Tamko la Tanzania Social Support Foundation (TSSF) juu ya kutokutambuliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Hapa naona hisia zimeshinda uhalisia. Mikopo ya serikali haitoshi kwa jinsi yeyote utakavyo angalia. Watu wana uhitaji ndo maana wako tayari kwenda TSSF. Serikali inalijua hili lakini wamesubiri mpaka watu wanauliza maswali. Na jinsi waziri alivyo jibu ni wazi ya kuwa hata yeye mwenyewe hajui legal status ya TSSF.

Cha msingi serikali imalize uchunguzi wake mapema na itoe majibu. Kama hawa jamaa sio genuine basi sheria ifuate mkondo wake vinginevyo waombe radhi (serikali) na wenye uhitaji wakaombe mikopo huko kama serikali haitoshelezi wanaohitaji. Kama hujui status ya kitu sema tu tunalifanyia kazi, bakiza maneno.

Issue kwa taifa ni kama TSSF inaongeza access to higher education, kama wanafanya hivyo kihalali waungwe mkono na waizara, TCU na HESLB na watangazwe/wajitangaze ipasavyo. Hii habari ya sijui priority courses imepitwa na wakati.
 
Kwa jinsi nilivyomuona waziri wa Elimu jana bungeni akiongea, ni kama vile ana hofu fulani, amehisi kunusa kutumbuliwa kupitia hii issue, hivyo akaamua kuiruka kabisa ili kuepuka kitanzi. Sababu ni moja tu, Sizonje hapendi sana sekta binafsi, na akihisi taasisi binafsi inaweza kubebwa jukumu ambalo serikali imeonekana kushindwa anajawa na hasira ya kupindukia.

Yes, hao jamaa wa TSSF ni wajanja fulani(kwa mtazamo wangu), lakini walionyesha nia njema katika kutaka kusaidia hili na wao kuvuna faida, nadhani serikali ilipaswa kuwafuatilia, kuongea nao na kumalizana nao kuliko kutoa kauli kali za kupoteza taswira yao kabla ya kuwasikiliza.
Dola ina vyombo vya kulifanya hili ndani ya muda mfupi-sioni kwa nini wawakaange TSSF halafu waishie kusema tutalifuatilia.
 
Maoni yangu binafsi
Ni kweli kabisa kwamba kisheria, NGO ni autonomy, lakini
NGO inawajibika kwa serikali, kwanza kwa msajili wa NGO (kama msajili), pili kwenye taasisi ya serikali inayosimamia shughuli zinazofanywa na NGO (kama regulator wa shughuli hizo). Mathalani, NGO haiwezi kujenga zahanati au maabara ya magonjwa bila kujitambulisha na kupata baraka za wizara ya afya.
Ni kama vile mimi binafsi, siwezi kuja shule binafsi hata kama nna hela nkaanza kugawa chakula kwa wanafunzi bila kuomba kibali kwa mwenye shule.
NGO kama mbia wa serikali katika kuleta maendeleo kwa wananchi, inatakiwa kujitambulisha kwenye kitengo cha serikali kinachosimamia huduma hizo. Sasa tangu 2011 mpaka august 2017, ndio wanatuma e-mail kujitambulisha wizarani, hii sio sawa.
Ikumbukwe kwamba kuna mfuko wa elimu (Tanzania Education Fund) ambao wanasimamia mambo ya ufadhili binafsi wa wanafunzi na miradi mingine inayohusu elimu, na wanatoa Cheti (Certificate of Education Appreciation) kwa shirika ama mtu anayetoa ufadhili kwa wanafunzi ama kuchangia miradi ya maendeleo ya elimu (section 12 of the tanzania education fund act of 2001), kama na huko hawajulikani, basi waziri yupo sahihi.
Mkuu mbona huelewi? Wamekuambia wamefuatilia wizarani lskini hawakupata majibu mpaka leo, kwani tatizo liko wapi ikiwa uhitaji wa wa mikopo ya wanafunzi ni sasa?
2011 waende wizara ya elimu kufanya nini ilihali walikua hawatoi mikopo wakati huo? Wewe vipi bhana?
 
Wameachwa kwa sababu wamesoma private school....education ni kipaumbele cha taifa.......mtu aliyesoma PCB shule za serikali mwanzo mwisho...na amechaguliwa corse zenye kipaumbele hawez kosa mkopo....
sema we jamaa mbishi tu
kwa hiyo waliokosa mkopo wote ni private
 
Hilo shirika la kitapeli halina tofauti na D9, Money Creator na mengine yenye kariba kama hiyo
 
sema we jamaa mbishi tu
kwa hiyo waliokosa mkopo wote ni private
Hapana mi sio mbishi....sema tu hujanielewa na hii ni kwa sababu huna mpango wa kunielewa....Vigezo vya HESLB vipo waz...ikitokea isivyo bas waombaj ni weng na mpunga ni kdogo...!! Zaidi ya hapo watoaji mkopo ni wajinga kama nilivyodokeza mwanzo....pole kama umekosa mkopo....hata hvyo fanya kila njia ukasome hata ikibid kuuza shamba we uza ukasome....awamu hii ndo awamu bora kabisa ya kupatia elimu....usisikilize maneno ya watu
 
Hapana mi sio mbishi....sema tu hujanielewa na hii ni kwa sababu huna mpango wa kunielewa....Vigezo vya HESLB vipo waz...ikitokea isivyo bas waombaj ni weng na mpunga ni kdogo...!! Zaidi ya hapo watoaji mkopo ni wajinga kama nilivyodokeza mwanzo....pole kama umekosa mkopo....hata hvyo fanya kila njia ukasome hata ikibid kuuza shamba we uza ukasome....awamu hii ndo awamu bora kabisa ya kupatia elimu....usisikilize maneno ya watu
Hapo kwenye blue ndio kilichotokea Mwaka huu
waombaji walikuwa 61,000
mpaka sasa waliopata ni 29600
bajeti ya heslb waliyopewa na serikali ni ya watu 30,000 kwa Mwaka mpya wa masomo 2017/18
so hata kama wenye vigezo wanazidi 50,000 still watakaopata ni wale 30,000 tu
maoni yangu: hapa serikali inabidi iongeze fungu kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu ili bodi nao wapatiwe fungu lakutosha
 
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION

OFISI YA MKURUGENZI MKUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA

YAH: KAULI YA SHIRIKA LA TSSF DHIDI YA TAMKO LA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHIRIKA LA TSSF

Shirika la Tanzania Social Support Foundation linakiri kupokea tamko la Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia lilitolewa na Mhe. Profesa Joyce Ndalichako katika majibu yake kwa Mhe. Cosato David Chumi, Mbunge wa Mafinga Mjini, aliyeomba mwongozo kuhusu uhakika wa Shirika la TSSF katika kutoa mikopo nafuu ya elimu kwa wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu kufutia matangazo ya Shirika la TSSF yaliyotolewa hivi karibuni yakialika wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu kuomba mikopo hiyo. Tamko hilo linakwenda sanjari na taarifa kwa umma iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, leo Ijumaa Novemba 10, 2017. Kimsingi taarifa ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekiri kutokufahamu Shirika la TSSF na kuwataka wananchi kuupuza taarifa zinazotolewa na Shirika la TSSF.

Shirika la TSSF limeshtushwa na kusikitishwa kutokana na namna ambavyo juhudi zake za kuwasaidia watoto masikini wa kitanzania kupata elimu ya juu ambayo ni haki yao ya kimsingi na ya kikatiba zinavyominywa na kuzodolewa kila kona ya nchi hii kutokana na hisia hasi za kitapeli. Jambo hili linaikatisha tamaa sekta binafsi hapa nchini katika kusukuma gurudumu la maendeleo hasa katika kipindi hiki ambapo nchi yetu inapigana vita vya kiuchumi kama inavyofafanuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Shirika la TSSF limepokea tamko la Mhe. Waziri Prof. Joyce Ndalichako kwa niaba ya Serikali kama tamko ambalo limetolewa kwa kutahayari katika hali ya taharuki na tahamaki kutokana na kutokuwa na taarifa za kina kuhusu Shirika la TSSF kwa sababu mapema leo asubuhi, Ofisi Ndogo za Shirika la TSSF zilizopo Jijini Dar es Salaam zilipokea ugeni wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutoka Makao Makuu ya Wizara hiyo yaliyopo Mkoani Dodoma ambao uliongozwa na Ndugu Moshi J. Kabengwe, ambaye ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu na Mhe. Wakili Msomi Patricia M.K Maganga ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria, wote wakiwa ni watumishi waandamizi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Ugeni huo umekagua Cheti cha Usajili wa Shirika la TSSF, Katiba ya Shirika la TSSF, Andiko la Mradi wa Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF, Mkataba wa Shirika la TSSF na mfadhili wake ambao ndio chanzo cha fedha zinazotolewa kwa wanufaika wa Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF pamoja na nyaraka ambazo zinashuhudia uwepo wa Shirika la TSSF tangu Mwaka 2011 mpaka sasa. Ushahidi wa ugeni huo kufika ofisini kwetu, upo katika Kitabu cha Wageni Maalum wa Shirika la TSSF walichokisaini leo Ijumaa Novemba 10, 2017 ambapo baada ya kijiridhisha na taarifa hizo pamoja na uhai wa Shirika la TSSF, waliagiza kutolewa nakala kivuli za nyaraka zote muhimu za Shirika la TSSF ili waziwasilishe kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Aidha, ni jambo la kawaida kabisa kwa mtu kuhoji uhalali wa kitu fulani pale anapotilia shaka na kwamba; Shirika la TSSF linathibitisha uhalali wa kufanya shughuli zake kutokana na sababu zifuatazo;
1. Uhalali wa Kisheria
Shirika la TSSF limesajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Sura ya 56, ya Sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama ilivyofanyiwa marekebisho mnamo mwaka 2005 kupitia Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Amendment of Miscellaneous Written Laws) Na. 11 ya Mwaka 2005. Aliyelisajili Shirika la TSSF ni Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vilevile Cheti cha Usajili wa Shirika la TSSF kinatoa maelekezo kwamba, TSSF itafanya kazi katika mikoa yote ya Tanzania Bara, na itajiendesha kwa mujibu masharti ya Katiba yake. Namba ya Usajili wa Shirika la TSSF ni 00NGO/00006998. Cheti hiki ndicho kinachotoa uhalali wa Shirika la TSSF kufanya kazi zake katika umma wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hii ni kwa mujibu wa Kifungu cha 18 cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002 ambacho kinasema ;
“18(1) A certificate Of registration shall be a conclusive evidence of the authority to operate as specified in the constitution or in the certificate of registration
18(2) A registered Non-Governmental Organization shall, by virtue of registration under this Act, be a body corporate capable in its name of;
(a) Suing and be sued.
(b) Acquiring, purchasing or otherwise disposing of any property, movable or immovable;
(c) Entering into contract; and
(d) Doing or performing all acts which can be done by a body corporate and which are necessary for proper performance of its duties and functions.”
Malengo ya TSSF yaliyotajwa katika Ibara ya 13(iv) ya Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 yanasema kwamba;
“To promote the higher educational welfare and all matters related to educational welfare in Tanzania”
Vilevile Ibara inayofuatia ya 13(v) ya Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 inasema kwamba,
“To establish the educational plans and institutions that shall help the poorest people to get education in affordable ways”
Masharti hayo ya Katiba ya TSSF ambayo yametajwa hapo juu, yanalindwa na Kifungu cha 30(1) cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002;
“30. -(1) The constitution and other documents submitted by founder Governing members to the Registrar at the time of making application for registration documents or any subsequent constitution and documents submitted to the Registrar shall be the governing documents in respect of such Non-Governmental Organization.”
2. Utoaji wa Mikopo Nafuu ya Elimu kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu chini ya Mfuko wa Elimu ya Juu Shirika la TSSF
Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF unaendeshwa chini ya Katiba ya TSSF kama ibara zake zilivyoainishwa hapo na umelenga kuwasaidia wenye uhitaji. Swali ambalo limekuwa likiwatatiza watu wengi ni kwamba, Je, NGO inaweza kutoa mikopo nafuu? Jibu lake ni kwamba, kwa mujibu wa Sheria za Tanzania inawezekana. Sheria ya Kodi ya Kipato (The Income Tax Act, Cap.332 R.E 2008) inatambua shughuli zote za kipato zinazofanywa na mashirika yasiyo ya kiserikali kama biashara ya ukarimu “Charitable Business” ambayo inatozwa kodi. Hii ni kwa mujibu wa Kifungu cha 64 cha Sheria ya Kodi ya Kipato.
64.-(1) A charitable organisation or religious organisation shall be treated as conducting a business with respect to its functions referred to in subsection (8) as the "charitable business".
(2) For the purposes of calculating the income of a charitable organisation or religious organisation for any year of income from its charitable business –
(a) there shall be included, together with any other amounts required to be included under other provisions of this Act, all gifts and donations received by the organisation; and
(b) there shall be deducted, together with any other amounts deductible under other provisions of this Act –
(i) amounts applied in pursuit of the organisation or religious organisation’s functions referred to in subsection (8) by providing reasonable benefits to resident persons or, where the expenditure on the benefits has a source in the United Republic, persons resident anywhere; and
(ii) 25 percent of the organisation or religious organisation's income from its charitable business (calculated without any deduction under subparagraph (i) and any investments.
(3) This subsection shall apply to any amount applied by a charitable organisation or religious organisation during a year of income other than in the manner referred to in subsection (2)(b)(i) or as a reasonable payment to a person for assets or services rendered to the organisation by the person.
(4) Where subsection (3) applies –
(a) the organisation or religious organisation shall be treated as conducting a business other than its charitable business; and
(b) the sum of amounts to which that subsection applies for the year of income less any income of the organisation or religious organisation from a business other than its charitable business or business referred to in paragraph (a) shall be treated as income of the organisation or religious organisation that has a source in the United Republic derived during the year of income from the business referred to in paragraph (a).
(5) Notwithstanding the provision of section 19, a charitable organisation or religious organisation -
(a) may not set any loss from its charitable business against its income from any other business; and;
(b) may only set losses from any other business against income from any such other business.
(6) Where a charitable organisation or religious organisation ceases to be a charitable organisation or religious organisation during a year of income –
(a) the organisation or religious organisation shall be treated as conducting a business other than its previous charitable business; and
(b) there shall be included in calculating the organisation or religious organisation’s income for the year of inccome from the business referred to in paragraph (a) any amounts claimed as a deduction under subsection (2)(b)(ii) during that year of income or any prior year of income during which the organisation was a charitable organisation or religious organisation.
(7) Where a charitable organisation or religious organisation wishes to save funds for a project that is detailed in material particulars and which the organisation is committed to, the organisation or religious organisation may apply to the Commissioner and the Commissioner may approve the saving as meeting the requirements of subsection (2)(b)(i):
(8) For the purposes of this section, “charitable organisation” means a resident entity of a public character that satisfies the following conditions:
(a) the entity was established and functions solely as an organisation for:
(i) the relief of poverty or distress of the public;
(ii) the advancement of education; or
(iii) the provision of general public health, education, water or road construction or maintenance; and;
(b) the entity has been issued with a ruling by the Commissioner under section 131 currently in force stating that it is a charitable organisation or religious organisation.
Kifungu hicho kinasomwa pamoja na Tafsiri ya maana ya NGO kama ilivyotafsiriwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 11 ya Mwaka 2005 ambacho kinatafsiri NGO kama taasisi ambayo inaweza kufanya shughuli za kipato bila ya kugawana faida isipokuwa kuelekeza faida hiyo katika shughuli zinazonufaisha umma.
Kwa mantiki hiyo, mikopo nafuu ya elimu ambayo inatolewa na TSSF ni halali.
3. Uhalali wa TSSF kutoza Gharama za Huduma zake
Gharama ambazo zinatozwa kwa minajili ya upatikaji wa huduma za TSSF ni sehemu ya kuinua mfuko wa Shirika la TSSF ili liweze kujiendesha, kuwa endelevu na kutoa huduma kwa umma. Gharama hizo zinatozwa kwa mujibu wa Ibara ya 10(viii) ya Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 ambayo inasema;
“To solicit and receive fund within and outside Tanzania, receive grants in cash or kind, and charge an appropriate fee in provision of services with a view to enhance development, expansion, and/or rehabilitation of the Organization”
Ibara hii inasomwa pamoja na Kifungu cha 32 cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002;
“32. Non Governmental Organization registered under this Act shall be entitled to engage in legally acceptable fund raising activities.”
4. Majibu ya TSSF Dhidi ya Tamko la Mhe. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako
4.1 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutokutambua Taasisi ya TSSF
Shirika la TSSF halina mrejesho wa kusema dhidi ya tamko la Mhe. Waziri Ndalichako kuhusu yeye na wizara yake kutoitambua TSSF. Japokuwa TSSF imekwisha fanya jitihada mbalimbali za kujitambulisha kwa wizara hiyo bila ya kupata mrejesho wowote. Mnamo tarehe 01 Agosti 2017 saa 12:18 jioni, TSSF ilituma barua yake kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia email zifuatazo; ps@moe.go.tz na
info@moe.go.tz ambapo barua hiyo ya TSSF ilikuwa ni ya tarehe 31 Julai 2017 yenye Kumb. Na: TSSF/DG/16/2017/84/1 ambayo ilitumwa kwa wizara hiyo pamoja na Cheti cha Usajili wa Shirika la TSSF na Tangazo la Mwaliko wa Maombi ya Ufadhili wa Masomo ya elimu ya juu. Licha ya barua hiyo ya TSSF kuisihi Serikali kuchagiza mahusiano ya kikazi baina yake na TSSF lakini barua hiyo haikujibiwa mpaka tarehe ya kutolewa kwa taarifa hii. Kutokana na ukimya wa wizara ya elimu, Shirika la TSSF lisingeweza kuacha kutekeleza shughuli zake kwa sababu Shirika la TSSF haliwajibiki moja kwa moja kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia bali linawajika kwa Msajili wa NGOs kwa kuwasilisha taarifa zake za kazi za kila mwaka na kulipa ada zake kwa Msajili wa NGOs pamoja na kujaza NGOA Fomu Na. 10 ambayo hujazwa kwa mujibu wa Kifungu cha 29 na 38 cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002.
4.2 Kuhusu Mhe. Ndalichako kutokuwa na Taarifa ya Mkutano wa TSSF na Taasisi za Elimu ya Juu wa tarehe 30 Novemba 2017 pamoja na yeye kutokuwa na Taarifa za Kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano huo.
Ni kweli kwamba, TSSF imepanga kuwa na mkutano na taasisi za elimu ya juu mnamo tarehe 30 Novemba 2017. Hata hivyo, katika matamshi ya TSSF kuhusu Mhe. Ndalichako kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano huo, TSSF ilisema kwamba Mhe. Ndalichako “anatarajiwa” na siyo “atakuwa” Mgeni Rasmi wa Mkutano huo.
5. Taarifa ya Wizara kwa Umma kuhusu TSSF
5.1 Kuhusu Taarifa za TSSF kutokuwa za Kweli
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia haiwezi kukanusha au kuthibitisha taarifa za TSSF kwa sababu, chanzo cha taarifa za TSSF ni TSSF yenyewe na siyo Wizara. Vilevile kwa Mujibu wa Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia siyo Msemaji wa TSSF. Kwa hiyo mwenye mamlaka ya kuthibitisha au kukanusha taarifa za TSSF ni TSSF yenyewe na siyo mtu mwingine awaye yeyote.
5.2 Kuhusu Mkurugenzi Mkuu wa TSSF kutakiwa kufika katika Makao Makuu ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia akiwa na Nyaraka zote za TSSF
Mkurugenzi Mkuu wa TSSF amepkea wito huo kwa mikono miwili japokuwa hajapokea barua ya wito wa kuitwa na wizara hiyo lakini atawasili kwenye Ofisi ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Siku ya Jumanne ya terehe 14 Novemba 2017, Saa tatu kamili asubuhi akiwa na nyaraka zote muhimu kama alivyoagizwa.
6. Msimamo wa TSSF dhidi ya Huduma zake kwa Umma
Shirika la TSSF litaendelea kutoa huduma zake kwa umma kama kawaida ikiwa ni pamoja na kupokea maombi ya mikopo nafuu ya elimu mpaka tarehe 30 Novemba 2017. Vilevile Shirika la TSSF limesitisha kutoa barua za dhamana ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili kufanikisha usajili wa masomo kwa wanafunzi ambao ni wanufaika wa Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF ili waingie darasani na kuhudhuria mihadhara ya kitaaluma katika kipindi cha mwaka wa masomo 2017/2018 . TSSF imefanya hivyo ili kupata nafasi ya kushughulikia sintofahamu zilizojitokeza kati ya TSSF na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Aidha, Shirika linawaomba wale wote ambao wameomba mkopo nafuu wa elimu kutoka TSSF pamoja na wale waliokwisha kupata barua za dhamana na kufanya udahili vyuoni kuwa watulivu katika kipindi ambacho TSSF inapitia katika wakati mgumu mpaka pale taarifa nyingine itakapotolewa hapo baadae.
Imetolewa na:

Donati Primi Salla
MKURUGENZI MKUU
10 Novemba 2017
 
Nadhani ni vema kwa wanachuo wanaotafuta mikopo hiyo, wazazi au walezi wao wasikilize kilichosemwa na serikali kupitia waziri husika ili wasije wakajikuta wanatapeliwa na hao wanaodai wanatoa mikopo.
 
TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION

OFISI YA MKURUGENZI MKUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA

YAH: KAULI YA SHIRIKA LA TSSF DHIDI YA TAMKO LA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHIRIKA LA TSSF

Shirika la Tanzania Social Support Foundation linakiri kupokea tamko la Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia lilitolewa na Mhe. Profesa Joyce Ndalichako katika majibu yake kwa Mhe. Cosato David Chumi, Mbunge wa Mafinga Mjini, aliyeomba mwongozo kuhusu uhakika wa Shirika la TSSF katika kutoa mikopo nafuu ya elimu kwa wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu kufutia matangazo ya Shirika la TSSF yaliyotolewa hivi karibuni yakialika wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu kuomba mikopo hiyo. Tamko hilo linakwenda sanjari na taarifa kwa umma iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, leo Ijumaa Novemba 10, 2017. Kimsingi taarifa ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekiri kutokufahamu Shirika la TSSF na kuwataka wananchi kuupuza taarifa zinazotolewa na Shirika la TSSF.

Shirika la TSSF limeshtushwa na kusikitishwa kutokana na namna ambavyo juhudi zake za kuwasaidia watoto masikini wa kitanzania kupata elimu ya juu ambayo ni haki yao ya kimsingi na ya kikatiba zinavyominywa na kuzodolewa kila kona ya nchi hii kutokana na hisia hasi za kitapeli. Jambo hili linaikatisha tamaa sekta binafsi hapa nchini katika kusukuma gurudumu la maendeleo hasa katika kipindi hiki ambapo nchi yetu inapigana vita vya kiuchumi kama inavyofafanuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Shirika la TSSF limepokea tamko la Mhe. Waziri Prof. Joyce Ndalichako kwa niaba ya Serikali kama tamko ambalo limetolewa kwa kutahayari katika hali ya taharuki na tahamaki kutokana na kutokuwa na taarifa za kina kuhusu Shirika la TSSF kwa sababu mapema leo asubuhi, Ofisi Ndogo za Shirika la TSSF zilizopo Jijini Dar es Salaam zilipokea ugeni wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutoka Makao Makuu ya Wizara hiyo yaliyopo Mkoani Dodoma ambao uliongozwa na Ndugu Moshi J. Kabengwe, ambaye ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu na Mhe. Wakili Msomi Patricia M.K Maganga ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria, wote wakiwa ni watumishi waandamizi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Ugeni huo umekagua Cheti cha Usajili wa Shirika la TSSF, Katiba ya Shirika la TSSF, Andiko la Mradi wa Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF, Mkataba wa Shirika la TSSF na mfadhili wake ambao ndio chanzo cha fedha zinazotolewa kwa wanufaika wa Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF pamoja na nyaraka ambazo zinashuhudia uwepo wa Shirika la TSSF tangu Mwaka 2011 mpaka sasa. Ushahidi wa ugeni huo kufika ofisini kwetu, upo katika Kitabu cha Wageni Maalum wa Shirika la TSSF walichokisaini leo Ijumaa Novemba 10, 2017 ambapo baada ya kijiridhisha na taarifa hizo pamoja na uhai wa Shirika la TSSF, waliagiza kutolewa nakala kivuli za nyaraka zote muhimu za Shirika la TSSF ili waziwasilishe kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Aidha, ni jambo la kawaida kabisa kwa mtu kuhoji uhalali wa kitu fulani pale anapotilia shaka na kwamba; Shirika la TSSF linathibitisha uhalali wa kufanya shughuli zake kutokana na sababu zifuatazo;
1. Uhalali wa Kisheria
Shirika la TSSF limesajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Sura ya 56, ya Sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama ilivyofanyiwa marekebisho mnamo mwaka 2005 kupitia Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Amendment of Miscellaneous Written Laws) Na. 11 ya Mwaka 2005. Aliyelisajili Shirika la TSSF ni Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vilevile Cheti cha Usajili wa Shirika la TSSF kinatoa maelekezo kwamba, TSSF itafanya kazi katika mikoa yote ya Tanzania Bara, na itajiendesha kwa mujibu masharti ya Katiba yake. Namba ya Usajili wa Shirika la TSSF ni 00NGO/00006998. Cheti hiki ndicho kinachotoa uhalali wa Shirika la TSSF kufanya kazi zake katika umma wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hii ni kwa mujibu wa Kifungu cha 18 cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002 ambacho kinasema ;
“18(1) A certificate Of registration shall be a conclusive evidence of the authority to operate as specified in the constitution or in the certificate of registration
18(2) A registered Non-Governmental Organization shall, by virtue of registration under this Act, be a body corporate capable in its name of;
(a) Suing and be sued.
(b) Acquiring, purchasing or otherwise disposing of any property, movable or immovable;
(c) Entering into contract; and
(d) Doing or performing all acts which can be done by a body corporate and which are necessary for proper performance of its duties and functions.”
Malengo ya TSSF yaliyotajwa katika Ibara ya 13(iv) ya Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 yanasema kwamba;
“To promote the higher educational welfare and all matters related to educational welfare in Tanzania”
Vilevile Ibara inayofuatia ya 13(v) ya Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 inasema kwamba,
“To establish the educational plans and institutions that shall help the poorest people to get education in affordable ways”
Masharti hayo ya Katiba ya TSSF ambayo yametajwa hapo juu, yanalindwa na Kifungu cha 30(1) cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002;
“30. -(1) The constitution and other documents submitted by founder Governing members to the Registrar at the time of making application for registration documents or any subsequent constitution and documents submitted to the Registrar shall be the governing documents in respect of such Non-Governmental Organization.”
2. Utoaji wa Mikopo Nafuu ya Elimu kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu chini ya Mfuko wa Elimu ya Juu Shirika la TSSF
Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF unaendeshwa chini ya Katiba ya TSSF kama ibara zake zilivyoainishwa hapo na umelenga kuwasaidia wenye uhitaji. Swali ambalo limekuwa likiwatatiza watu wengi ni kwamba, Je, NGO inaweza kutoa mikopo nafuu? Jibu lake ni kwamba, kwa mujibu wa Sheria za Tanzania inawezekana. Sheria ya Kodi ya Kipato (The Income Tax Act, Cap.332 R.E 2008) inatambua shughuli zote za kipato zinazofanywa na mashirika yasiyo ya kiserikali kama biashara ya ukarimu “Charitable Business” ambayo inatozwa kodi. Hii ni kwa mujibu wa Kifungu cha 64 cha Sheria ya Kodi ya Kipato.
64.-(1) A charitable organisation or religious organisation shall be treated as conducting a business with respect to its functions referred to in subsection (8) as the "charitable business".
(2) For the purposes of calculating the income of a charitable organisation or religious organisation for any year of income from its charitable business –
(a) there shall be included, together with any other amounts required to be included under other provisions of this Act, all gifts and donations received by the organisation; and
(b) there shall be deducted, together with any other amounts deductible under other provisions of this Act –
(i) amounts applied in pursuit of the organisation or religious organisation’s functions referred to in subsection (8) by providing reasonable benefits to resident persons or, where the expenditure on the benefits has a source in the United Republic, persons resident anywhere; and
(ii) 25 percent of the organisation or religious organisation's income from its charitable business (calculated without any deduction under subparagraph (i) and any investments.
(3) This subsection shall apply to any amount applied by a charitable organisation or religious organisation during a year of income other than in the manner referred to in subsection (2)(b)(i) or as a reasonable payment to a person for assets or services rendered to the organisation by the person.
(4) Where subsection (3) applies –
(a) the organisation or religious organisation shall be treated as conducting a business other than its charitable business; and
(b) the sum of amounts to which that subsection applies for the year of income less any income of the organisation or religious organisation from a business other than its charitable business or business referred to in paragraph (a) shall be treated as income of the organisation or religious organisation that has a source in the United Republic derived during the year of income from the business referred to in paragraph (a).
(5) Notwithstanding the provision of section 19, a charitable organisation or religious organisation -
(a) may not set any loss from its charitable business against its income from any other business; and;
(b) may only set losses from any other business against income from any such other business.
(6) Where a charitable organisation or religious organisation ceases to be a charitable organisation or religious organisation during a year of income –
(a) the organisation or religious organisation shall be treated as conducting a business other than its previous charitable business; and
(b) there shall be included in calculating the organisation or religious organisation’s income for the year of inccome from the business referred to in paragraph (a) any amounts claimed as a deduction under subsection (2)(b)(ii) during that year of income or any prior year of income during which the organisation was a charitable organisation or religious organisation.
(7) Where a charitable organisation or religious organisation wishes to save funds for a project that is detailed in material particulars and which the organisation is committed to, the organisation or religious organisation may apply to the Commissioner and the Commissioner may approve the saving as meeting the requirements of subsection (2)(b)(i):
(8) For the purposes of this section, “charitable organisation” means a resident entity of a public character that satisfies the following conditions:
(a) the entity was established and functions solely as an organisation for:
(i) the relief of poverty or distress of the public;
(ii) the advancement of education; or
(iii) the provision of general public health, education, water or road construction or maintenance; and;
(b) the entity has been issued with a ruling by the Commissioner under section 131 currently in force stating that it is a charitable organisation or religious organisation.
Kifungu hicho kinasomwa pamoja na Tafsiri ya maana ya NGO kama ilivyotafsiriwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 11 ya Mwaka 2005 ambacho kinatafsiri NGO kama taasisi ambayo inaweza kufanya shughuli za kipato bila ya kugawana faida isipokuwa kuelekeza faida hiyo katika shughuli zinazonufaisha umma.
Kwa mantiki hiyo, mikopo nafuu ya elimu ambayo inatolewa na TSSF ni halali.
3. Uhalali wa TSSF kutoza Gharama za Huduma zake
Gharama ambazo zinatozwa kwa minajili ya upatikaji wa huduma za TSSF ni sehemu ya kuinua mfuko wa Shirika la TSSF ili liweze kujiendesha, kuwa endelevu na kutoa huduma kwa umma. Gharama hizo zinatozwa kwa mujibu wa Ibara ya 10(viii) ya Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 ambayo inasema;
“To solicit and receive fund within and outside Tanzania, receive grants in cash or kind, and charge an appropriate fee in provision of services with a view to enhance development, expansion, and/or rehabilitation of the Organization”
Ibara hii inasomwa pamoja na Kifungu cha 32 cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002;
“32. Non Governmental Organization registered under this Act shall be entitled to engage in legally acceptable fund raising activities.”
4. Majibu ya TSSF Dhidi ya Tamko la Mhe. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako
4.1 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutokutambua Taasisi ya TSSF
Shirika la TSSF halina mrejesho wa kusema dhidi ya tamko la Mhe. Waziri Ndalichako kuhusu yeye na wizara yake kutoitambua TSSF. Japokuwa TSSF imekwisha fanya jitihada mbalimbali za kujitambulisha kwa wizara hiyo bila ya kupata mrejesho wowote. Mnamo tarehe 01 Agosti 2017 saa 12:18 jioni, TSSF ilituma barua yake kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia email zifuatazo; ps@moe.go.tz na
info@moe.go.tz ambapo barua hiyo ya TSSF ilikuwa ni ya tarehe 31 Julai 2017 yenye Kumb. Na: TSSF/DG/16/2017/84/1 ambayo ilitumwa kwa wizara hiyo pamoja na Cheti cha Usajili wa Shirika la TSSF na Tangazo la Mwaliko wa Maombi ya Ufadhili wa Masomo ya elimu ya juu. Licha ya barua hiyo ya TSSF kuisihi Serikali kuchagiza mahusiano ya kikazi baina yake na TSSF lakini barua hiyo haikujibiwa mpaka tarehe ya kutolewa kwa taarifa hii. Kutokana na ukimya wa wizara ya elimu, Shirika la TSSF lisingeweza kuacha kutekeleza shughuli zake kwa sababu Shirika la TSSF haliwajibiki moja kwa moja kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia bali linawajika kwa Msajili wa NGOs kwa kuwasilisha taarifa zake za kazi za kila mwaka na kulipa ada zake kwa Msajili wa NGOs pamoja na kujaza NGOA Fomu Na. 10 ambayo hujazwa kwa mujibu wa Kifungu cha 29 na 38 cha Sheria ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002.
4.2 Kuhusu Mhe. Ndalichako kutokuwa na Taarifa ya Mkutano wa TSSF na Taasisi za Elimu ya Juu wa tarehe 30 Novemba 2017 pamoja na yeye kutokuwa na Taarifa za Kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano huo.
Ni kweli kwamba, TSSF imepanga kuwa na mkutano na taasisi za elimu ya juu mnamo tarehe 30 Novemba 2017. Hata hivyo, katika matamshi ya TSSF kuhusu Mhe. Ndalichako kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano huo, TSSF ilisema kwamba Mhe. Ndalichako “anatarajiwa” na siyo “atakuwa” Mgeni Rasmi wa Mkutano huo.
5. Taarifa ya Wizara kwa Umma kuhusu TSSF
5.1 Kuhusu Taarifa za TSSF kutokuwa za Kweli
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia haiwezi kukanusha au kuthibitisha taarifa za TSSF kwa sababu, chanzo cha taarifa za TSSF ni TSSF yenyewe na siyo Wizara. Vilevile kwa Mujibu wa Katiba ya TSSF toleo la Mwaka 2014 Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia siyo Msemaji wa TSSF. Kwa hiyo mwenye mamlaka ya kuthibitisha au kukanusha taarifa za TSSF ni TSSF yenyewe na siyo mtu mwingine awaye yeyote.
5.2 Kuhusu Mkurugenzi Mkuu wa TSSF kutakiwa kufika katika Makao Makuu ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia akiwa na Nyaraka zote za TSSF
Mkurugenzi Mkuu wa TSSF amepkea wito huo kwa mikono miwili japokuwa hajapokea barua ya wito wa kuitwa na wizara hiyo lakini atawasili kwenye Ofisi ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Siku ya Jumanne ya terehe 14 Novemba 2017, Saa tatu kamili asubuhi akiwa na nyaraka zote muhimu kama alivyoagizwa.
6. Msimamo wa TSSF dhidi ya Huduma zake kwa Umma
Shirika la TSSF litaendelea kutoa huduma zake kwa umma kama kawaida ikiwa ni pamoja na kupokea maombi ya mikopo nafuu ya elimu mpaka tarehe 30 Novemba 2017. Vilevile Shirika la TSSF limesitisha kutoa barua za dhamana ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili kufanikisha usajili wa masomo kwa wanafunzi ambao ni wanufaika wa Mfuko wa Elimu ya Juu wa Shirika la TSSF ili waingie darasani na kuhudhuria mihadhara ya kitaaluma katika kipindi cha mwaka wa masomo 2017/2018 . TSSF imefanya hivyo ili kupata nafasi ya kushughulikia sintofahamu zilizojitokeza kati ya TSSF na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Aidha, Shirika linawaomba wale wote ambao wameomba mkopo nafuu wa elimu kutoka TSSF pamoja na wale waliokwisha kupata barua za dhamana na kufanya udahili vyuoni kuwa watulivu katika kipindi ambacho TSSF inapitia katika wakati mgumu mpaka pale taarifa nyingine itakapotolewa hapo baadae.
Imetolewa na:

Donati Primi Salla
MKURUGENZI MKUU
10 Novemba 2017
Mikopo iliyotolewa hadi sasa kwa wanafunzi ni shilingi ngapi? Na je hilo shirika laweza chapisha humu majina ya wanafunzi wote iliowapa mikopo na kiasi walichowapa na wanasoma au walikuwa wakisoma chuo gani? Mwaga data ili musionekane matapeli
 
Kiukweli kwa jinsi ofisi zao zilivyo ni kichumba (kiframe) kidogo sana tena cha slope fomu za waombaji zinawekwa chini sakafuni, kibaya zaidi ni chumba kimoja tu, hamna hata feni wafanyakazi ni wawili tu. kweli wanaweza kutoa hao mikopo ya bilioni?, hata sioni kama wanauwezo wa kufuatilia madeni kama ikitokea wamekopesha wanafunzi.
Aliyeko Mkoani Mtwara naomba atupe hali ya ofisi zao za makao makuu maana za huku Dar es salaam zipo uchochoroni kwenye machimbo ya kokoto ya Jkt.
 
ilo shirika lilitangaza kuandaa mkutano na katka mkutano huo walidai mgeni rasmi atakua ni wazir wa elimu mh. Joyce ndalichako! sasa inakuaje wazir wa elimu hana taarifa zozte kuhusu mkutano huo na wala wizara yake hailatambui ilo shirika???? Nawaza kwa sauti.
video inajieleza hapo
NB: wanafunzi, we should think twice.
 

Attachments

  • VID-20171111-WA0021.mp4
    6.2 MB · Views: 52
Unajaribu wabeba hao jamaa ila so far sioni kama wanabebeka. Wakubebeka wangemjibu waziri kwa kuweka proof of where their funds originates and number of students they are going to sponsor. I repeat, kuna kila dalili za hao jamaa kujiendesha kwa registration fee.
Absolutely, tapeli hawa, kabisa kabisa, enzi zile wangepiga pesa, sasa tumestuka na watu kama hawa, wasimamishwe kabla ya kutuletea mabalaa ya madeni na utapeli..
 
PPP hakifanywi na NGO. Kisheria NGO hairuhusiwi kufanya biashara kwa faida na hazilipi kodi!.Wafungue kampuni.
P

''Nonprofit social fund'' Paschal ebu kasome kidogo na kitu hiki kikiwa kigumu kwako jifunze kwa hawa jamaa wanaitwa root capital, wabongo wengi wetu ni bookish na rigid dunia ya sasa inataka flexibility na ubunifu. Paskal hujawahi waambia Root capital waSIFANYE BIASHARA sababu ni NGO na hii sababu wanaongea kidhungu na kutoka udhunguni wamatumbi wenzenu wakikopy ili wasogee hapo ndio mnaonyesha roho zenu halisi.

Nina imani ukisoma kidogo utakuja kufuta haya maandiko yako, watu weusi hampendani na mna mroho mbaya baina yenu, wote tushuke ndio sera mbadala ya awamu hii.
 
Back
Top Bottom