kanisa katoliki lina watu wenye akili sana....sio wale wenzetu wanaogomea sensa
Hivi wamemaliza yale matatizo ya madawa ya kulevya, ushoga na kulaw..it watoto wa seminari
kanisa katoliki lina watu wenye akili sana....sio wale wenzetu wanaogomea sensa
Ndo manake mkuu!!!!
Kama huna digree huwezi kuwa kiongozi wa kanisa katoliki, hakika huku ndo kuna vichwa!
Pole sana! Hoja kuhusu amani, usalama, upendo na kuheshimiana kwa watanzania wote bila kujali itikadi ya mtu si kitu kwako? Kwa hiyo ndiyo kusema Zanzibar inajitegemea kwa mauaji na kuchoma makanisa? Bado kuna safari ndefu!!!!Tamko la maaskofu halivuki MAJI, znz ni nchi inayojitegemea na haiendeshwi na kanisa.
Kwa hiyo wawaache muendelee kuchoma makanisa?Maaskofu hawana kauli kwa nchi yenye waislamu 99% hii kauli iishie Tanganyika.
Jana nikiwa kwenye ibada St. Peters church alikuja Padre mgeni akijatambulisha akasema yeye ni mwanafunzi wa mwaka wa tano chuo kikuu cha Ardhi akimalizia degree yake ya Architecture. Yaani hawa mapadre nawa admire sana.
Nalipenda sana kanisa katoliki wengine wapige porojo sisi twasonga mbele.
Kwa hiyo wawaache muendelee kuchoma makanisa?
Nimeishi kitume na watawa hawa kwa miaka mingi....nina msingi mzuri wa kitawa uliojengwa vema na mzazi wangu tangu utotoni.....matamko kama haya huwa si ya kubeza.....ukityumia busara za kawaida kabisa unaona kuna ukweli na wahusika wanapaswa kuchukua hatua za haraka sana.....
Tamko la maaskofu halivuki MAJI, znz ni nchi inayojitegemea na haiendeshwi na kanisa.
Maaskofu hawana kauli kwa nchi yenye waislamu 99% hii kauli iishie Tanganyika
je, umepata amani baada ya kutoa kashfa zako hizo? nina amini kwa 100% bado utakuwa na mahangaiko moyoni...lakini sisi unotukashfu hatuna shida bana, tunasonga mbele na imani yetu kwa amani tele...!
Huyo Bakhresa so far amewasaidia vipi waislam kuondokana na ombwe la ujinga na umaskini. mbona hatujasikia amejenga shule? anogopa kutoa fedha zake kwa vilaza wanaotumia fedha kuanzisha redio na tv za uchochezi nonsense.