Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Nape alikuwa na majukumu mawili ya kufanya.Moja ni kutoa pole na la pili ni ziara zake za kisiasa na hilo si tatizo.Kwangu sina tatizo nalo.Mbona viongozi wengi tu wanapomaliza misiba wanaendelea na shughuri za kisiasa.Tatizo liko wapi jamani?Summary hakukataliwa kwa ajili ya taratibu za kimila ati zilikiukwa.issue watu walichoka na utawala wa kurithishana na siyo lingine.Mwacheni nape afanye kazi yake ni kweli nape ni mzalendo.Kwa hilo mimi sikatai hata kama mimi si mwanachamama wa chama chochote.
Hapo kwenye red, unaweza kumaliza msiba bila kuzika?au msiba humalizika vipi?