winnie9999
Member
- Nov 27, 2021
- 65
- 102
- Thread starter
- #61
TAMTHILIA : ZAWADI.
MWANDISHI:WINIFRIDA FRANCIS THOBIAS.
SEHEMU YA : 8 $ 9.
WHATSAPP No: 074611566.
Zawadi aliwaangalia sana wazee wa jadi, kisha akawaambia ' hivi wazee wangu kosa la huyu binti mdogo zawadi nilipi ?'. Mana kunawakati nahisi kama nyie mkipata nafasi mnaweza kuniua kabisa. Haya sasa maovu yenu hatimaye yako wazi tumiue,mchapwe viboko au mtajitosa baharini kama mlivyo tamani iwe kwangu ? . Kiukwel wazee wangu mnanishangaza sana mana wakati mimi na jalibu kujenga sikuzote mnakesha kubomoa.Sasa basi inatosha leo mimi naomba adhabu yenu niamue mimi kama binti Mfalme, lakini kwa ruhusa yako Mfalme wangu wa himaya hii ya Wetu pamoja na Malkia wangu. Mfalme alisimama pamoja na kumwambia Zawadi ' mimi kama Mfalme wa himaya ya wetu nakuachia leo binti yangu Zawadi jukumu la kutoa hukumu si kwa wazee hawa wa jadi tu! ,bali kwakila atakae tenda kosa linalo hitaji adhabu, na kesi zote za Ufalme huu wa Wetu tunakuChia wewe '. ( Mfalme na Malkia wakasimama na kuingia katika ufalme huku wakiwa wamemuachia jukumu la kutoa hukumu zawadi). zawadi aliwaangalia sana wazee wa jadi huku kelele za wakazi wa Ufalme wa wetu zikimlazimisha yeye kuwahukumu kifo wazee hao. Lakini Zawadi alinyoosha mkono wake juu ilikupata utulivu wa watu hao na kisha akawaambia wazee wote ya kuwa ' kati yenu hakuna atakae guswa kwa kupigwa na hata jani la mpapai ,niki-maanisha hamta chapwa viboko , hamta nyongwa wala kutengwa kwasababu hiyo ndo adhabu kubwa kwangu kwenu' . Baada ya Zawadi kusema maneno hayo alisimama na kuwaaamuru walinzi waweze kuwaachia Wazee hao wa jadi kisha yeye akaelekea zake katika jumba la kifalme. Familia za wazee hao wajadi zili watenga na kuwaona kama maadui zao kwani hata maramoja hawakuwafikilia wao walipo kuwa wakifanya vitendo vyao vya ajabu ambavyo wao wenyewe walidai ndo sababu ya njaa kijijini hapo.
Zawadi alipoingia tu katika jumba la kifalme moja kwa moja alielekea katika chumba cha Mfalme na Malkia na alipoingia moja kwa moja alienda kukaa katika miguu ya Malkia na kumwambia, ' mama nimechoka sana'. Mailkia akamwambia Zawadi ' pole sana binti yangu kwani unayopitia sasa najua yanafanya ukate tamaa kabisa lakini kumbuka kitu kimoja maishani mwako unatakiwa kuwapenda tu, mpaka siku moja wakupende wewe tu na waache kusikiliza maneno ya watu wengine na wasiutilie tena mashaka upendo wako kwao , nanaamini ipo siku binti yangu wewe na wao mtaungana kutoka moyoni na hakuna atakae kutilia mashaka tena wakati huo ukifika kuwa mvumilivu tu binti yangu'. Zawadi alilia sana lakini baba yake alimwambia ' zawadi nini maana yako kuwaachia huru wazee wa jadi ikiwa sheria zote zinaruhusu kabisa kuwapeleka kuzimu?' Zawadi alicheka sana huku machozi ya yakimtoka na kumwambia baba yake, ' Ni kweli kabisa ningeweza kuamuru wanyongwe na kwa muda huu wangekuwa pengine wamesha sahaulika na wao pia ingekuwa nafuu kwao kwasababu wangekuwa wamepumzika mbali na hasira za watu. Lakini mimi nimewapa nafasi ya kuishi wazee wa jadi ambayo ni uchungu sana kwao, kwasababu watoto wao hawataki hata kuwasikia, wake zao wanawaona wao kama wasaliti wasio wa jali wao, ndugu zao wanawaona wao kama mfano wa nyoka na watu wa Wetu hawatamani hata kuzisikia sauti zao na ukizingatia hali wanayo ipitia kwasasa, imani yao inawaambia kabisa ni kwasababu ya miti waliyoikata wazee wa jadi ili kusababisha mimi nionekane mbaya kwao na Kwa hali kama hiyo wataona bora wangekufa na hapo sasa ndo watatakiwa kujifunza kuwa watu . Mfalme alicheka sana na kumwambia binti yake hakukuwa na makosa mimi kuwa na wewe kama binti yangu. Malkia alimbembeleza Zawadi na zawadi akapitiwa na usingizi hapohapo. Wakati zawadi yupo katika usingizi aliota yupo yeye pamoja na Mfalme na Malkia wanachemsha kitu ambacho kinafanana sana na mizizi ile aliyoipita sikuile wakati wakutafuta miti kwaajili ya ngalawa na kisha wakaila huku wakiwa wanacheka sana , na hapohapo Zawadi akashtuka toka ndotoni muda wa saa kumi na mbili hivi jioni nm bila kupoteza muda zawadi akawaambia walinzi wake nifuateni pamoja na vifaa vya kuhifadhia chakula , walinzi walimshangaa sana lakini hawakuwa najihisi zaidi ya kutii na moja kwa moja Zawadi akaelekea na walinzi mpaka eneo ambalo lilikuwa na mihogo ambayo wao kwakipindi hicho waliichukulia kama mizizi, zawadi aliwaamuru walinzi hao wakate mihogo hiyo ya kutosha na kisha wakaelekea nayo katika jumba la kifalme na walipofika zawadi akachukua kipande kimoja cha muhogo na kuingia nacho mpaka mahali ambapo Mfalme na Malkia walikuwa wamekaa kisha akawaonyesha, Mfalme na Malkia kwanza walishangaa ni mzizi wa aina gani unachakula kiasi hicho na nimlaini , lakini zawadi akawaelezea ndoto aliyoota na hapo ndo Mfalme na Malkia wakamwambia ni sawa lakini kabla ya kupeleka kwa watu inabidi kujalibu kwanza isije ikawaletea madhara. Zawadi alimwaambia Mfalme mimi ndo nitakuwa wakwanza kujalibu lakini Malkia pia akasema nitajalibu pia na pamoja na Mfalme na walinzi wote walikuwa tayari kujalibu kwasababu wote walikuwa wakimuamini sana Zawadi, basi kwapamoja walichuna majani ya mihogo ambayo wao waliita mizizi na kisha wakaiweka jikoni na kutia maji na wakafunika kwa majani. Baada ya muda kidogo tu harufu iliyo toka katika chungu iliwafanya watu kutokwa na mate midomoni mwao bila taarifa kwani kila mtu alivutiwa na harufu hiyo, na hapo ndo wapishi na zawadi walichungulia mihogo na kugundua imesha iva na hapo ndo walinzi ,Mfalme,Malkia, Zawadi pamoja na wapishi wakala na kufurahia sana lakini walikubaliana hakuna kutoa taarifa nnje mpaka pale asubuhi wote watakapo amka wazima ndo watajua mizizi hiyo haina madhara na watu wengine watapata nafasi ya kufurahia .
Asubuhi na mapema Zawadi aliamka na kumtembelea kila mtu kujua hali yake na aligundua wote walinzi yeye na wapishi ni wazima hivyo watu walifurahi kwani wajua kabisa tabu ya chakula 'byebye' kwani mpaka mizizi iliyokuwa msituni iishe samaki na matunda vitakuwa vimesha rejea lakini Zawadi aliwaambia wasitoe taarifa nnje mpaka wajue hali ya Mfalme na Malkia . Zawadi alielekea katika chumba cha Mfalme na Malkia kisha akagonga Hodi lakini Malkia aliitiki sauti ya chini na hapo ndo zawadi aliogopa sana, nakuingia haraka katika chumba hicho cha Malkia pamoja na Mfalme na alipoingia Malkia na Mfalme walikuwa wamelegea sana jambo lililo mfanya zawadi kulia na kuwaambia ni makosa yangu hamkutakiwa Kula mizizi ile ngoja nikamuite Daktari sitaruhusu kitu kibaya kiwatokee nyie. lakini wakati zawadi anataka kutoka nnje Malkia na Mfalme walicheka sana na kumwambia tuko salama na kila mtu unapaswa kujua ya kuwa mzizi ile ni chakula umefanikiwa binti yangu hakuna njaa tena katika ufalme huu wa Wetu .
zawadi alicheka kwa furaha huku machozi yakimtoka na kumrukia baba yake . Baada ya muda mbiu ilipigwa na watu walikusanyika kisha zawadi pamoja na wapishi wakawafundisha watu jinsi ya kutengeneza mizizi hiyo lakini pia Zawadi aliwaelekeza na wazee wajadi ili wasaidiane kuwafundisha watu. Baada ya muda mihogo ilikuwa tayari na kila mtu alifurahia na tokea hapo njaa ili sahaulika katika Ufalme huo wa wetu na wazee wa jadi walielekea katika ufalme na kumuomba Mfalme, Malkia pamoja na Zawadi msamaha na walisamehewa na kila mtu aliendelea na majukumu yake ya awali. siku,miezi na hatimaye ikapita miaka kumi baadae ambapo zawadi akatimiza umri wa miaka kumi na nane.
Siku moja wakati Zawadi anacheza na maji baharini pamoja na mabinti walika lake walitokea wadada wawili na wakaka watano waliokuwa wamevalia suti jambo ambalo lili mfanya zawadi pamoja na wenzake wawashangae sana ukizingatia wao walivyo vaa na watu hao walivyo vaa ni tofauti kabisa. mabinti walio kuwa wanacheza na zawadi walikimbilia msituni ili kuweza kurudi katika ufalme na kutoa taarifa juu ya watu hao. Zawadi alipokuwa kwenye mshangao watu hao walimteka na kumpeleka katika boti Lao la kisasa kisha waka washa boti nakuondoka. Wakati wasichana wanarudi na walinzi walikuta bangili ya zawadi tu lakini zawadi alikuwa ameshatekwa.
Watu walio mteka zawadi walimchukia na kwenda kumfungia katika chumba kimoja ambacho kilikuwa na kila kitu ambacho binadamu anahitaji na baada ya zawadi kuamka alishtuka sana kwani watu hao walikuwa wamemtoa nguo alizo nazo na kumvalisha mavazi ya kisasa, zawadi alishangaa sana na kuanza kupiga kelele na hapo ndo watu wale waliingia ndani na kumwambia ' mambo vip zawadi', zawadi alishtuka sana na kuwauliza nyie ni wakina nani na mmenijuaje.......
USIKOSE SEHEMU YA 10 $ 11
MWANDISHI:WINIFRIDA FRANCIS THOBIAS.
SEHEMU YA : 8 $ 9.
WHATSAPP No: 074611566.
Zawadi aliwaangalia sana wazee wa jadi, kisha akawaambia ' hivi wazee wangu kosa la huyu binti mdogo zawadi nilipi ?'. Mana kunawakati nahisi kama nyie mkipata nafasi mnaweza kuniua kabisa. Haya sasa maovu yenu hatimaye yako wazi tumiue,mchapwe viboko au mtajitosa baharini kama mlivyo tamani iwe kwangu ? . Kiukwel wazee wangu mnanishangaza sana mana wakati mimi na jalibu kujenga sikuzote mnakesha kubomoa.Sasa basi inatosha leo mimi naomba adhabu yenu niamue mimi kama binti Mfalme, lakini kwa ruhusa yako Mfalme wangu wa himaya hii ya Wetu pamoja na Malkia wangu. Mfalme alisimama pamoja na kumwambia Zawadi ' mimi kama Mfalme wa himaya ya wetu nakuachia leo binti yangu Zawadi jukumu la kutoa hukumu si kwa wazee hawa wa jadi tu! ,bali kwakila atakae tenda kosa linalo hitaji adhabu, na kesi zote za Ufalme huu wa Wetu tunakuChia wewe '. ( Mfalme na Malkia wakasimama na kuingia katika ufalme huku wakiwa wamemuachia jukumu la kutoa hukumu zawadi). zawadi aliwaangalia sana wazee wa jadi huku kelele za wakazi wa Ufalme wa wetu zikimlazimisha yeye kuwahukumu kifo wazee hao. Lakini Zawadi alinyoosha mkono wake juu ilikupata utulivu wa watu hao na kisha akawaambia wazee wote ya kuwa ' kati yenu hakuna atakae guswa kwa kupigwa na hata jani la mpapai ,niki-maanisha hamta chapwa viboko , hamta nyongwa wala kutengwa kwasababu hiyo ndo adhabu kubwa kwangu kwenu' . Baada ya Zawadi kusema maneno hayo alisimama na kuwaaamuru walinzi waweze kuwaachia Wazee hao wa jadi kisha yeye akaelekea zake katika jumba la kifalme. Familia za wazee hao wajadi zili watenga na kuwaona kama maadui zao kwani hata maramoja hawakuwafikilia wao walipo kuwa wakifanya vitendo vyao vya ajabu ambavyo wao wenyewe walidai ndo sababu ya njaa kijijini hapo.
Zawadi alipoingia tu katika jumba la kifalme moja kwa moja alielekea katika chumba cha Mfalme na Malkia na alipoingia moja kwa moja alienda kukaa katika miguu ya Malkia na kumwambia, ' mama nimechoka sana'. Mailkia akamwambia Zawadi ' pole sana binti yangu kwani unayopitia sasa najua yanafanya ukate tamaa kabisa lakini kumbuka kitu kimoja maishani mwako unatakiwa kuwapenda tu, mpaka siku moja wakupende wewe tu na waache kusikiliza maneno ya watu wengine na wasiutilie tena mashaka upendo wako kwao , nanaamini ipo siku binti yangu wewe na wao mtaungana kutoka moyoni na hakuna atakae kutilia mashaka tena wakati huo ukifika kuwa mvumilivu tu binti yangu'. Zawadi alilia sana lakini baba yake alimwambia ' zawadi nini maana yako kuwaachia huru wazee wa jadi ikiwa sheria zote zinaruhusu kabisa kuwapeleka kuzimu?' Zawadi alicheka sana huku machozi ya yakimtoka na kumwambia baba yake, ' Ni kweli kabisa ningeweza kuamuru wanyongwe na kwa muda huu wangekuwa pengine wamesha sahaulika na wao pia ingekuwa nafuu kwao kwasababu wangekuwa wamepumzika mbali na hasira za watu. Lakini mimi nimewapa nafasi ya kuishi wazee wa jadi ambayo ni uchungu sana kwao, kwasababu watoto wao hawataki hata kuwasikia, wake zao wanawaona wao kama wasaliti wasio wa jali wao, ndugu zao wanawaona wao kama mfano wa nyoka na watu wa Wetu hawatamani hata kuzisikia sauti zao na ukizingatia hali wanayo ipitia kwasasa, imani yao inawaambia kabisa ni kwasababu ya miti waliyoikata wazee wa jadi ili kusababisha mimi nionekane mbaya kwao na Kwa hali kama hiyo wataona bora wangekufa na hapo sasa ndo watatakiwa kujifunza kuwa watu . Mfalme alicheka sana na kumwambia binti yake hakukuwa na makosa mimi kuwa na wewe kama binti yangu. Malkia alimbembeleza Zawadi na zawadi akapitiwa na usingizi hapohapo. Wakati zawadi yupo katika usingizi aliota yupo yeye pamoja na Mfalme na Malkia wanachemsha kitu ambacho kinafanana sana na mizizi ile aliyoipita sikuile wakati wakutafuta miti kwaajili ya ngalawa na kisha wakaila huku wakiwa wanacheka sana , na hapohapo Zawadi akashtuka toka ndotoni muda wa saa kumi na mbili hivi jioni nm bila kupoteza muda zawadi akawaambia walinzi wake nifuateni pamoja na vifaa vya kuhifadhia chakula , walinzi walimshangaa sana lakini hawakuwa najihisi zaidi ya kutii na moja kwa moja Zawadi akaelekea na walinzi mpaka eneo ambalo lilikuwa na mihogo ambayo wao kwakipindi hicho waliichukulia kama mizizi, zawadi aliwaamuru walinzi hao wakate mihogo hiyo ya kutosha na kisha wakaelekea nayo katika jumba la kifalme na walipofika zawadi akachukua kipande kimoja cha muhogo na kuingia nacho mpaka mahali ambapo Mfalme na Malkia walikuwa wamekaa kisha akawaonyesha, Mfalme na Malkia kwanza walishangaa ni mzizi wa aina gani unachakula kiasi hicho na nimlaini , lakini zawadi akawaelezea ndoto aliyoota na hapo ndo Mfalme na Malkia wakamwambia ni sawa lakini kabla ya kupeleka kwa watu inabidi kujalibu kwanza isije ikawaletea madhara. Zawadi alimwaambia Mfalme mimi ndo nitakuwa wakwanza kujalibu lakini Malkia pia akasema nitajalibu pia na pamoja na Mfalme na walinzi wote walikuwa tayari kujalibu kwasababu wote walikuwa wakimuamini sana Zawadi, basi kwapamoja walichuna majani ya mihogo ambayo wao waliita mizizi na kisha wakaiweka jikoni na kutia maji na wakafunika kwa majani. Baada ya muda kidogo tu harufu iliyo toka katika chungu iliwafanya watu kutokwa na mate midomoni mwao bila taarifa kwani kila mtu alivutiwa na harufu hiyo, na hapo ndo wapishi na zawadi walichungulia mihogo na kugundua imesha iva na hapo ndo walinzi ,Mfalme,Malkia, Zawadi pamoja na wapishi wakala na kufurahia sana lakini walikubaliana hakuna kutoa taarifa nnje mpaka pale asubuhi wote watakapo amka wazima ndo watajua mizizi hiyo haina madhara na watu wengine watapata nafasi ya kufurahia .
Asubuhi na mapema Zawadi aliamka na kumtembelea kila mtu kujua hali yake na aligundua wote walinzi yeye na wapishi ni wazima hivyo watu walifurahi kwani wajua kabisa tabu ya chakula 'byebye' kwani mpaka mizizi iliyokuwa msituni iishe samaki na matunda vitakuwa vimesha rejea lakini Zawadi aliwaambia wasitoe taarifa nnje mpaka wajue hali ya Mfalme na Malkia . Zawadi alielekea katika chumba cha Mfalme na Malkia kisha akagonga Hodi lakini Malkia aliitiki sauti ya chini na hapo ndo zawadi aliogopa sana, nakuingia haraka katika chumba hicho cha Malkia pamoja na Mfalme na alipoingia Malkia na Mfalme walikuwa wamelegea sana jambo lililo mfanya zawadi kulia na kuwaambia ni makosa yangu hamkutakiwa Kula mizizi ile ngoja nikamuite Daktari sitaruhusu kitu kibaya kiwatokee nyie. lakini wakati zawadi anataka kutoka nnje Malkia na Mfalme walicheka sana na kumwambia tuko salama na kila mtu unapaswa kujua ya kuwa mzizi ile ni chakula umefanikiwa binti yangu hakuna njaa tena katika ufalme huu wa Wetu .
zawadi alicheka kwa furaha huku machozi yakimtoka na kumrukia baba yake . Baada ya muda mbiu ilipigwa na watu walikusanyika kisha zawadi pamoja na wapishi wakawafundisha watu jinsi ya kutengeneza mizizi hiyo lakini pia Zawadi aliwaelekeza na wazee wajadi ili wasaidiane kuwafundisha watu. Baada ya muda mihogo ilikuwa tayari na kila mtu alifurahia na tokea hapo njaa ili sahaulika katika Ufalme huo wa wetu na wazee wa jadi walielekea katika ufalme na kumuomba Mfalme, Malkia pamoja na Zawadi msamaha na walisamehewa na kila mtu aliendelea na majukumu yake ya awali. siku,miezi na hatimaye ikapita miaka kumi baadae ambapo zawadi akatimiza umri wa miaka kumi na nane.
Siku moja wakati Zawadi anacheza na maji baharini pamoja na mabinti walika lake walitokea wadada wawili na wakaka watano waliokuwa wamevalia suti jambo ambalo lili mfanya zawadi pamoja na wenzake wawashangae sana ukizingatia wao walivyo vaa na watu hao walivyo vaa ni tofauti kabisa. mabinti walio kuwa wanacheza na zawadi walikimbilia msituni ili kuweza kurudi katika ufalme na kutoa taarifa juu ya watu hao. Zawadi alipokuwa kwenye mshangao watu hao walimteka na kumpeleka katika boti Lao la kisasa kisha waka washa boti nakuondoka. Wakati wasichana wanarudi na walinzi walikuta bangili ya zawadi tu lakini zawadi alikuwa ameshatekwa.
Watu walio mteka zawadi walimchukia na kwenda kumfungia katika chumba kimoja ambacho kilikuwa na kila kitu ambacho binadamu anahitaji na baada ya zawadi kuamka alishtuka sana kwani watu hao walikuwa wamemtoa nguo alizo nazo na kumvalisha mavazi ya kisasa, zawadi alishangaa sana na kuanza kupiga kelele na hapo ndo watu wale waliingia ndani na kumwambia ' mambo vip zawadi', zawadi alishtuka sana na kuwauliza nyie ni wakina nani na mmenijuaje.......
USIKOSE SEHEMU YA 10 $ 11




