kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 753
Nampongeza sana mtunzi na wahusika wote katika tamthilia inayoitwa MANENO YA KUAMBIWA ni moja kati ya tamthiria bora sana kuwahi kutokea Tanzania, ina mtiririko mzuri wa matukio huku ikiwa na mwonekano mzuri na haichoshi kuifuatilia.
Wahusika akina kitare, adamu, mganga mwinyi mkuu na manjonjo yake ya mizimu ya kolelo, akina mtawala, dorice, beka, afande kila, kishoka(iqkram), n.k. Inavutia sana.
Kama umebahatika kuiona, onyesha uzalendo kwa kutaja scene iliyokuvutia zaidi, tuvikubali vya nyumbani
Wahusika akina kitare, adamu, mganga mwinyi mkuu na manjonjo yake ya mizimu ya kolelo, akina mtawala, dorice, beka, afande kila, kishoka(iqkram), n.k. Inavutia sana.
Kama umebahatika kuiona, onyesha uzalendo kwa kutaja scene iliyokuvutia zaidi, tuvikubali vya nyumbani