Tamko la pamoja la viongozi wa dini kuhusu mgomo wa madaktari leo tarehe 07/07/2012, travertine hote

Serikali Sikivu imewasikia na UPEMBUZI YAKINIFU utafanyika juu ya haya madai yenu kwani mpaka sasa hivi MCHAKATO unaendelea na isitoshe serikali ilikuwa na mpango KABAMBE wa kufanya hivyo.
 
hayo wanayotaka yote rais ameshayajibu...
amesema
  • anaetaka arudi lakini serikali itawahudimia kwa uwezo uliopo na kwamba madai yao mengine yatashughulikiwa kwa kadri nguvu ya serikali itavokuwa
  • ama kuhusu anayehisi hawezi kufanya kazi basi bora aache kazi ..na kutafuta kazi sehemu nyengine ambayo anaona maslahi ni makubwa,lakini kwa sasa serikali haina uwezo wa wanayotaka
  • hakuna aliefukuzwa ila kuna ambao hawaripoti kazini hivyo wamejifukuzisha wenywewe. hakuna mwajiri ambaye atakubali kulipa mtu ambaye hafuki kazini
  • ima kuhusu ulimboka amesema wazi anaomba uchunguzi ufanyike haraka...na uwe wa wazi..hili pia waziri mkuu ame hakikisha ndani bunge kwamba uchunguzi utafanyika ili9 ukweli ujilikane..
  • kuihusu kumlinda ulimboka hili sidhani kama ni vyema kwa serikali wataweza kwani madaktari walikataa na tangu mwanzo hawaku ishirikisha serikali na wameendelea kumficha amabapo utazorotesha kupata ukweli wa kisa chenyewe.
hawa waliokutana ilikuwa pati ya soda mambo haya yote rias amesha yasema kwa ufasaha kabisa...
ilitakiwa hawa wawashauri madaktari warudi kazini kuokoaq maisha ya watanzania na pia waendelee kuzungumza na serikali kuhusu madai yao sasa wakutane na rais wafanye nini ? unataka rais afanye nini? atawaongezea hio mishahara ? wambieni ukweli wana nchi hawapo pamoja na madaktari kwa kitendo chao walicho kifanya
mgomo wao mara hii ume flop kwani haukuwa na sababu ila kuwakomoa maskini wa nchi hii ambao hawana uwezo wa kwenda hospital za binafsi au hospitali za hao madaktari kama Tumaini

katika hali tuliyonayo, nani kashinda na nani ameshindwa? Naona kama wananchi ndio wanaumia.
 
There is no moral equivalency between the failures of a corrupt ruling elite and the actions of the striking doctors. NONE whatsoever!

Im trying to digest! Would you put it in more clear terms? I mean, is there no connection between the two?
 
hayo wanayotaka yote rais ameshayajibu...
amesema
  • anaetaka arudi lakini serikali itawahudimia kwa uwezo uliopo na kwamba madai yao mengine yatashughulikiwa kwa kadri nguvu ya serikali itavokuwa
  • ama kuhusu anayehisi hawezi kufanya kazi basi bora aache kazi ..na kutafuta kazi sehemu nyengine ambayo anaona maslahi ni makubwa,lakini kwa sasa serikali haina uwezo wa wanayotaka
  • hakuna aliefukuzwa ila kuna ambao hawaripoti kazini hivyo wamejifukuzisha wenywewe. hakuna mwajiri ambaye atakubali kulipa mtu ambaye hafuki kazini
  • ima kuhusu ulimboka amesema wazi anaomba uchunguzi ufanyike haraka...na uwe wa wazi..hili pia waziri mkuu ame hakikisha ndani bunge kwamba uchunguzi utafanyika ili9 ukweli ujilikane..
  • kuihusu kumlinda ulimboka hili sidhani kama ni vyema kwa serikali wataweza kwani madaktari walikataa na tangu mwanzo hawaku ishirikisha serikali na wameendelea kumficha amabapo utazorotesha kupata ukweli wa kisa chenyewe.
hawa waliokutana ilikuwa pati ya soda mambo haya yote rias amesha yasema kwa ufasaha kabisa...
ilitakiwa hawa wawashauri madaktari warudi kazini kuokoaq maisha ya watanzania na pia waendelee kuzungumza na serikali kuhusu madai yao sasa wakutane na rais wafanye nini ? unataka rais afanye nini? atawaongezea hio mishahara ? wambieni ukweli wana nchi hawapo pamoja na madaktari kwa kitendo chao walicho kifanya
mgomo wao mara hii ume flop kwani haukuwa na sababu ila kuwakomoa maskini wa nchi hii ambao hawana uwezo wa kwenda hospital za binafsi au hospitali za hao madaktari kama Tumaini

Ndugu, dhamana aliyopewa JK ni kuwajali watanzania wote, madaktari wakiwemo. Unahitaji akili fupi ukiwa raisi wa nchi kutunishiana misuli na madaktari wakati mamia ya watu wanateketea! Afadhali uwaambie kaeni pembeni kisha ulete wengne kama unao! Lakini hapa ni ubabaishaji mtupu, mara asiyefanya kazi tunamfukuza, mara tunamfuta usajili, mara mahakamani nk nk. Ni kukosa mwelekeo. Kwa vyovyote vile gharama ya kuwafukuza itakuwa kubwa sana!
 
Propaganda at its maximum hao mashehe wenyewe na huyu bwana toka dini ya kikristo mmh
 
Macos dhamana aliyopewa JK ni kuwajali watanzania wote, madaktari wakiwemo. Unahitaji akili fupi ukiwa raisi wa nchi kutunishiana misuli na madaktari wakati mamia ya watu wanateketea! Afadhali uwaambie kaeni pembeni kisha ulete wengne kama unao! Lakini hapa ni ubabaishaji mtupu, mara asiyefanya kazi tunamfukuza, mara tunamfuta usajili, mara mahakamani nk nk. Ni kukosa mwelekeo. Kwa vyovyote vile gharama ya kuwafukuza itakuwa kubwa sana!
 
Last edited by a moderator:
TAMKO LA PAMOJA LA VIONGOZI WA DINI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI LEO TAREHE 07/07/2012, TRAVERTINE HOTEL, DAR ES SALAAM.
(Viongozi hawa walitoa tamko baada ya kukaa na madaktari, wanaharakati na watu wa taasisi za haki za binadamu...)

1. TUNAIOMBA SERIKALI IFUTE KESI ILIYOKO MAHAKAMANI
2. TUNAIOMBA SERIKALI IWAREJESHE MADAKTARI WOTE WALIOFUKUZWA KAZI
3. TUNAMUOMBA Mhe. RAIS AKUBALI KUTKUTANA NA VIONGOZI WA DINI NA MADAKTARI ILI KUMALIZA MVUTANO HUU. MADAKTARI WAKO TAYARI.
4. TUNAOMUOMBA Mhe. RAIS AUNDE TUME HURU ITAKAYOCHUNGUZA SAKATA ZIMA LA WALIOHUSIKA NA UTEKWAJI, UDHALILISHAJI NA UTESWAJI WA DK. ULIMBOKA STEPHEN. TUME HIIYO TUNAOMBA ISHIRIKISHE VIONGOZI WA DINI, SERIKALI, WANASHERIA MADAKTARI NA TAASISI ZA HAKI ZA BINADAMU.
5.TUNAIOMBA SERIKALI KUTOA ULINZI WA UHAI WA DK. ULIMBOKA STEPHEN NA MADAKTARI WENGINE.

Imesainiwa na Sheik. Said Mwaipopo (M/Kiti Baraza la Habari La kiislamu Tanzania) na Rev. Lawrence Mnzava kutoka E.A.G.T-MABIBO)


Sitakaa kuamini mpaka nipate uthibitisho wa habari hii, kwa nnavyowajua napata ukakasi kuiamni. kama ni kweli basi hiyo ni hatua kubwa sana pamoja na kuwa wamechelewa bado nawapongeza sana, na kwa tamko lao la kwanza walikuwa wameteleza tu na sio kuanguka,
 
Tuache kuandika haya majina kimchezo mchezo, 'MAASKOFU'! Hao MAASKOFU ni wapi mbona nimemuona mmja tena uchwara! Maaskofu halali wasio uchwara ni wakatoliki, anglikani, na k.k.t basi. Hao wengine ni uchwara!. Anaamka asubui anajiita askofu!
 
ndugu, dhamana aliyopewa jk ni kuwajali watanzania wote, madaktari wakiwemo. Unahitaji akili fupi ukiwa raisi wa nchi kutunishiana misuli na madaktari wakati mamia ya watu wanateketea! Afadhali uwaambie kaeni pembeni kisha ulete wengne kama unao! Lakini hapa ni ubabaishaji mtupu, mara asiyefanya kazi tunamfukuza, mara tunamfuta usajili, mara mahakamani nk nk. Ni kukosa mwelekeo. Kwa vyovyote vile gharama ya kuwafukuza itakuwa kubwa sana!

kweli kutunisha misuli wataomia ni raia masikini ..lakini nani katunisha misuli? Tuwe wakweli jamani tusifanye ushabiki kwenye maisha ya watu..
Madaktari ndio walio tunisha misuli
hivi ukiulizwa kama rais amepotoshwa...sasa yapi ambayo rais hakuyataja kama madai ya madaktari wetu?
Ni rahisi sana madaktari wanajua namna ya kutumia vyombo vya habari....kwa nini wasinde kesho wakatoa press release ikachapishwa kwamba tumeskia rais lakini sisi madai yetu sio yale bali ni haya hapa...wananchi wataelewa na rais ataelewa....atawaita kikwete bwana msikivu na mstahamilivu sana tena sana hata ikawa mnamsema vipi..lakini ni msikivu..
Hivyo tuwashauri madaktari kesho watoe press release ikanushe yake aliyosema rais na kwamba alipotoshwa na wasaidizi wake na sisi madaktari tunadai haya ..na yalio timizwa ni haya na ambayo bado ni yale
hii ndio mbinu ya mazungumzo lakini unaposema tu rais kapotosha bila ya ushahidi basi hio ni mbinu ya kutaka kuwa babaisha raia..ni mbinu ya kulaumu bila ya kutoa unachotaka
bado madaktari wana wajibu wa kurudi kazini ....
Naamini wakirudi kazini jk....huyu bwana ni wa pekeee wakitaka wasitake..atawasikiliza
doctors please rudini kazini....mkiendelea hivi mnaji dharaulisha ...daktari ni mtu anaeheshimika sana lakini kwa namna hii mtaonekana wa ajabu tu.
Madaai yenu daini , wekeni presha kwa serikali, kuna namna nyingi za kudai madai yenu..mathalani mnaweza kusema ni marufuku kuwashughulika wanasiasa ...mpaka madai halali yawetekelezwe.
 
hahaaaa nimefurahi kusikia kwamba jk anadanganywa na amedanganyika,,,,tehetee
ila nafurahi zaidi wananchi hawadanganyiki lol
hapa lazima akili kubwa ifanye kazi ya ziada

anadanganywa au anajidanganya?
 
TAMKO LA PAMOJA LA VIONGOZI WA DINI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI LEO TAREHE 07/07/2012, TRAVERTINE HOTEL, DAR ES SALAAM.
(Viongozi hawa walitoa tamko baada ya kukaa na madaktari, wanaharakati na watu wa taasisi za haki za binadamu...)

1. TUNAIOMBA SERIKALI IFUTE KESI ILIYOKO MAHAKAMANI
2. TUNAIOMBA SERIKALI IWAREJESHE MADAKTARI WOTE WALIOFUKUZWA KAZI
3. TUNAMUOMBA Mhe. RAIS AKUBALI KUTKUTANA NA VIONGOZI WA DINI NA MADAKTARI ILI KUMALIZA MVUTANO HUU. MADAKTARI WAKO TAYARI.
4. TUNAOMUOMBA Mhe. RAIS AUNDE TUME HURU ITAKAYOCHUNGUZA SAKATA ZIMA LA WALIOHUSIKA NA UTEKWAJI, UDHALILISHAJI NA UTESWAJI WA DK. ULIMBOKA STEPHEN. TUME HIIYO TUNAOMBA ISHIRIKISHE VIONGOZI WA DINI, SERIKALI, WANASHERIA MADAKTARI NA TAASISI ZA HAKI ZA BINADAMU.
5.TUNAIOMBA SERIKALI KUTOA ULINZI WA UHAI WA DK. ULIMBOKA STEPHEN NA MADAKTARI WENGINE.

Imesainiwa na Sheik. Said Mwaipopo (M/Kiti Baraza la Habari La kiislamu Tanzania) na Rev. Lawrence Mnzava kutoka E.A.G.T-MABIBO)

Yeah! For sure, kiongozi yeyote wa dini yoyote ile almuradi inamwamini Mwenyezi Mungu, aliyeshiriki/anayeunga mkono katika taarifa hii ameitendea haki jamii ya Watanzania. Worthy reading, worthy listening. Nimewasikiliza Itv.

Kitu kimoja tu, tuendelee kulisukuma bunge letu lijadili hili suala. Haliko mahakama yoyote nchi hii, maana Serikali ilishtaki MAT, chama ambacho hakihusiki na mgomo, mgomo unaandaliwa na kusimamiwa na Jumuiya ya Madaktari, si chama chao cha kitaaluma, MAT. Unless serikali itoe kauli inayoeleweka katika hili.

Lakini pia bunge linawajibu wa kuweka wazi na kuijadili Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii, ambayo ilitumia fedha za walipa kodi kukutana na pande zote mbili katika mgogoro huu, madaktari na serikali.

Ikakodishiwa hata na ndege kuwahi Dodoma ili taarifa yao ijadiliwe katika Kamati ya Uongozi ya Bunge, lakini mpaka leo Makinda na 'wachezaji' wake wa akiba akina nani...Ndugai, Mabumba, Mhagama, hawataki kuukubali ukweli huu wa bunge kuwajibika in one of the very crucial issues kwa maendeleo na hatma ya watu wa nchi hii. Maboresho katika sekta ya afya.
 
nasikia wale madaktari walio kwenye mafunzo leo wametibu wagonjwa kwenye viwanja vya jangwani..

Kumbe umesikia nilidhani umeona...Jangwani saizi kuna Wajerumani wanapiga kazi ya kujenga kituo cha mabasi yaendayo kasi.
 
kweli kutunisha misuli wataomia ni raia masikini ..lakini nani katunisha misuli? Tuwe wakweli jamani tusifanye ushabiki kwenye maisha ya watu..
Madaktari ndio walio tunisha misuli
hivi ukiulizwa kama rais amepotoshwa...sasa yapi ambayo rais hakuyataja kama madai ya madaktari wetu?
Ni rahisi sana madaktari wanajua namna ya kutumia vyombo vya habari....kwa nini wasinde kesho wakatoa press release ikachapishwa kwamba tumeskia rais lakini sisi madai yetu sio yale bali ni haya hapa...wananchi wataelewa na rais ataelewa....atawaita kikwete bwana msikivu na mstahamilivu sana tena sana hata ikawa mnamsema vipi..lakini ni msikivu..
Hivyo tuwashauri madaktari kesho watoe press release ikanushe yake aliyosema rais na kwamba alipotoshwa na wasaidizi wake na sisi madaktari tunadai haya ..na yalio timizwa ni haya na ambayo bado ni yale
hii ndio mbinu ya mazungumzo lakini unaposema tu rais kapotosha bila ya ushahidi basi hio ni mbinu ya kutaka kuwa babaisha raia..ni mbinu ya kulaumu bila ya kutoa unachotaka
bado madaktari wana wajibu wa kurudi kazini ....
Naamini wakirudi kazini jk....huyu bwana ni wa pekeee wakitaka wasitake..atawasikiliza
doctors please rudini kazini....mkiendelea hivi mnaji dharaulisha ...daktari ni mtu anaeheshimika sana lakini kwa namna hii mtaonekana wa ajabu tu.
Madaai yenu daini , wekeni presha kwa serikali, kuna namna nyingi za kudai madai yenu..mathalani mnaweza kusema ni marufuku kuwashughulika wanasiasa ...mpaka madai halali yawetekelezwe.


Kabla hata mambo ya kupotoshwa hayajaanza tayari tatizo lilionekana. Serikali iliamua kwa makusudi kutokufanyia kazi

madai ya madaktari. Ni jibu la kitoto kabisa kwa serikali kusema hawana pesa kwa ajili ya kushughulikia madai ya mada

ktari, yaani mishahara, vifaa bora na mazingira bora ya kazi. Kama ukikataa kushughulikia madai yao maana yake

unakiri kushindwa kujali afya za watanzania waliokupa dhamana. Haiwezekani wao walete madai, very genuine halafu

serikali inaanza kuhisi Chadema wanahusika. Huu ni utoto wa akili. Mwekezaji anakuja hana hata senti tano but within

a month tayari ameshapewa na ardhi inayotumika kama dhamana bank, leo hii miaka zaidi ya saba madai ya madaktari

bado. Hela za kufanya sherehe za miaka hamsini kwa kila wizara na idara za serikali zipo, ila za madaktari hakuna!

Hela za kununua mashangingi zipo, ila za madaktari hakuna! Inawezekana kweli madaktari hawakupaswa kugoma but

sioni ni kwanini serikali (na particularly JK) wasilaumiwe kwa hili!
 
KIkwete harudi tena kuzungumza nao ,kwani alishawapa term wao ndio walivunja na kuingia kwenye mgomo ,sasa arudi kufanya kitu gani ,anaeona mshahara mdogo aombe kuacha kazi ,very simple !

Na nyie Mashekhe ubwabwa wacheni kuingilia yasio wahusu ,mbona mlipodai mahakama za Kadhi hatukuwaona madokta na walokole kuwasaidia zaidi ya kuwadidimiza na kuwatilia mguu ,mambo yenu yasitekelezwe ,leo walokole weshakuwa wazuri ?? Wacheni una..!
Kama hutakuwa na makamasi kwenye ubongo wako basi una mafunza yale makubwa yaani puuzi kweli wewe kwani hao ma dr madai yao ni mshahara tuu?
 
Back
Top Bottom