ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 199
Rais kashasema serikari haitaanzisha mahakama ya kazi wakitaka waanzishe wenyewe kwa gharama zao.
Mh.Rais kesha pasua jipu.Serikali haitaanzisha wala kuigharamikia hiyo mahakama
Taarifa ya habari ITV saa mbili usiku leo.
wewe ni muislam lakini haujui uislam. utaendeshaje uislam kwenye nchi ambayo sio ya kiislam kana kwamba nchi ni ya kiislam? mirathi na ndoa ni sharia ndani ya kuran, lakini si hivyo tu, kuna sharia nyingine nyingi sana ndani ya kuran na muislam halisi anatakiwa kutimiza zote sio kusalenda zingine kwa serikali. inakuwaje we uje uchague baadhi ya sheria ndani ya kuran ili zifanywe sawasawa na msaafu halafu nyingine unaiachia serikali ya makafiri? ina maana umeona serikali itafanya bora kuliko vile ambavyo ingefanya kuran?...naongea hivi ili uone kuwa ndani ya nchi isiyo ya kiislam hauwezi kuleta mambo ya kuran. hii ni secular state dini peleka huko msikitini, ukitak akuileta hapa ina maana umechagua baadhi tu ya vitu ukaacha vingine, haujautumikia uislam ipasavyo hivyo na wewe sio muislam safi. vilevile inawezekanaje kuwe na kadhi anayehukumu ndoa na mirathi tu?pia wewe ukisema hao wanaopinga mahakama ya kadhi sio waislam safi wao pia wanawaona nyie sio waislam safi ndio maana wanaungana na wakristo kupinga. ninyi watoto wa bakwata ndio mnawaona wenzenu sio waislam sahihi na wao wanawaona ninyi sio waislam sahihi, dawa yake pelekeni mambo ya dini misikitini msilete hapa serikalini.Kwa heshima nikuambie SIYO KWELI kuna baadhi ya waislamu wanaikataa mahakama ya kadhi au sheria za kiislamu.Kitabu kitakatifu cha waislamu kimetamka sheria zakiislam na kila anayepinga yaliyopo kwenye QURUAN basi automatically amatoka ktk uislamu.
usiseme waislam wanataka mahakama ya kadhi. sema "waislam wanachama wa BAKWATA" kwasababu jumuiya za kiislam kama 11 hivi ambazo haziisapoti bakwata zinaipinga hii mahakama kuliko hata wakristo wanavyoipinga. hivyo waislam na wakristo wanaipinga mahakama hii, isipokuwa bakwata na waislam wanaowasapoti bakwata ndio wanaitaka. na hao wa bakwata wanaoitaka ni asilimia ndogo sana ya waislam nchini.
Halisomeki.
sio wa kumuanini yule kesho anaweza akageuka hadi hili suala lifutwe ndo tutajua kuwa mkweli
Serikali haitohusika na mahakama ya Kadhi,uanzishwaji na hata uendeshwaji. Waislam wenzangu tumeliwa. Kura ya hapana kwenye katiba pendekezwa ndiyo suluhisho
Madhara ya mahakq ya kadhi nikuendeshwa kidini nahili litatupa shida wanamchi kwani hikumu zao nikinyime na hakiza binadam mf mwizi akiiba kwakutumia mkono wa kulia basi anatakiwa kukatwa mkono,mwana mke akizini anatakiwa kipigwa mawe mpaka kufaa,watajuta kuililia hiyo mahakama
Kikwete haamini kwa Kuwa tamko alilotoa kwenye Msikiti wa Gadafi ndilo hilo katoa tena sasa tangia atoe tamko kwenye Msikiti wa Gadafi bado mchakato unaendeleaMh.Rais kesha pasua jipu.Serikali haitaanzisha wala kuigharamikia hiyo mahakama
Taarifa ya habari ITV saa mbili usiku leo.
Nashangaa waislamu wanang'ang'ania kuanzisha taasisi, si bora wangeanzisha mashule, mahospitali, saccos wapate hela, kuliko kutaka kunyongana na mahakama ya kadhi, wakitaka kufadhiliwa na serikali! Ajabu sana, wengi wao ni maskini na bila elimu lakini wanalilia moto, ni hapana tu ili kuwasaidiaAcha upotoshaji serikali ipo sahiihi haipaswi kuhusika kwa namna yoyote ile kwa maana ya uanzishwaji na uendeshwaji hii ni mahakama ya waislamu itaendeshwa na waislamu na itawahusu waislamu so acha upotoshaji.
Ni ya kiswahili sasa wewe utaelewa nn?kindly increase the font size, space between words, space between lines and reinforce the sentences, then I will re-read again
Mh.Rais kesha pasua jipu.Serikali haitaanzisha wala kuigharamikia hiyo mahakama
Taarifa ya habari ITV saa mbili usiku leo.
Mh.Rais kesha pasua jipu.Serikali haitaanzisha wala kuigharamikia hiyo mahakama
Taarifa ya habari ITV saa mbili usiku leo.