Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Chadema inaelekea kusambaratika. It's time tu



kwa staili hii, fikra zako zimekengeuka, tena vibaya mno. Wahusika wakuu wameelewa na wanajua viatu walivovaa vinavowabana kwa taarifa hii.

Hakuna muhusika mkuu yeyote aletajwa hapo juu, atayechukulia jambo hili kwa uzito uliochukulia wewe.

Ni suala la mda tu. Mtatafuta kwa kuficha sura zenu
 
Upuuzi unao wewe tamko ni uhalisia wa suala lenyewe. Kwakua baba yako ni Muchemba ulitaka cdm ikae kimya? Wewe ni non sense. Suala hili ni suala la kitaifa ndio maana mlipomuangamiza ulimboka mkakaa kimya kwakua mlijua mmefanya nini, na leo kibanda na sasa mnaendeleza matukio ya kupakaziana kesi mnataka watu wake kimya????? Ipo siku majini na mashetaji yenu yote yatakili kuwa yupo Mungu na kweli itashinda. ''Itafuteni sana kweli nayo kweli itawawekeni huru''
 

Pasco ukianbalia yema ile video inaonyesha kuwa hata aliyekuwa anarekofiwa alijua dhairi kuwa anarekofiwa. Kwahiyo suala la authenticity si la muhimu bali tu yawezekana kwamba final product ikawa tofauti na iliyorekodiwa. Je yawezekana ni makundi ndani ya hivi vyama katika mcvhezo wa kujitanabaisha kuelekea 2015? Au umeshafikiria pia kwamba CHADEMA wameiingiza CCM katika mtego huu bila kujijua?
 

hata nami niliinotice ile kitu, he should just SHUT UP kwani hata ile respect kidogo aliyobaki nayo inayeyuka; namimi bwana as if nimesahau kuwa mshipa wa haya hana huyu kiumbe.
 
Mohamedi Mtoi
Nadhani mnajitahidi sana kutafuta mchawi; kwanza mlidai video ni fake; baada ya kupata uhalisia wa video mnataka kuipaka matope serikali; kinachomuweka kitanzini Lwakatare ni maneno/kauli yake mwenyewe yeye alikuwa akitoa maelekezo namna ya kufanya uharamia; sasa serikali inahusika vipi? Nadhani umesahau kitu hiki “law abide citizen” raia mmoja anayeitakia mema nchi hii ndiye aliyemnasa Lwakatare na ndiye aliyetoa taarifa kwa vyombo husika; Lwakatare ni mhalifu sioni unachotetea.
Chama
 
Last edited by a moderator:
 
lukolo na chadema kama watashinda hii kesi huenda huu utakuwa mwisho wa movie za ccm kupoteza malengo ya wtz kujadili mambo ya msingi.
 
Kama kuna kosa kubwa CCM wanafanya ni kupuuzia nguvu na uwezo wa Chadema na mwamko wa wananchi ulipofikia.wanafikiri ni rahisi kumanipulate watu kwa njia nyepesi kama zamani!huu ni mtego mbaya sana kwao.hawajaamka usingizini na kugundua Tanzania ya leo sio ile ya Nyerere na Mwinyi!hii inatokana na kufanya kazi kwa mazoea.inawagharimu na itawagharimu sana.no way to help them, hata siku Goliath alipokufa alifanya negligence iliyopitiliza.alipoona ametumiwa "katoto" aliamua kuvua kofia kabisa kwa dharau,na jiwe la Daudi likatua pale pale kwenye paji la uso!
 
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm



mtatoka tu mapangoni mlikojificha. Endelea kubeza.
 
Wewe huionee huruma cdm kwa lipi? Lizi 1 atakupaje posho kama utaionea huruma chadema? Kumbe angetoa mahakamani ushahisi si ungeanza na baba yako mdogo mwigulula aliyeanza kulalama kule mjengoni? Kumbe akili yako haina akili,alafu unaonekana unasahau sahau kirahisi rahisi sana
 
lukolo na chadema kama watashinda hii kesi huenda huu utakuwa mwisho wa movie za ccm kupoteza malengo ya wtz kujadili mambo ya msingi.
Nasikia bado wana nyingine ambayo wameiandaa ya jaribio la CHADEMA kumpindua Kikwete. Na wanasema na yenyewe wataicheza mwezi wa kumi na mbili mwaka huu. Ni katika harakati ya kutafuta sababu ya kukifuta CHADEMA. Maana Tendwa ni mtu wao, ataibuka tu na kutangaza kwamba amekifuta chadema kwa kuwa ni chama cha kigaidi or kinafanya mipango ya kuipindua serikali.
 
Ni jana tu niliweka uzi, Kati ya Chadema, CCM na Bunge, nani ameingilia uhuru wa mahakama. Kwa haya matamko ya chadema ni wazi kuwa wao ndiyo wanaingilia uhuru wa mahakama na wanafanya hivyo kwa makusudi ili kutafuta huruma za wananchi na kutaka ccm wareact
,
 
ni kweli kabisa ndugu kama ccm haitaondolewa mapema madarakani,taifa linaangamia mchana kweupe halafu wenzetu wanachukua uraia wa nchi nyingine wanakopeleka mali za umma,matendo ya ccm hata shetani atawakana ndg,tuombe Mungu na tuungane kuiondoa ccm kwa njia yoyote iwayo.
 
hata huyo LWaka ni haohao TISS, kinachofanyika hapa ni counter-punching tu

CHADEMA naona wamebana kende za Lwaka huku wanamkumbatia, akiinama-akiinuka ngoma iko vilevile tight

Hii kitu imeshakaa vibaya kwa system, maana hata Lwaka alikua akitegemea kutimiza wajibu basi kazi inakua ngumu sana

Naamini (sikua naamini hivyo hapo awali) kwamba kumtosa Lwaka kungeidhoofisha zaidi hoja ya chadema kwamba TISS ndio playmakers na Zitto ni weakest link

He is a smart boy, atabaki chadema lakini skeletons zote zitakua zimeisha by them time anakabidhiwa madaraka ya maana
 
Kumekucha...Mwili mzima umetetemeka...!


Naaaam mkuu. Kumekucha na makucha yake. Naamini km nipo kwenye chama makini sana, CHADEMA. Nitakuwa mtu wa mwisho kuondoa imani kwa chama hiki.
 
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm

shukuru mungu uko mbali. Ungekuwa karibu ningekutwanga CHUMA, Nilikuwa natoa bastola kumbe niko kwenye kioo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…