Here I come Filipo, afu msimamo wangu juu ya kuwakemea Mr Rocky na sweetlady juu ya ujinga wanaomfanyiat Dena Amsi umewafanya sweetlady na Eliah G. Kamwela kuanzisha uzi wa kunitaka nijiuzulu, Filipo hebu twende kule tuka level mamboBy Mr Rocky
Ahhhhhh kumbe unanisema mimi kuwa natembea ofyo ofyo kumbe na wewe ni wale wale Dena Amsi nataka maelezo huyo Nicas Mtei katokea wapi au hii ndoa unataka ipelekwe kwenye kamati
Baba V embu njoo huku bana. Mr Rocky anam " Madame B " Dena Amsi!
Baba V ukiwa kwenye gari pale manzese na ukamuona kibaka anakwapua kisimu cha torch cha mtu na ana mkisu mkononi inabidi ukae kimya usiongee
Sasa wewe hapa unalikoroga maana unaongea sana Dena Amsi hayo maandishi si ya kwangu kuna mtu kaiba pasiwedi yangu
(ila kiuklweli mimi na sweetlady na snowhite huwa tuna mipango yetu ila naamini unaijua na ushabariki sasa nashangaa hapa unataka kumfurahisha Baba V apate la kusema)
mimi na wewe tumetoka mbali eti toka hungumalwa mpaka mwanza huoni kuna umbali aise na huwa mavuno yangu ya pamba yote unatumia wewe ili upendeze sasa Baba V analeta mdomo hapa na huyo sijui Filipo na Nicas Mtei na Arushaone unawasilikiliza
Achana nao bana twende tukale raha bana usiharibikiwe siku yako my darling wangu
Baba V umeona matokeo ya kuongea kwako sanaUshindwe na ulegee...