Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Wala sishangai kwa nini hukujua kama mazishi yameishafanyika au bado. Mara nyingi nyie watoto wa NJE YA NDOA ni vigumu kuwa na ukaribu na marafiki wa baba zenu.
Shughuli za Chama ilibidi ziendelee regardless, mambo ya kuua ndege wawili...kwa hili namtetea Nape
Wala sishangai kwa nini hukujua kama mazishi yameishafanyika au bado. Mara nyingi nyie watoto wa NJE YA NDOA ni vigumu kuwa na ukaribu na marafiki wa baba zenu.
Nape is semi-literate for starters, barely able to maintain the basic rules of writing.
Huyu ndiye kada mkubwa kabisa wa chama anayeandaliwa kuchukua madaraka makubwa zaidi baadaye.
SMH!
Nimesikitishwa sana sana NA UPOTOSHAJI MKUBWA UNAENDELEA KATIKA SAFARI YANGU YA KWENDA KAGERA! KILICHONIUMA ZAIDI NI JINSI WATU WANAVYOTAKA KUTUMIA MSIBA KAMA NGAO YAO YA KUPOTOSHA UKWELI WA SWALA ZIMA LA SAFARI YANGU KAGERA. KWA WASIOJUA AU WALIOAMUA KUPOTOSHA UKWELI KWA MAKUSUDI, DR. KYARUZI ALIKUWA RAFIKI MKUBWA WA MAREHEMU BABA YANGU MZAZI BRIG. GEN MOSES NNAUYE, HIVYO MAREHEMU KYARUZI NI SAWA NA BABA YANGU. NINA LAANI JUHUDI ZA KUTAKA KUTUMIA ZIARA YANGU KAGERA NA MSIBA WA MZEE WANGU KYARUZI KISIASA.
NAOMBA IJULIKANE KUWA KAGERA SIKWENDA RASMI KWA AJILI YA KUHANI MSIBA, ISIPOKUWA NILIKWENDA KWA SHUGHULI ZANGU ZA KICHAMA NA KWAKWELI NILIJUA MAZISHI YAMESHAFANYIKA YA DR. KYARUZI NIKIWA DAR NIKAMWOMBA KATIBU WA MKOA KUWA NIKIWA MISENYI NIENDE NYUMBANI KUWASALIMIA WAFIWA, AKANIAMBIA HAWAJAZIKA, NA ILIKUWA WAZIKE KESHO YAKE YA SIKU NILIYOENDA KAGERA, NIKAMWAMBIA BASI NITAPITA MSIBANI KUTOA POLE. NA NDIVYO NILIVYOFANYA , NILIPOFIKA TU NIKAENDA KUTOA POLE NDIO NIKAENDELEA NA SHUGHULI ZILIZONIPELEKA KAGERA.KAGERA SIKWENDA KUHANI MSIBA NILIKWENDA KWA SHUGHULI YA VIJANA, SI BUSARA HATA KIDOGO KULAUMU BILA KUULIZA HASA KWA MHUSIKA. NINASIKITISHWA NA UAMUZI WA MWANDISHI KUJIPA USEMAJI WA VIJANA KAGERA NA KUSHINDWA HATA KUWAULIZA WAHUSIKA MAANA WAPO KAGERA NAPE ALIFUATA NINI KAGERA.
LAKINI KUDHIHIRISHA NIA MBAYA YA MWANDISHI, MWANDISHI KAAMUA KUDANGANYA UMMA KUWA NILIKUWEPO KAGERA SIKU YA MAZISHI YA DR. KYARUZI, AMA KAAMUA KUKOLEZA KUSUDI LAKE BAYA AU HAJUI ALICHOKISEMA, UKWELI NI KWAMBA TAREHE 25/05/2012 NILIKWENDA KAGERA NA KURUDI DSM SIKU HIYOHIYO SASA HUYO NAPE WA TAREHE 26 NI YUPI? NI VIZURI KUPIMA TUHUMA KABLA YA KUZITOA.
NINA MSAMEHE BURE MWANDISHI NA ALIOSHIRIKIANA NAO.
hongera Nape kwa Vua Gamba, Vua Gwanda Vaa Uzalendo
Never give up mheshimiwa, keep on strugling and people will eventually understand you.Nimesikitishwa sana sana NA UPOTOSHAJI MKUBWA UNAENDELEA KATIKA SAFARI YANGU YA KWENDA KAGERA! KILICHONIUMA ZAIDI NI JINSI WATU WANAVYOTAKA KUTUMIA MSIBA KAMA NGAO YAO YA KUPOTOSHA UKWELI WA SWALA ZIMA LA SAFARI YANGU KAGERA. KWA WASIOJUA AU WALIOAMUA KUPOTOSHA UKWELI KWA MAKUSUDI, DR. KYARUZI ALIKUWA RAFIKI MKUBWA WA MAREHEMU BABA YANGU MZAZI BRIG. GEN MOSES NNAUYE, HIVYO MAREHEMU KYARUZI NI SAWA NA BABA YANGU. NINA LAANI JUHUDI ZA KUTAKA KUTUMIA ZIARA YANGU KAGERA NA MSIBA WA MZEE WANGU KYARUZI KISIASA.
Waberoya you may have some point on this, lakini ujuwe siku zote ukipanda ubuyu usitegemee kuvuna nyanya, CCM ndio waasisi wa mambo ya kijinga na matamko ya kipuuzi na kuna wakati uzitumia hata taasisi za dini kutimiza malengo yao.Ujinga tu huu na wastage of time!!
watanzania bana mbona mnapenda sana kukuza vitu vidogo, ku-complicatate maisha namna hii!!!
never give up mheshimiwa,keep on strugling and people will eventually understand you.tunakuamini sana,tunaukubali sana uajibikaji wako,umakini,uzalendo,huruma yako kwa wananchi na mengine mengi unayoyafanya kwa maslai ya chama na taifa kwa ujumla. Tatizo la watu wengi wanatanguliza sana ushabiki,imani,itikadi na hivyo kuwafanya kuwa watumwa wa mawazo na hatimaye kuyapokea mawazo na kuyaamini bila kuyafanyia uchambuzi wa kina. Wanachama wanaoitwa wa chadema,ni sawa na watu walio katika chumba cha giza na hivyo hata wakiitwa wanashindwa kutoka kwasababu ya giza totoro lililowavamia.kamwe hawataiona nuru mpaka watoke gizani.pole yenu sana
Waberoya you may have some point on this, lakini ujuwe siku zote ukipanda ubuyu usitegemee kuvuna nyanya, CCM ndio waasisi wa mambo ya kijinga na matamko ya kipuuzi na kuna wakati uzitumia hata taasisi za dini kutimiza malengo yao.
Kama utakumbuka Joshua Nassari baada ya kuzungumza jukwaani maneno yaliotokana na mhemko wa kisiasa pale Arusha, Freeman Mbowe kama Mwenyekiti alihutubia na kuclear ile statement.
Kwa Tatifa lolote la watu makini kauli ya Mbowe ndio kauli rasmi ya chama, lakini cha kushangaza wanasiasa walioshindwa wakiongozwa na Nape wao ndio wakataka kuigeuza karata yao ya kisiasa, ndio maana mimi hawa watu huwa sina huruma nao maana ni wabaya kuliko ubaya wenyewe.
Waberoya labda unaweza ukastuka nikikwambia kama mpaka sasa bado nna mashaka kama kweli ni Waislamu ndio wamechoma yale Makanisa, maana nina tabia ya kutoupumzisha ubongo wangu maana unafanya kazi muda wote.
Ni kwa nini napata mashaka haya!!......nikiangalia CCM walichokifanya Igunga kuchoma moto banda la kuku na kusingizia Chadema imechoma ile nyumba ya kiongozi wa CCM ndio kinanipa imani hawa watu wakibanwa wako tayari kutumia mbinu zote, hali ya Zanzibar Serikali ya CCM maji yako shingoni, nina mashaka isijekuwa ni CCM ndio wamechoma makanisa ili wapate uhalali wa kuwadhibiti Uamsho.
duuu, kweli nchi IMEPOTEZA DIRA