TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

TANAPA: Simba Joel alikimbia, tunamtafuta

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
11,273
Reaction score
14,524
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), William Mwakilema amesema simba Bob Junior aliyeuawa na simba wenzie alikuwa na mwenzie waliyezaliwa naye pamoja anayejulikana kwa jina la Joel ambaye walikuwa wakishirikiana, ila yeye alishindwa mapambano, hivyo akakimbilia kusikojulikana, na anaendela kutafutwa.

Pia soma > Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

1678990403213.jpg
 
Back
Top Bottom