white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
Kufuatia kauli ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Joyce Ndalichako aliwa Bungeni leo na baadae Wizara kutoa tamko rasmi kuwa haiitambui taasis ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF) ambayo ilikuwa inatoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
Rejea hapa; Serikali: Hatuitambui Taasisi ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF) iliyojigamba kutoa mikopo kwa wanafunzi
Shirika hilo limetoa tamko lake juu ya kauli hiyo na kusema linakiri kupokea tamko hilo ya Wizara ya Elimu. Lakini pia Shirika la TSSF limeshtushwa na kusikitishwa kutokana na namna ambavyo juhudi zake za kuwasaidia watoto masikini wa kitanzania kupata elimu ya juu ambayo ni haki yao ya kimsingi na ya kikatiba zinavyominywa na kuzodolewa kila kona ya nchi hii kutokana na hisia hasi za kitapeli
Aidha Shirika hilolimefafanua mambo sita muhimu;
Soma nyaraka zifuatazo ambazo ndio tamko zima la Shirika hilo la TSSF
Rejea hapa; Serikali: Hatuitambui Taasisi ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF) iliyojigamba kutoa mikopo kwa wanafunzi
Shirika hilo limetoa tamko lake juu ya kauli hiyo na kusema linakiri kupokea tamko hilo ya Wizara ya Elimu. Lakini pia Shirika la TSSF limeshtushwa na kusikitishwa kutokana na namna ambavyo juhudi zake za kuwasaidia watoto masikini wa kitanzania kupata elimu ya juu ambayo ni haki yao ya kimsingi na ya kikatiba zinavyominywa na kuzodolewa kila kona ya nchi hii kutokana na hisia hasi za kitapeli
Aidha Shirika hilolimefafanua mambo sita muhimu;
- Uhalali wa Kisheria
- Utoaji wa Mikopo Nafuu ya Elimu kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu chini ya Mfuko wa Elimu ya Juu Shirika la TSSF
- Uhalali wa TSSF kutoza Gharama za Huduma zake
- Majibu ya TSSF Dhidi ya Tamko la Mhe. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako
- Taarifa ya Wizara kwa Umma kuhusu TSSF
- Msimamo wa TSSF dhidi ya Huduma zake kwa Umma
Soma nyaraka zifuatazo ambazo ndio tamko zima la Shirika hilo la TSSF