Tamko la vijana wa Kagera kuhusu ziara ya Nape

Wala sishangai kwa nini hukujua kama mazishi yameishafanyika au bado. Mara nyingi nyie watoto wa NJE YA NDOA ni vigumu kuwa na ukaribu na marafiki wa baba zenu.
 
Shughuli za Chama ilibidi ziendelee regardless, mambo ya kuua ndege wawili...kwa hili namtetea Nape

Nape amesema alikuwa anamheshimu kama marehemu baba yake mzee Nnauye,kwa hiyo wewe unamtetea ni sawa asihudhurie mazishi ya mtu anayemweshimu kama mzazi wake kisha aende kufanya shughuli za chama na kucheza gofu?huu ndio uzalendo anao utangaza sio?
 
Nawewe nape unajichanganya. Kilichozungumzwa na mwandishi ni kwamba wewe hukuonyesha ushiriki mkamilifu.
umeanza kwa kusema marehemu ni sawa na baba yako sasa iweje uendelee na shughuli za kichama ilihali ulitaarifiwa kwamba bado hawajazika?
endelea na hiyo tabia ili utuudhi wengi.
 
watanzania bana mbona mnapenda sana kukuza vitu vidogo, ku-complicatate maisha namna hii!!!

hili tamko ni la kipuuzi na linaonyesha ego ya wahaya....kama Nape ni mhaya sasa wamlaumu, na bado kama muhaya hizo mila na desturi it has nothing to do with msiba na shughuli za chama

ebu tuelezeni je

baa zimefungwa huko kwenu?
mmewazuia watu wasilale na wake zao huko?
wangapi wamhudhuria mazishi?

acheni matamko matamko haya yanaonesha ujinga wetu kwenye mambo ya msingi

kila siku watu wanakufa, kila kitu kisimame basi
 
Ujinga tu huu na wastage of time!!

watanzania bana mbona mnapenda sana kukuza vitu vidogo, ku-complicatate maisha namna hii!!!

hili tamko ni la kipuuzi na linaonyesha ego ya wahaya....kama Nape ni mhaya sasa wamlaumu, na bado kama muhaya hizo mila na desturi it has nothing to do with msiba na shughuli za chama

ebu tuelezeni je

baa zimefungwa huko kwenu?
mmewazuia watu wasilale na wake zao huko?
wangapi wamhudhuria mazishi?

acheni matamko matamko haya yanaonesha ujinga wetu kwenye mambo ya msingi

kila siku watu wanakufa, kila kitu kisimame basi

watanzania bana mbona mnapenda sana kukuza vitu vidogo, ku-complicatate maisha namna hii!!!

hili tamko ni la kipuuzi na linaonyesha ego ya wahaya....kama Nape ni mhaya sasa wamlaumu, na bado kama muhaya hizo mila na desturi it has nothing to do with msiba na shughuli za chama

Hebu tuelezeni je,

baa zimefungwa huko kwenu?
mmewazuia watu wasilale na wake zao huko?
wangapi wamhudhuria mazishi?

acheni matamko matamko haya yanaonesha ujinga wetu kwenye mambo ya msingi

kila siku watu wanakufa, kila kitu kisimame basi
 
Wala sishangai kwa nini hukujua kama mazishi yameishafanyika au bado. Mara nyingi nyie watoto wa NJE YA NDOA ni vigumu kuwa na ukaribu na marafiki wa baba zenu.

Ulukolokwitanga una hakika baba yako unayemjua ndiye baba yako mzazi??

ebu acha ujinga , acha personal attack sio kila mtu atafurahia comment yako!! think big kuna watoto wa nje ya ndoa wengi humu will they be happy to read your comment?

pumbavu!!
 
Nape usiwe mbishi mdogo wangu, frankly speaking unapotea sana,unajichanganya kila siku, unakurupuka kila unapotokeza,na hata hao ccm-magamba wanakutumia tu lakini hawaishi kukujadili jinsi unavyowaharibia au unavyoiua CCM yao, ungekuwa unatumia akili yako vizuri ungelijua nini cha kufanya, leo ni magamba wenzio ndio wanaokufagilia lakini ni aibu jinsi unavyojitokeza kushindana na umma unaotaka mabadiliko.

Mbaya zaidi umekuwa mbishi kupita kiasi,hivi kwa hili la msiba wa Dr Kyaruzi huoni kama wewe binafsi umeeonekana huna maadili? Mzee Nnauye ambae alikuwa mwalimu wa baba yangu pale Kivukoni alikuacha ukiwa huna maadili. Hivi kwa nafasi yako katika chama hujui kuwa nafasi yako ni ya kitaifa, hukuja kama kupita kusalimia kwenye msiba mkubwa kama huo na kisha ukaendelea na kazi yako ya chama mfu hukutenda sawa na utamaduni wa kiafrika? Sisi kwetu usukumani ukifanya hivyo ujue adhabu yako ni kutengwa na jamii na ili uungane na jamii tena lazima ulipe faini, na uwaalike wazee na wanazengo kisha uombe msamaha wazi wazi. Sasa leo ulivyokuwa huwezi kutafakari mambo uliona ni sawa upite usalimie kisha uendelee kutangaza msiba wa CCM.

Huyu aliyeleta uzi huu ni mwema sana, sio mnafiki anataka ujirekebishe, na uwe unapima mabo kabla ya kufanya, ila kwa kutokujua kwako umenuna.

Kwetu sisi tunaona endelea hivyo hivyo ili kazi ya kuwapiga chini iwe nyepesi, maana Mungu anatusaidia kwa njia kama hii ya kina nape kupoteza mila, desturi na tamaduni za kiafrika hasa Tanzania.
 
Nape is semi-literate for starters, barely able to maintain the basic rules of writing.

Huyu ndiye kada mkubwa kabisa wa chama anayeandaliwa kuchukua madaraka makubwa zaidi baadaye.

SMH!

hamna bana una complicate mno!! boring to read your comment and the way u have presented it!! what is he has written under pressure of counter attacking this??

after all nani hajui ulichoandika!!!

faultfinder!!
 
Nimesikitishwa sana sana NA UPOTOSHAJI MKUBWA UNAENDELEA KATIKA SAFARI YANGU YA KWENDA KAGERA! KILICHONIUMA ZAIDI NI JINSI WATU WANAVYOTAKA KUTUMIA MSIBA KAMA NGAO YAO YA KUPOTOSHA UKWELI WA SWALA ZIMA LA SAFARI YANGU KAGERA. KWA WASIOJUA AU WALIOAMUA KUPOTOSHA UKWELI KWA MAKUSUDI, DR. KYARUZI ALIKUWA RAFIKI MKUBWA WA MAREHEMU BABA YANGU MZAZI BRIG. GEN MOSES NNAUYE, HIVYO MAREHEMU KYARUZI NI SAWA NA BABA YANGU. NINA LAANI JUHUDI ZA KUTAKA KUTUMIA ZIARA YANGU KAGERA NA MSIBA WA MZEE WANGU KYARUZI KISIASA.

NAOMBA IJULIKANE KUWA KAGERA SIKWENDA RASMI KWA AJILI YA KUHANI MSIBA
, ISIPOKUWA NILIKWENDA KWA SHUGHULI ZANGU ZA KICHAMA NA KWAKWELI NILIJUA MAZISHI YAMESHAFANYIKA YA DR. KYARUZI NIKIWA DAR NIKAMWOMBA KATIBU WA MKOA KUWA NIKIWA MISENYI NIENDE NYUMBANI KUWASALIMIA WAFIWA, AKANIAMBIA HAWAJAZIKA, NA ILIKUWA WAZIKE KESHO YAKE YA SIKU NILIYOENDA KAGERA, NIKAMWAMBIA BASI NITAPITA MSIBANI KUTOA POLE. NA NDIVYO NILIVYOFANYA , NILIPOFIKA TU NIKAENDA KUTOA POLE NDIO NIKAENDELEA NA SHUGHULI ZILIZONIPELEKA KAGERA.KAGERA SIKWENDA KUHANI MSIBA NILIKWENDA KWA SHUGHULI YA VIJANA, SI BUSARA HATA KIDOGO KULAUMU BILA KUULIZA HASA KWA MHUSIKA. NINASIKITISHWA NA UAMUZI WA MWANDISHI KUJIPA USEMAJI WA VIJANA KAGERA NA KUSHINDWA HATA KUWAULIZA WAHUSIKA MAANA WAPO KAGERA NAPE ALIFUATA NINI KAGERA.

LAKINI KUDHIHIRISHA NIA MBAYA YA MWANDISHI, MWANDISHI KAAMUA KUDANGANYA UMMA KUWA NILIKUWEPO KAGERA SIKU YA MAZISHI YA DR. KYARUZI, AMA KAAMUA KUKOLEZA KUSUDI LAKE BAYA AU HAJUI ALICHOKISEMA, UKWELI NI KWAMBA TAREHE 25/05/2012 NILIKWENDA KAGERA NA KURUDI DSM SIKU HIYOHIYO SASA HUYO NAPE WA TAREHE 26 NI YUPI? NI VIZURI KUPIMA TUHUMA KABLA YA KUZITOA.

NINA MSAMEHE BURE MWANDISHI NA ALIOSHIRIKIANA NAO.


Nape, Maelezo yako yote unajitukanisha na unatuchanganya ni bora ungekaa kimya.Msibani picha zako ziko humu na ulivaa kisiasa zaidi. Kama kweli marehemu alikuwa rafiki wa marehemu babako basi ungekuwa karibu na familia ukajua ratiba kamili. Naogopa kusema ulikurupuka na huenda watu wanaweza waseme kwamba uli gate crash msibani. Kwenye hili kaka umeshikwa pabaya.
 
Hii blog kama tulivyo wahi kusema inata watu wote wanachangia wawe wana cdm ndio maana kila wakati sisi tusio kipenda cdm wanajifanya kuziondoa na hatutachoka.CCM OYEEEE
 
Nimesikitishwa sana sana NA UPOTOSHAJI MKUBWA UNAENDELEA KATIKA SAFARI YANGU YA KWENDA KAGERA! KILICHONIUMA ZAIDI NI JINSI WATU WANAVYOTAKA KUTUMIA MSIBA KAMA NGAO YAO YA KUPOTOSHA UKWELI WA SWALA ZIMA LA SAFARI YANGU KAGERA. KWA WASIOJUA AU WALIOAMUA KUPOTOSHA UKWELI KWA MAKUSUDI, DR. KYARUZI ALIKUWA RAFIKI MKUBWA WA MAREHEMU BABA YANGU MZAZI BRIG. GEN MOSES NNAUYE, HIVYO MAREHEMU KYARUZI NI SAWA NA BABA YANGU. NINA LAANI JUHUDI ZA KUTAKA KUTUMIA ZIARA YANGU KAGERA NA MSIBA WA MZEE WANGU KYARUZI KISIASA.
Never give up mheshimiwa, keep on strugling and people will eventually understand you.

Tunakuamini sana, tunaukubali sana uwajibikaji wako, umakini, uzalendo, huruma yako kwa wananchi na mengine mengi unayoyafanya kwa maslahi ya chama na taifa kwa ujumla.

Tatizo la watu wengi wanatanguliza sana ushabiki, imani, itikadi na hivyo kuwafanya kuwa watumwa wa mawazo na hatimaye kuyapokea mawazo na kuyaamini bila kuyafanyia uchambuzi wa kina.

Wanachama wanaoitwa wa chadema, ni sawa na watu walio katika chumba cha giza na hivyo hata wakiitwa wanashindwa kutoka kwasababu ya giza totoro lililowavamia. Kamwe hawataiona nuru mpaka watoke gizani. Pole yenu sana
 
Ujinga tu huu na wastage of time!!

watanzania bana mbona mnapenda sana kukuza vitu vidogo, ku-complicatate maisha namna hii!!!
Waberoya you may have some point on this, lakini ujuwe siku zote ukipanda ubuyu usitegemee kuvuna nyanya, CCM ndio waasisi wa mambo ya kijinga na matamko ya kipuuzi na kuna wakati uzitumia hata taasisi za dini kutimiza malengo yao.

Kama utakumbuka Joshua Nassari baada ya kuzungumza jukwaani maneno yaliotokana na mhemko wa kisiasa pale Arusha, Freeman Mbowe kama Mwenyekiti alihutubia na kuclear ile statement.

Kwa Tatifa lolote la watu makini kauli ya Mbowe ndio kauli rasmi ya chama, lakini cha kushangaza wanasiasa walioshindwa wakiongozwa na Nape wao ndio wakataka kuigeuza karata yao ya kisiasa, ndio maana mimi hawa watu huwa sina huruma nao maana ni wabaya kuliko ubaya wenyewe.

Waberoya labda unaweza ukastuka nikikwambia kama mpaka sasa bado nna mashaka kama kweli ni Waislamu ndio wamechoma yale Makanisa, maana nina tabia ya kutoupumzisha ubongo wangu maana unafanya kazi muda wote.

Ni kwa nini napata mashaka haya!!......nikiangalia CCM walichokifanya Igunga kuchoma moto banda la kuku na kusingizia Chadema imechoma ile nyumba ya kiongozi wa CCM ndio kinanipa imani hawa watu wakibanwa wako tayari kutumia mbinu zote, hali ya Zanzibar Serikali ya CCM maji yako shingoni, nina mashaka isijekuwa ni CCM ndio wamechoma makanisa ili wapate uhalali wa kuwadhibiti Uamsho.
 
Last edited by a moderator:
never give up mheshimiwa,keep on strugling and people will eventually understand you.tunakuamini sana,tunaukubali sana uajibikaji wako,umakini,uzalendo,huruma yako kwa wananchi na mengine mengi unayoyafanya kwa maslai ya chama na taifa kwa ujumla. Tatizo la watu wengi wanatanguliza sana ushabiki,imani,itikadi na hivyo kuwafanya kuwa watumwa wa mawazo na hatimaye kuyapokea mawazo na kuyaamini bila kuyafanyia uchambuzi wa kina. Wanachama wanaoitwa wa chadema,ni sawa na watu walio katika chumba cha giza na hivyo hata wakiitwa wanashindwa kutoka kwasababu ya giza totoro lililowavamia.kamwe hawataiona nuru mpaka watoke gizani.pole yenu sana

mmh, hizo panctuation marks zako ni za wapi mkuu? Nimependa hizo commas na periods!
 
Waberoya you may have some point on this, lakini ujuwe siku zote ukipanda ubuyu usitegemee kuvuna nyanya, CCM ndio waasisi wa mambo ya kijinga na matamko ya kipuuzi na kuna wakati uzitumia hata taasisi za dini kutimiza malengo yao.

Kama utakumbuka Joshua Nassari baada ya kuzungumza jukwaani maneno yaliotokana na mhemko wa kisiasa pale Arusha, Freeman Mbowe kama Mwenyekiti alihutubia na kuclear ile statement.

Kwa Tatifa lolote la watu makini kauli ya Mbowe ndio kauli rasmi ya chama, lakini cha kushangaza wanasiasa walioshindwa wakiongozwa na Nape wao ndio wakataka kuigeuza karata yao ya kisiasa, ndio maana mimi hawa watu huwa sina huruma nao maana ni wabaya kuliko ubaya wenyewe.

Waberoya labda unaweza ukastuka nikikwambia kama mpaka sasa bado nna mashaka kama kweli ni Waislamu ndio wamechoma yale Makanisa, maana nina tabia ya kutoupumzisha ubongo wangu maana unafanya kazi muda wote.

Ni kwa nini napata mashaka haya!!......nikiangalia CCM walichokifanya Igunga kuchoma moto banda la kuku na kusingizia Chadema imechoma ile nyumba ya kiongozi wa CCM ndio kinanipa imani hawa watu wakibanwa wako tayari kutumia mbinu zote, hali ya Zanzibar Serikali ya CCM maji yako shingoni, nina mashaka isijekuwa ni CCM ndio wamechoma makanisa ili wapate uhalali wa kuwadhibiti Uamsho.

Matola, umenifanya nicheke sana

Kumbe hii issue nzima bado ni kisiasa zaidi kuliko hali halisi, na wengi waliolipokea hili wamelipokea kisiasa!!

Kweli CCM ni waanzilishi wa kila kitu lakini isifike muda tuka-copy ujinga wao!!! kwa mfano mtoa tamko huyu si ni CCM?? kwani angempigia simu Nape na kutaka ufafanuzi ingeharibu nini? kutoka huku ki-matamko tamko kuna tu expose sana tabia zetu watanzania

nimecheka kuhusu zanzibar, anyway sina comment sana, maana mimi ni mhanga wa hiyo mioto!!! let me keep silent for now.

ukicheka na nyani utavuna mabua!! CCM wanachekana kuwalea sana watu fulani nchi hii, ambao siku zote huwa hawaleleki sana.

spiritually hawajachoma moto ndio wamewasha moto wa injili ya Yesu Kristo!!
 
Nape alitakiwa avute pumzi na kuelewa nini hasa kimeandikwa kwenye huo waraka kabla ya kujibu.

Kwa bahati nzuri au mbaya watanzania wanajua "style and level" ya ushiriki wa ccm na serikali yake kwenye misiba wanayoithamini-tumeona Kanumba. Sasa Nape alitakiwa aokoe jahazi walau nusu jahazi lakini kwa bahati mbaya anasema hakwenda huko specificaally kuhudhuria mazishi and worse he didn't even know kama marehemu Mzee Kyaruzi amezikwa au la!

Ningekuwa mjumbe wa NEC ningepiga kelele ili uitishwe mkutano wa dharura wa NEC na kubadilisha the entire secretariat. Wote kabisa ni kuwaondoa kwa sababu they are behind this disastrous situation. Mukama atawezaje kuwaangalia usoni wazee wa ccm baada ya hii blunder? Au rais ataendelea na mtindo wake wa kuongea na wazee akiwa na jambo muhimu huku akitoa kipaumbele kwa wacheza sinema?

Pia ningeomba kufahamishwa, kwenye huu msiba wa Mzee Kyaruzi mbunge wa Missenyi - Assumpta Mushama alishiriki kwa kiwango gani?

Na mwisho, vijana wote waliombatana na Nape wakati watu wanalia (wenyewe) makaburini waone busara ya kuomba radhi mara moja. Ni jambo la ajabu kwa kijana wa kitanzania kuacha msiba nyumbani na kuambatana na mgeni toka mbali kwenda kucheza gofu! Hii ni laana. Ombeni radhi halafu mengine baadae.
 
kwa hiyo kwa kauli ya nape ni kuwa ccm serikali haijatuma mwakilishi kwenye msiba wa dr kyaruzi. Kwa maana hiyo ni kuwa amekwepa kuomba samahani. Kadhalika katika majibu yake ni kuwa dk kyaruzi hajapata heshima ya kitaifa
 
Back
Top Bottom