NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,273
- 14,524
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), William Mwakilema amesema simba Bob Junior aliyeuawa na simba wenzie alikuwa na mwenzie waliyezaliwa naye pamoja anayejulikana kwa jina la Joel ambaye walikuwa wakishirikiana, ila yeye alishindwa mapambano, hivyo akakimbilia kusikojulikana, na anaendela kutafutwa.
Pia soma > Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa
Pia soma > Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

