegemee menngi na tuwe wavumilivu kwa sababu haya yanayotupata tuliyataka wenyewe kwenye sanduku la kura