Nape mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niliwahi kukuambia hapa narudia tena, wewe ni heavy weight kwa wapinzani koko ndio maana watapiga kelele kwa kila move yako. Uliwachoma sana huko Bukoba nadhani hizi kelele ni maumivu.
Wengine mbona tumesoma na kuelewa maudhui ya mtoa hoja!