kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata burudani.....kwa hisani ya wanamuziki wa Tanzania, hongera Mzee Kitine.