TANESCO Kilimanjaro mnakwamisha jitihada za kutunza mazingira

kisinja

JF-Expert Member
Sep 30, 2013
241
295
Ni ukweli usiofichika kbsa TANESCO kilimanjaro hasa manispaa ya Moshi mnakatisha tamaa wadau wa mazingira. Kwa kipindi kufupi mmeharibu kabisa mazingira na mandhari ya mji wa Moshi. Mmekuwa mkikata miti hovyo kabisa....miti iliyopandwa miaka zaidi ya 20 iliyopita na miti mipya ndani ya manispaa na maeneo mengine mnakata bila hata huruma na wal sio kupunguza matawi.
Wadau wa mazingira tunaona sio sawa hata kdg. Inaweza kuwa mti uko karibu na nyaya za Tanesco lakini haimaanishi mti wote na iliyo jirani unahusika.

Mmeharibu mazingira yetu tafadhali kama kuna changamoto toeni elimu kwa wananchi na sio kukata hovyo miti mjue kampeni za kupanda miti zina gharama sana.
Waziri husika na Wadau wa mazingira tuone hili. Mkikata miti inayoleta mvua ambayo inaleta maji kwenye mabwaya ya kuzalisha umeme maana yake hata nnyie hampo salama.
 
Ni ukweli usiofichika kbsa TANESCO kilimanjaro hasa manispaa ya Moshi mnakatisha tamaa wadau wa mazingira. Kwa kipindi kufupi mmeharibu kabisa mazingira na mandhari ya mji wa Moshi. Mmekuwa mkikata miti hovyo kabisa....miti iliyopandwa miaka zaidi ya 20 iliyopita na miti mipya ndani ya manispaa na maeneo mengine mnakata bila hata huruma na wal sio kupunguza matawi.
Wadau wa mazingira tunaona sio sawa hata kdg. Inaweza kuwa mti uko karibu na nyaya za Tanesco lakini haimaanishi mti wote na iliyo jirani unahusika.

Mmeharibu mazingira yetu tafadhali kama kuna changamoto toeni elimu kwa wananchi na sio kukata hovyo miti mjue kampeni za kupanda miti zina gharama sana.
Waziri husika na Wadau wa mazingira tuone hili. Mkikata miti inayoleta mvua ambayo inaleta maji kwenye mabwaya ya kuzalisha umeme maana yake hata nnyie hampo salama.
Naunga mkono hoja.wameksta miti kila mahali mjini na ilipandwa kwa gharama kubwa na kwa miaka mingi.wanaokata miti wametumwa na wateja wanaotaka kuni kwa bei nafuu.kwanini tanesco wasipitishe umeme chini ya ardhi mjini ili kuepuka kukata miti mjini? Jana Gari LA meneja Wa tanesco Mkoa lilikuwa linakusanya kuni maeneo waliyokuwa wanakata miti mjini.he kuni hizo zinapelekwa wapi?
 
Mara hii mmesahau kuna mmoja alinaswa na umeme akafariki kule hospital ya saint Joseph kisa kukata mti uliokuwa umepitiwa na umeme.

Mimi kwangu mimi naona sawa tuuu wakate maana ni kama tanzania nzima na wana kibali cha manispaa.
 
Eneo La Majengo, Kdc Mpaka Kiborloni Wanakata Miti Bila Huruma. TANESCO ina maana hawana kitengo cha mazingira ? Ifike Wakati Wafahamu Namna Ya Kutoa Huduma Zao Bila Kuharibu Mazingira.
 
Eneo La Majengo, Kdc Mpaka Kiborloni Wanakata Miti Bila Huruma. TANESCO ina maana hawana kitengo cha mazingira ? Ifike Wakati Wafahamu Namna Ya Kutoa Huduma Zao Bila Kuharibu Mazingira.
 
Tusio huko basi turushie na picha tujioneee.. labda hata nyaya wao ndio wanapitisha kusipotakiwa..
 
Back
Top Bottom