Tamko rasmi la Ray kifo cha Kanumba

Sidhan kama ray kuandika waraka kama huu ni kuweweseka, nadhani unatambua kuwa kila mtu anajengwa na hisia ambapo hisia zinapozidi hupelekea kufanya kitu fulani au kuamua kufanya jambo fulani. Nadhani Ray amekaa ameona jinsi jamii inavyopotoshwa na kili kinachosemwa tena kukuzwa na baadhi ya vyombo vya habari na kuamua kutolea ufafanuzi.

Anahaki ya kufanya hivyo na pia ni wajibu wake kuielezea jamii ukweli wa jambo fulani ambalo yeye anatuhumiwa kama muhusika.

yah naona kijana ameona anageuzwa punching bag kuhusiana na kifo cha jamaa kaona nae ajitetee
 
Dogo usitupotezee muda tuna mambo meengi ya kujadili pamoja na kuukimbiza huu pepo upitao.Ukweli unao mwenyewe kwenye nafsi yako kama ni kweli au la,Neeeeeeeeext!
 
Huku ni kutapa tapa.Ni bora akae kimya tu na time will tell. Kujibu jibu kunaweza kukafanya watu wawe na doubt kutokana na maandishi aliyoandika
 
Hapo, waliomshauri Ray walikosea. Skendo kama hili alipaswa tu ku-mute. Hapa kweli anaweweseka tu.

Akikaa kimya watu si ndo watachukulia kama ni kitu cha ukweli bora tu avunje ukimya pia Mungu yupo atadhihirisha ukweli na kumuumbua kama ni mtu alihusika ktk kifo
 
Back
Top Bottom