RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,857
- 129,803
Chonde chonde msikate umeme maana mkata umeme wenu ana makusudi sana! Siku muhimu kama hii Pasaka na big game man utd vs chelsea ndio huwa anakata umeme mechi ikikaribia kuanza. Sijui ana mgao vibanda umiza?!
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Dkt. Tito E. Mwinuka kwa Niaba ya Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa TANESCO anawatakia nyote Heri ya Sikukuu ya Pasaka.
Aidha, anawasihi Wateja na Umma kuwa waangalifu na kuwa mbali na miundombinu ya umeme hasa katika kipindi hiki cha mvua, na kutoa Taarifa kwa TANESCO mara inapotokea hitilafu.
View attachment 496739
IWE SIKUKUU YA HERI NA FURAHA KWETU SOTE
