Chadema inaelekea kusambaratika. It's time tu
Say nooooooooooo to ugaidi na mauaji na mateso dhidi ya aria wema
Kwann chadema wanapenda kuzungumzia mambo yaliyopo mahakamani...ni kujaribu kupreempty mahakama iwapendelee kwenye maamuzi..
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm
Gaidi mtambue kwa ndevu nyingi, kufunga majini na kusoma minyoo!!